Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
-
- #81
Siku moja kazini kulitangazwa nafasi kama 20 hivi za short term contract. Sifa ni kidato cha NNE, aiseee wengi wa waliokuja kufanyiwa usaili ni degree holders. Hali si haliSijakataa kwamba hakuna waliojiongeza ila walio wengi wapo wapo tu hawana hili wala lile kucha kutwa kuzunguka na vibahasha vya kaki maofisini kutafuta kazi na kazi zenyewe hakuna. Ukitaka kuthibitisha hili tangaza nafasi za kazi uone lundo la graduates watakaojitokeza
Ungeonekana wa maana kama na wewe ungeachana na hilo jeshi la polisi ulilo jiunga mwaka 2012 na kufanya hayo maisha mengine unayo yazungumzia.Jkt mtu akishaingia tu weng wao ndoto zao zinakua ni kuingia JWTz au Police haamin Kama Kuna maisha mengne tofaut na ya kufanya kaz kwenye majesh tu....
inaskitisha sana na inaumiza moyo weng sana huwa hawapat ajira na wanarud mtaan tu wengne wanaishia kwenye kampuni za ulinzi
Unaonekana hauna akili timam 2012 nilikua bado nipo o-level, au kwakua umeona nmechangia mada kwenye ile thread ya jesh la polis ya 2012 kwa kusema thread ilinifaa? Bila kujua nilimaanisha ilinifaa kiupande ganUngeonekana wa maana kama na wewe ungeachana na hilo jeshi la polisi ulilo jiunga mwaka 2012 na kufanya hayo maisha mengine unayo yazungumzia.
Acheni vijana walijenga taifa laoUnaonekana hauna akili timam 2012 nilikua bado nipo o-level, au kwakua umeona nmechangia mada kwenye ile thread ya jesh la polis ya 2012 kwa kusema thread ilinifaa? Bila kujua nilimaanisha ilinifaa kiupande gan
UZALENDO hawafundishwi kulalamika lalamikaWananiachaga hoi mkiwa kijiweni ikayokea mnaisema vibaya serikali eti wao hua hawachangii mixer kujifanya bize na simu mwisho wa siku wanaondoka kijiweni. Sijui huwa wanapewa viapo gani huko
Na FFU wafanyeje?Wasiishie kufuatilia nyendo zao tu kama gaidi aliyetoka kwa msamaha jela, iwape hata office attendance au ulinzi kwenye ofisi za serikali. Serikali ina taasisi takribani 450 nazo zina matawi. Kila ofisi wakimpeleka moja au 2 watakaribia kumaliza tatizo na kuleta molari kwa vijana
kile kipengele cha kutolewa uraia hapo shida ipo sana tuMafunzo yoyote ya kijeshi hayamwachi mtu mentally fit 100%. Wengi hupata psychological recovery baadaye.
Kuna umuhimu wa kufanya tafiti ili mafunzo hayo yasilete janga kwa taifa kupitia vijana (nguvu Nazi)
Jana hapo Airwings watu wamelia kama watotoKule hawajui mtoto wa kigogo au wa nani, kuna CDF simtaji. Mwanae alikuwepo huko mafunzoni, waliwahi kimburuza. Hawakujali ni mtoto wa nani
wanajiona ni constablesWananiachaga hoi mkiwa kijiweni ikayokea mnaisema vibaya serikali eti wao hua hawachangii mixer kujifanya bize na simu mwisho wa siku wanaondoka kijiweni. Sijui huwa wanapewa viapo gani huko
[emoji23][emoji23]Vijana mmesahau kuna elimu ipo VETA.
Sent from my iPhone using JamiiForums
He mkiwa huko jkt, mlipewa mafunzo yoyote ya ufundi? Shughuli gani hasa mlikuwa mkifanya kwa kujitolea?Dah nilikuepo pande hizo miaka ya nyuma kidogo .yaani mpaka leo naona kama DISHI langu liliyumba kidogo .siokama nilivyokua kabla
Itawezekana kama nchi haina wapinzani wahuni kama mboweSerikali iruhusu majeshi binafsi kama marekani
Nyie ndio mnaopaswa kufanyiwa usaili kabla ya kupewa smart phoneItawezekana kama nchi haina wapinzani wahuni kama mbowe