Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

Sasa kitaa kuna mbwiga mmoja alikuwa anasumbua sana raia kwa kukata visambusa madirishani, siku zake 40 zilivyofika...

Watu walitafuta funnel (sijui kiswahili chake, ila ni kile kidude unatumia kujaza mafuta au kimiminika kwenye kidumu), akashikwa kwa nguvu, kile kidude kikawekwa mdomoni, akamiminiwa thinner lita moja tu...halafu akaachwa aende...

Sasa hivi huyo jamaa anaendelea na shughuli ya uporaji kuzimu huko...
Thinner ni nini rafiki?
 
Angle grinder😆namuonea huruma uyo mwizi atakayekuja kwako

Miaka ya nyuma nilikuwa naishi huko 'waja leo waondoka leo', sasa kulikuwa na wezi hawa wa kudokolea watu wanasumbua kweli...

Siku moja akatiwa nguvuni na wananchi wenye hasira kali. Watu wakapiga yowe, "tumchomee, lete petrol, lete kiberiti, sijui lete tairiiii"...

Kuna Mpemba mmoja alikuwa mvuvi na mtengeneza yale majahazi ya uvuvi, Tanga wayaita madau...

Akawaambia watu "yakhhee niachieni huyo", jamaa akaingia ndani akatoka na msumari mmoja (waitwa msumari wa dau, ni kama ule aligongwa nao Yesu) na nyundo...

Basi, alipigwa msumari wa utosi hadi ukazama wote, halafu wakamuacha aende zake...

Huyo kibaka naye kwa sasa yupo kuzimu akiendelea na harakati za kupora vinyamkera huko...
 
Miaka ya nyuma nilikuwa naishi huko 'waja leo waondoka leo', sasa kulikuwa na wezi hawa wa kudokolea watu wanasumbua kweli...

Siku moja akatiwa nguvuni na wananchi wenye hasira kali. Watu wakapiga yowe, "tumchomee, lete petrol, lete kiberiti, sijui lete tairiiii"...

Kuna Mpemba mmoja alikuwa mvuvi na mtengeneza yale majahazi ya uvuvi, Tanga wayaita madau...

Akawaambia watu "yakhhee niachieni huyo", jamaa akaingia ndani akatoka na msumari mmoja (waitwa msumari wa dau, ni kama ule aligongwa nao Yesu) na nyundo...

Basi, alipigwa msumari wa utosi hadi ukazama wote, halafu wakamuacha aende zake...

Huyo kibaka naye kwa sasa yupo kuzimu akiendelea na harakati za kupora vinyamkera huko...
Msumari wa kupigilia majahazi
Mrefu balaa

Ova
 
Hilo Tyre walilimvika saizi ishirini yaani liungue mpaka liishe atabaki ni majivu tu.
Hii adhabu wanastahili watu wenye roho za ulafi kama hawa wezi, yaani anaungua huku akiona live na kuhisi maumivu taratibu.

Kusafishiwa geto/mali halafu ukaachwa mtupu bila senti 5, inauma zaidi ya maumivu anayoyapata huyu anayechomwa moto.

Niliwahi kuibiwa, iliniuma sana hadi nikaanza kuwaza ambayo hata haviwaziki.
 
Miaka ya nyuma nilikuwa naishi huko 'waja leo waondoka leo', sasa kulikuwa na wezi hawa wa kudokolea watu wanasumbua kweli...

Siku moja akatiwa nguvuni na wananchi wenye hasira kali. Watu wakapiga yowe, "tumchomee, lete petrol, lete kiberiti, sijui lete tairiiii"...

Kuna Mpemba mmoja alikuwa mvuvi na mtengeneza yale majahazi ya uvuvi, Tanga wayaita madau...

Akawaambia watu "yakhhee niachieni huyo", jamaa akaingia ndani akatoka na msumari mmoja (waitwa msumari wa dau, ni kama ule aligongwa nao Yesu) na nyundo...

Basi, alipigwa msumari wa utosi hadi ukazama wote, halafu wakamuacha aende zake...

Huyo kibaka naye kwa sasa yupo kuzimu akiendelea na harakati za kupora vinyamkera huko...
Kuna mwizi mmoja mbagala alikatwa miguu na msumeno ,kuna watu wana roho ngumu aisee,,🙌
Bora ukatwe na shoka ila sio msumeno ..
 
Hii adhabu wanastahili watu wenye roho za ulafi kama hawa wezi, yaani anaungua huku akiona live na kuhisi maumivu taratibu.

Kusafishiwa geto/mali halafu ukaachwa mtupu bila senti 5, inauma zaidi ya maumivu anayoyapata huyu anayechomwa moto.

Niliwahi kuibiwa, iliniuma sana hadi nikaanza kuwaza ambayo hata haviwaziki.
Halafu hao ukimwambia kuna kazi hakai hata siku anaiba na kutokomea.
 
Mkuu nimeifuta inataka moyo kuangalia unaweza kujikuta ukaifanya siku yako iwe mbaya..
Muombe brother imhotep akutumie at ur own risk
Video ni kali, kama hujawahi kupata masaibu ya kuibiwa utaiogopa na kutia huruma.

Nimeiona nikarewind matukio ya wizi yaliyowahi kunikuta na jinsi nilivyopitia hivyo vipindi, nikasema yess "kwanini na wale wezi walioniibia hawakukamatwa"?
 
Back
Top Bottom