Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

Reflex actions haziwezi kuruhusu mtu ajiue kwa staili hiyo ndio maana mtu hawezi kujiua kwa kuziba pua.
Kama unakisu kikali au wembe unaukata mshipa wa damu wa kwenye mkono tu unaingia kwenye coma ndani ya madakika halafu hukohuko kwenye coma unahamia upande wa pili.

Mimi huwa nawashangaa watu wanaojinyonga wanasumbua watu kuwasafisha kinyesi.

Huo mshipa kwenye wrist pale unapovalia saa tena huku unavuta na fegi.
 
Kama unakisu kikali au wembe unaukata mshipa wa damu wa kwenye mkono tu unaingia kwenye coma ndani ya madakika halafu hukohuko kwenye coma unahamia upande wa pili.

Mimi huwa nawashangaa watu wanaojinyonga wanasumbua watu kusafisha kinyesi.

Huo mshipa kwenye wrist pale unapovalia saa tena huku unavuta na fegi.
Mkuu sio rahisi kiasi hicho. Kujikata na kisu ni zoezi zito sana.
 
Mara ya mwisho kuna mtu aliniibia laki mbili na akagoma kurudisha nilipata hasira sana lakini hii video imenifanya nipate huruma.

Hapa Dar es Salaam, kijana amechomwa moto huku raia wakimrekodi kwasababu amekuwa akiiba vifaa vya magari.

Picha na video zinatisha sana

View attachment 2388782

View attachment 2388786
Huyo kwenye picha ndo mwizi?
Mbona haonekani kama kibaka?!!!
 
Kama unakisu kikali au wembe unaukata mshipa wa damu wa kwenye mkono tu unaingia kwenye coma ndani ya madakika halafu hukohuko kwenye coma unahamia upande wa pili.

Mimi huwa nawashangaa watu wanaojinyonga wanasumbua watu kuwasafisha kinyesi.

Huo mshipa kwenye wrist pale unapovalia saa tena huku unavuta na fegi.
Jamaa unauhakika[emoji848]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wezi wa mnadani na gerezani wanaodili na wizi wa vitu vya kwenye magari uwa wako smart sana na wengine wanamiliki usafiri na nyumba za maana,wakiipenda gari yako hata kama waliiona k'koo basi wataifutilia inapolala hata kama unaishi kibaha watapajua tu then siku yake wakijiridhisha ukiamka asubuhi unakuta wamekuachia scraper
Sahii kabisa,
Kuna jamaa Yuko malandizi ndani ndani kabisa aliibiwa injini ya outlander,
Ilishushwa nzima nzima kwenye gar wakaacha skrepa
 
Back
Top Bottom