Kijana aliyemaliza chuo afanye nini awe Tajiri

Kijana aliyemaliza chuo afanye nini awe Tajiri

Yaan umalize chuo Tu uwe tajiri??kwani ulikuwa unasomea kutengeneza pesa?? Yaan uje na degree yako ya unesi, procurement, language ( kuna MTU alisema ana degree ya kiarabu)....sijui degree ya fyoko fyoko utajili utauona na kuusikia nyumba ya jirani
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushaharibu na tayari mkataba unaenda kuisha unaanza kumbuka kuwa tajiri
 
Back
Top Bottom