imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Katika hali hiyo ni bora aje mtu akupige risasi ya kichwa ili hayo maumivu usiyasikie.Brother hiyo video hatari mpaka tairi liishe hakuna kitakachobaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika hali hiyo ni bora aje mtu akupige risasi ya kichwa ili hayo maumivu usiyasikie.Brother hiyo video hatari mpaka tairi liishe hakuna kitakachobaki
Nitajie jina la hayo maji nikanunueNunua maji makali ya betrii za magari ili akianza kutoboa dirisha unamuogesha usoni.
Wewe ukifika kwenye maduka ya auto parts sema maji makali ya betrii.Nitajie jina la hayo maji nikanunue
Mkuu naiomba PMBrother hiyo video hatari mpaka tairi liishe hakuna kitakachobaki
Mwizi akijichanganya nikimmwagia shughuli imeisha?Wewe ukifika kwenye maduka ya auto parts sema maji makali ya betrii.
Nadhani ni buku mbili.
Wale wezi wa kukata madirisha unalenga usoni.Mwizi akijichanganya nikimmwagia shughuli imeisha?
Mkuu nimeifuta inataka moyo kuangalia unaweza kujikuta ukaifanya siku yako iwe mbaya..Mkuu naiomba PM
Mmh sema wife nae mtu wa shari tukigombana anaweza kuniogesha nayo🤔Wale wezi wa kukata madirisha unalenga usoni.
Au anaweza kuinywa.Mmh sema wife nae mtu wa shari tukigombana anaweza kuniogesha nayo🤔
Na haya mambo huwa wanayafanya sana?Wengi wanaodili na hio biashara huwa wanapewa mpaka order hadi 1.5 mills.
Anaweza kuifata gari hadi Tunduma huku anaiwinda kila Dereva anapochoka na kulala mpaka atakapofanikiwa au aambulie holaa!
Dereva akiwa mlevi mlevi na mpenda nyapu hapo ndipo anawekewa Diazepam.
Mimi huwa nikiona kuna watu siwaelewielewi huwa naenda kulala porini kabisa.
[emoji23][emoji23] usimwambie kama makaliMmh sema wife nae mtu wa shari tukigombana anaweza kuniogesha nayo[emoji848]
Ulete mrejesho 😆Chief mkubwa naomba video Msweden kasema kadiliti
Madereva wa Malori tuna kazi sana halafu "nyinyi tuma na ya kutolea"hata huruma hamna.Na haya mambo huwa wanayafanya sana?
Dah aosee
Mie mwenyewe nashangaa, kwanza hio picha tu inahitaji moyoVideo ya mtu akiwa anaungua unataka uione iliikusaidie nin mkuu?
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Ukifanya hivyo watu watakurecord baada ya hapo utapambana na jamuhuri vizuriKabla ya kumchoma moto ilibidi naye wamtoe kiungo kimoja kimoja kama anavyochomoa vifaa kwenye magari...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787], huko hawawezi kuja.Wengi wanaodili na hio biashara huwa wanapewa mpaka order hadi 1.5 mills.
Anaweza kuifata gari hadi Tunduma huku anaiwinda kila Dereva anapochoka na kulala mpaka atakapofanikiwa au aambulie holaa!
Dereva akiwa mlevi mlevi na mpenda nyapu hapo ndipo anawekewa Diazepam.
Mimi huwa nikiona kuna watu siwaelewielewi huwa naenda kulala porini kabisa.