Kijana aliyemaliza JKT na kurudi nyumbani akili yake inakuwa kama mtu anayehangaika na kutafuta Rupia ya Mkoloni

Kijana aliyemaliza JKT na kurudi nyumbani akili yake inakuwa kama mtu anayehangaika na kutafuta Rupia ya Mkoloni

Sijakataa kwamba hakuna waliojiongeza ila walio wengi wapo wapo tu hawana hili wala lile kucha kutwa kuzunguka na vibahasha vya kaki maofisini kutafuta kazi na kazi zenyewe hakuna. Ukitaka kuthibitisha hili tangaza nafasi za kazi uone lundo la graduates watakaojitokeza
Siku moja kazini kulitangazwa nafasi kama 20 hivi za short term contract. Sifa ni kidato cha NNE, aiseee wengi wa waliokuja kufanyiwa usaili ni degree holders. Hali si hali
 
Wizara ya mambo ya ndani itakuja kuwakomboa wengi kama ile bajeti yake itafanyiwa utekelezaji
 
Jamii iwe chanzo cha kuwapa mbinu za kutoka hapo walipostuck na siyo kuwadhihaki, tatizo linaongezeka badala ya kupungua
 
Sidhanikama kuna sekta rahisi tena,ila kikubwa kabla ya kujiingiza katika kitu chochote ni lazima kukifahamu,ni lazima kufahamu maana ya JKT na malengo yake kisha ndo ujiunge nayo.
Watu tumeingia darasani miaka kibao,tukamaliza ada za kutosha halafu mapichapicha ndo yakaanza baada ya kupewa ligamba,INATIA HURUMA SANA,INA FANYA KICHWA KUANZA KUWAZA PANDE SITA ZA KUJIKOMBOA.
 
Jkt mtu akishaingia tu weng wao ndoto zao zinakua ni kuingia JWTz au Police haamin Kama Kuna maisha mengne tofaut na ya kufanya kaz kwenye majesh tu....
inaskitisha sana na inaumiza moyo weng sana huwa hawapat ajira na wanarud mtaan tu wengne wanaishia kwenye kampuni za ulinzi
 
Jkt mtu akishaingia tu weng wao ndoto zao zinakua ni kuingia JWTz au Police haamin Kama Kuna maisha mengne tofaut na ya kufanya kaz kwenye majesh tu....
inaskitisha sana na inaumiza moyo weng sana huwa hawapat ajira na wanarud mtaan tu wengne wanaishia kwenye kampuni za ulinzi
Ungeonekana wa maana kama na wewe ungeachana na hilo jeshi la polisi ulilo jiunga mwaka 2012 na kufanya hayo maisha mengine unayo yazungumzia.
 
Ungeonekana wa maana kama na wewe ungeachana na hilo jeshi la polisi ulilo jiunga mwaka 2012 na kufanya hayo maisha mengine unayo yazungumzia.
Unaonekana hauna akili timam 2012 nilikua bado nipo o-level, au kwakua umeona nmechangia mada kwenye ile thread ya jesh la polis ya 2012 kwa kusema thread ilinifaa? Bila kujua nilimaanisha ilinifaa kiupande gan
 
Unaonekana hauna akili timam 2012 nilikua bado nipo o-level, au kwakua umeona nmechangia mada kwenye ile thread ya jesh la polis ya 2012 kwa kusema thread ilinifaa? Bila kujua nilimaanisha ilinifaa kiupande gan
Acheni vijana walijenga taifa lao
 
Wasiishie kufuatilia nyendo zao tu kama gaidi aliyetoka kwa msamaha jela, iwape hata office attendance au ulinzi kwenye ofisi za serikali. Serikali ina taasisi takribani 450 nazo zina matawi. Kila ofisi wakimpeleka moja au 2 watakaribia kumaliza tatizo na kuleta molari kwa vijana
Na FFU wafanyeje?
 
Mafunzo yoyote ya kijeshi hayamwachi mtu mentally fit 100%. Wengi hupata psychological recovery baadaye.
Kuna umuhimu wa kufanya tafiti ili mafunzo hayo yasilete janga kwa taifa kupitia vijana (nguvu Nazi)
kile kipengele cha kutolewa uraia hapo shida ipo sana tu
 
Dah nilikuepo pande hizo miaka ya nyuma kidogo .yaani mpaka leo naona kama DISHI langu liliyumba kidogo .siokama nilivyokua kabla
He mkiwa huko jkt, mlipewa mafunzo yoyote ya ufundi? Shughuli gani hasa mlikuwa mkifanya kwa kujitolea?

Sent from my LM-Q710(FGN) using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom