Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mkuu wezi wa mnadani na gerezani wanaodili na wizi wa vitu vya kwenye magari uwa wako smart sana na wengine wanamiliki usafiri na nyumba za maana,wakiipenda gari yako hata kama waliiona k'koo basi wataifutilia inapolala hata kama unaishi kibaha watapajua tu then siku yake wakijiridhisha ukiamka asubuhi unakuta wamekuachia scraperSidhani jamaa anakaa kama mwizi. Huenda alifumaniwa akimchapia mtu mke.