Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kama Mke wako ni mkorofi usinunue Battery Acid Please...Mmh sema wife nae mtu wa shari tukigombana anaweza kuniogesha nayo🤔
😂😂 Aisee. Wapigwe moto tu hakuna namnaWizi ni spirit wizi ni maroho mabaya ndio maana uwa hawaachi utakuta mtu amekatwa mikono lakini bado anaiba kwa kutumia mdomo
Nimehairisha kununuaMkuu kama Mke wako ni mkorofi usinunue Battery Acid Please...
Sawa kabisa,hao mbwa wanarudisha nyuma maendeleo ya watu halafu wanajifanyaga don town kumbe wezi tuMara ya mwisho kuna mtu
aliniibia laki mbili na akagoma kurudisha nilipata hasira sana lakini hii video imenifanya nipate huruma.
Hapa Dar es salaam, kijana amechomwa moto huku raia wakimrekodi kwasababu amekuwa akiiba vifaa vya magari.
Picha na video zinatisha sana
View attachment 2388782
View attachment 2388786
Nimeona ila haitishi sana nilitamani ifike hadi mwisho, wezi wabad sana mazeeSubiri atakutumia tu
I think siyo fair kuhukumu katika baadhi ya mazingira.Hautakiwi kununua vifaa vya wizi mkuu...
Hii video tungepata yote hadi tairi lilipomalizika kuungua.Halafu hao ukimwambia kuna kazi hakai hata siku anaiba na kutokomea.
Kipindi bus terminal ipo ubungo kuna siku alfajiri nilimsindikiza mtu pale na Wife,tukapark pembeni karibu kulikokua na vyoo,mimi nilimfikisha msafiri kwenye bus nikarudi kwenye gari maana nilikua siko vizuri kiafya,Wife akabaki na msafiri akisubiria bus hadi litakapoondoka,pale nilipopark na kiza cha alfajiri kumbe gari ya pembeni yangu jamaa ndio mnunuzi wa vitu vinavyoibwa kwenye magari,kumbe anaingia mle alfajiri anapaki then wezi wakiiba wanaenda kumuuzia kukianza kukipambazuka anasepa,nikawa nawachora tu na nahisi hadi walinzi wa mle ndani walikua wanamjua sema ndio hivyo tenaHautakiwi kununua vifaa vya wizi mkuu...
Ukimkuta mtaani huwezi amini aisee! Kazi kweli kweli! Kuna kijana alinitapeli mpaka nikajiapiza sitakaa nitoe msaada kwa mtu wa kumwelekeza mahali! Wachomwe tu hawana adabu kabisa!Mara ya mwisho kuna mtu
aliniibia laki mbili na akagoma kurudisha nilipata hasira sana lakini hii video imenifanya nipate huruma.
Hapa Dar es salaam, kijana amechomwa moto huku raia wakimrekodi kwasababu amekuwa akiiba vifaa vya magari.
Picha na video zinatisha sana
View attachment 2388782
View attachment 2388786
Angalao tungejiridhisha kuwa one down one million to go😀😁Hii video tungepata yote hadi tairi lilipomalizika kuungua.
Wezi ni watu wabaya sana
bro Mwifwa nitumie na mimi pm bro niioneVideo ni kali, kama hujawahi kupata masaibu ya kuibiwa utaiogopa na kutia huruma.
Nimeiona nikarewind matukio ya wizi yaliyowahi kunikuta na jinsi nilivyopitia hivyo vipindi, nikasema yess "kwanini na wale wezi walioniibia hawakukamatwa"?
Hebu njoo nikutoe 'out', mdudu unatumia?Unamtambulisha Kwa wazazi...nimepata Mume! Kumbe mume wa konyo
Mdudu??? Oo my Goshh!Hebu njoo nikutoe 'out', mdudu unatumia?
Kitu kizuri unapiga na maji ya goldMdudu??? Oo my Goshh!