Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Mara ya mwisho kuna mtu aliniibia laki mbili na akagoma kurudisha nilipata hasira sana lakini hii video imenifanya nipate huruma.

Hapa Dar es Salaam, kijana amechomwa moto huku raia wakimrekodi kwasababu amekuwa akiiba vifaa vya magari.

Picha na video zinatisha sana



 
Swali alikamatwa kwenye mazingira gani?
A. Je alikamatwa red handed?
B. Au vilikamatwa vifaa vikiwa kwake?
Kama jibu ni A sawa ila kama jibu ni B huenda na yeye ameuziwa ni bora angeulizwa aliuziwa na na ni, but its late already.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…