Kijana aliyemaliza JKT na kurudi nyumbani akili yake inakuwa kama mtu anayehangaika na kutafuta Rupia ya Mkoloni

Kijana aliyemaliza JKT na kurudi nyumbani akili yake inakuwa kama mtu anayehangaika na kutafuta Rupia ya Mkoloni

Hivi wanaoenda jkt bado huwa hawaelewi lengo la wao kwenda jkt?
 
hata wahitimu wa vyuo vikuu ni hivo hivo mkuu, yaani ni tabu juu ya taabu

serikali inatelekeza vijana wengi sana
 
Na wale wanaoenda universities huwa hawajui lengo la kwenda huko?
Ajira ni haki ya kijana. Au kwakuwa katiba haijawwka wazi ndio maana wajifanya hujui?
Jkt hawatoi ajira, hilo ni jeshi la kujenga taifa.
Labda kama mimi ndio huwa sielewi.
L
 
Kuna jamaa nilimkuta katika moja ya ofisi za serikali nae ni mlinzi kutoka suma JKT,umri mika 32 lakini mawazo yake ni kuwa msodger alinieleza mikakati mingi pamoja ana ahadi alizo pewa na mtu mkubwa uko mafunzoni kwamba asubili ajira atapata JWTZ,sio hawa tu hata walio maliza chuo na wapo mtaani miaka 5 hadi 8 lakini bado wanaimani ipo aiku mungu atajibu maombi.

Ni waase vijana wenzangu mlio maliza chio mchangamshe akili zenu kabla azija zeeka na kiwa na malazi nyemelezi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna jamaa nilimkuta katika moja ya ofisi za serikali nae ni mlinzi kutoka suma JKT,umri mika 32 lakini mawazo yake ni kuwa msodger alinieleza mikakati mingi pamoja ana ahadi alizo pewa na mtu mkubwa uko mafunzoni kwamba asubili ajira atapata JWTZ,sio hawa tu hata walio maliza chuo na wapo mtaani miaka 5 hadi 8 lakini bado wanaimani ipo aiku mungu atajibu maombi.

Ni waase vijana wenzangu mlio maliza chio mchangamshe akili zenu kabla azija zeeka na kiwa na malazi nyemelezi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi ni vituko sana, unamwamini mtu atakupa ajira huku upo mtaani, alishindwa vipi kukuunga while uko depo?
Umri wake ni changamoto pia
 
Miaka 32 mbona midogo sana ..cha muhim awe na mtu wa kumshika mkono
 
Pole sana mkuu,yaani na haya mambo ya kusoma halafu unakosa ajira

Wallah roho inauma sana
Mkuu, mimi naona watu(wasomi) wabadili mawazo tu hususan sisi ambao hatuna connection tujikite kwenye biashara ndogo ndogo mfano kuuza nguo za mitumba (online) au kwenye minada au kuanzisha kijiwe cha kutundika nguo asubuhi jioni unarudi nazo home, tuuze ubuyu,karanga,ndizi mbivu na biashara ya Genge kwa ujumla nk tusitegemee hizi ajira zilizojaa kujuana (connection) kwa maana yaani hata kujitolea nimekosa kila ofisi wanasema wamejaa, wakichukua cv yako hujibiwi n'go.
 
Rai yangu wasije jiingiza kwenye Makundi mabaya hasa misimamo mikali ya dini/ Imani. Maana nina uhakika wakipata mentor wa kuwapandikiza mabaya na njaa waliyonayo basi chochote chaweza tokea.

Serikali ifuatilie movement ya hawa watu. Isiishie tu kusema "walisaini fomu kujitolea sio ajira"

Hiki kizazi chaweza kuwa haramu baadae kama hakuna jambo litafanyika

Emaphakadeni
swadakta
 
Kuna jamaa nilimkuta katika moja ya ofisi za serikali nae ni mlinzi kutoka suma JKT,umri mika 32 lakini mawazo yake ni kuwa msodger alinieleza mikakati mingi pamoja ana ahadi alizo pewa na mtu mkubwa uko mafunzoni kwamba asubili ajira atapata JWTZ,sio hawa tu hata walio maliza chuo na wapo mtaani miaka 5 hadi 8 lakini bado wanaimani ipo aiku mungu atajibu maombi.

Ni waase vijana wenzangu mlio maliza chio mchangamshe akili zenu kabla azija zeeka na kiwa na malazi nyemelezi.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi ni vituko sana, unamwamini mtu atakupa ajira huku upo mtaani, alishindwa vipi kukuunga while uko depo?
Umri wake
Mkuu, mimi naona watu(wasomi) wabadili mawazo tu hususan sisi ambao hatuna connection tujikite kwenye biashara ndogo ndogo mfano kuuza nguo za mitumba (online) au kwenye minada au kuanzisha kijiwe cha kutundika nguo asubuhi jioni unarudi nazo home, tuuze ubuyu,karanga,ndizi mbivu na biashara ya Genge kwa ujumla nk tusitegemee hizi ajira zilizojaa kujuana (connection) kwa maana yaani hata kujitolea nimekosa kila ofisi wanasema wamejaa, wakichukua cv yako hujibiwi n'go.
Niliitafuta video ya ngono ile ya mtoto wa Kenya na sponsor wake niksikosa. Siku moja kazini rafiki yangu akanionyesha nikamwambia itume haraka kwangu.
Ndipo nilipoamini kuwa hata video ya ngono bongo mpaka uwe na connection.
 
Back
Top Bottom