Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

Niliona video yake akiungua aisee ni majuto kwa mkewe maana marehemu mwizi ana miliki pisi moja ya hatari imenyooka na mtoto mmoja mdogo.

Wezi wa siku hizi ni vijana smart kabisa ila ni tamaa tu za maisha mazuri pasipo kufanya kazi.
 
Wengi wanaodili na hio biashara huwa wanapewa mpaka order hadi 1.5

Dereva akiwa mlevi mlevi na mpenda nyapu hapo ndipo anawekewa Diazepam.
Sorry, Diazepam ndo nn?
Mimi huwa nikiona kuna watu siwaelewielewi huwa naenda kulala porini kabisa.
Asa ukienda kulala porin si ndo wataiba kila ktu mana wanajua porin hakuna wa kukusaidia
 
Wengi wanaodili na hio biashara huwa wanapewa mpaka order hadi 1.5 mills.

Anaweza kuifata gari hadi Tunduma huku anaiwinda kila Dereva anapochoka na kulala mpaka atakapofanikiwa au aambulie holaa!

Dereva akiwa mlevi mlevi na mpenda nyapu hapo ndipo anawekewa Diazepam.

Mimi huwa nikiona kuna watu siwaelewielewi huwa naenda kulala porini kabisa.
Porini teena miye nilijua polisi mkuu.
 
Back
Top Bottom