Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

Wanunuzi hasa ni kina nani.?
Maana kama ni vifaa vya hayo magari nafikiri wamiliki wengi wanauwezo
Anauziwa ambae spea yake imeibiwa,umeelewa mpaka hapo? wanaoumia ni wale wenye vyombo vya usafirishaji.

Kwa hiyo ni wezi na Kupe vilevile, hawafai hata kidogo.

tocry.png


Polisi nguvu yao nyingi wanaielekeza CHADEMA.
 
Polisi wa hii nchi sio waaminifu kabisa yaani,najua kuna wakuu humu ni polisi ila niwaambie tu ACHENI TAMAA ..
Kila polisi ana mkubwa wake,Polisi njia pekee ya kumkomesha ni kumshtakia kwa Mkuu aliemzidi cheo (unaongezea na chumvi)

Asiposhughulikiwa unapanda Juu kwa mkubwa wake, ukienda unaongezea na chumvi (usisahau ku record unapoingia kituoni kupeleka jambo lako)

Nakuhakikishia next time ukiingia popote wakikujua balaa lako huwa unalifikisha mbali hawawezi kukuletea zakuleta.

Polisi wamejua wananchi ni waoga wakiona nyota begani wanaamini hapo ndio mwisho,ila binafsi swala langu likifikaga Polisi wananielewa.

Ili umkomeshe polisi ni kumtumia polisi mwenzake aliemzidi cheo si vinginevyo.
 
Iringa walimkamata mmoja wakamuuliza, tukipige msumari kichwani au tukunywesha uji? Jamaa akachangua uji. Wakamkorogea Cement na wakamwambia anywe kisha aondoke. Jamaa baada ya masaa 2 tumbo limejaa, kuongea hawezi hadi akafa.
Noma sana yaani we kama huna kazi bora tu utie huruma kwa ndugu ila sio kujifanya vitu vya watu wewe ndo unajua matumizi navyo...

Btw uyo jamaa hilo tairi Sijui la roli[emoji16][emoji16]
 
Hii adhabu wanastahili watu wenye roho za ulafi kama hawa wezi, yaani anaungua huku akiona live na kuhisi maumivu taratibu.

Kusafishiwa geto/mali halafu ukaachwa mtupu bila senti 5, inauma zaidi ya maumivu anayoyapata huyu anayechomwa moto.

Niliwahi kuibiwa, iliniuma sana hadi nikaanza kuwaza ambayo hata haviwaziki.
Najua maumivu uliyopitia baada ya kuibiwa kwakweli awa dawa yao ndio hii.

Ova

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Maisha ya mkato na kutamani mali ya mtu ni laana na mwisho wake mbaya. Nina rafiki yangu amepoteza maisha bado kijana mwenye nguvu na tulikua tunahustle wote hakuridhika na yale maisha akaingia kwenye uhalifu wa kutapeli mwisho wa siku kauawa kikatili sana na kuzikwa na serikali. Tamaa mbaya ishi maisha yako halisi
 
Back
Top Bottom