Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

Inaumiza sana, lakini huo ukatili we unaonaje, huu waliofanya ni ushetani ambao hata shetani mwenyewe hajaufikia bado, yaani devil anaomba poo mwenyewe
ila sir God huo ukatili anao? Maana saivi yupo anachochea kuni kwaajili ya waongo...imagine unamdanganya mtu umekaribia kufika kumbe bado hujapanda gari, halafu kule juu sir God anakuandalia makuni ya kukuchoma MILELE
 
Sidhani jamaa anakaa kama mwizi. Huenda alifumaniwa akimchapia mtu mke.

Ukiangalia mtu usoni ndio ujaji kama ni mwizi utafeli sana mkuu..miaka ya nyuma nakumbuka iringa kuna jamaa alikuwa mpole sana na mcheshi sana na alikuwa smart na muonekano mzuri sana aliitwa anjelo ,kila mtu hakuamini tulipokuja kuskia ni jambazi na ameuawa na raia akiwa kazini..
 
Binadamu ni kiumbe hatari sana pindi akichukia,fikiria kama aliweza kuyadhibiti maji kwa kuyajengea ukingo baada ya mafuriko nadhani hata shetani akija kujitokeza wazi binadamu watamkaanga..
 
Wizi ni kitu kibaya sana; achomwe tu hakuna namna. Kama mtu hujawahi kuibiwa unaweza kumuonea huruma lakini kwa wale tuliowahi kuibiwa tunafahamu fika uchungu wa kuibiwa unavyouma. Achomwe tu ili liwe fundisho kwa wezi wengine kama yeye.
 
Polisi wa sku hizi ni wasenge sana,,unaeza enda polisi wakakukamata wakakuweka ndani sa unajiuliza kosa lako nini???[emoji849]
Kuna siku nilipaki pale polisi nikaend kula, narudi wanasema huyu ndiyo mwenye hiyo gari. Nikasimama tuli nikawauliza kuna nini kwani mbona mnaisema gari miye mwenyewe nipo hapa niulizeni niwajinu. Wakaufyata nikatimia zanhu.
 
Mbona anaonekana mstaarabu kabisa?
Je alikamatwa akiiba, alikamatwa na vifaa?
usije ukadanganyika na sura za watu mjini utalizwa mchana kweupeeee.
Ushawahi skia stori za mbokoo, kaka mjusi, msela nunda hao wote nimekutajia walikua kazi chafu sana hapa mjini ila ukionyeshwa ndio wale unaweza sema wanasingiziwa.
Dunia ya sasa wahalifu wanajiweka smart sana huwez hata mdhania
 
Back
Top Bottom