Yani wewe nashindwa nikiweke kundi gani , nahisi bado unalelewa hivyo hata ugumu wa utafutaji huujui, kwa hiyo na wao wakikuongilia na mapanga watakuajili wapi?Watanzania tujalibu kuwa na misahama isiyokuw na ukomo. Ebu fikiria thamani ya vifaa inalingana na thamani ya UHAI wa mtu, na kingine ukiona kazidi sana busi mkamate then umuajili nahc inawez ikaw suluhixho🤔
Mkuu Naomba unitumie videoUnauliza makofi polisi?[emoji1787]
Mshipa upi mkuu?ukiukata athari yake inakuwaje?Kama unakisu kikali au wembe unaukata mshipa wa damu wa kwenye mkono tu unaingia kwenye coma ndani ya madakika halafu hukohuko kwenye coma unahamia upande wa pili.
Mimi huwa nawashangaa watu wanaojinyonga wanasumbua watu kuwasafisha kinyesi.
Huo mshipa kwenye wrist pale unapovalia saa tena huku unavuta na fegi.
Basi ndio Kinga yenu hiyo, yanunue ili msigombane. Amani itatawala ukiyakumbuka maji.Mmh sema wife nae mtu wa shari tukigombana anaweza kuniogesha nayo[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna clip mwizi wa mbagala wamemkamata temeke wakamuuliza tukufir* au tukuchome Moto sielewi KILITOKEA nn Ila upande mmoja ulifanya kazi n jamaa anapumua Hadi leo...nae ilikua mubasharaaa[emoji1787]Jamaa amepikwa mubashar!Binadamu ukimuudhi utajuta.
AiseeweeUkifanya hivyo watu watakurecord baada ya hapo utapambana na jamuhuri vizuri
Yaani uajiri kibaka , wewe nahisi unaleta masihara aisee .Watanzania tujalibu kuwa na misahama isiyokuw na ukomo. Ebu fikiria thamani ya vifaa inalingana na thamani ya UHAI wa mtu, na kingine ukiona kazidi sana busi mkamate then umuajili nahc inawez ikaw suluhixho[emoji848]
Tena wale wa wash/pesa bandia ndo wanpataga tabu Sana kw mikono y wananchiMaisha ya mkato na kutamani mali ya mtu ni laana na mwisho wake mbaya. Nina rafiki yangu amepoteza maisha bado kijana mwenye nguvu na tulikua tunahustle wote hakuridhika na yale maisha akaingia kwenye uhalifu wa kutapeli mwisho wa siku kauawa kikatili sana na kuzikwa na serikali. Tamaa mbaya ishi maisha yako halisi
dawa huwa ni chungu sikuzoteNdiyo dawa japo inaumiza sana
Sikubishii ila sijajua kama mfano wangu umeuelewa.Mkuu kuna kitu kinaitwa "Doctrine of Recent Possession"...kisheria ukikutwa na mali ilioibiwa wewe ndio mwizi mwenyewe
sasa aendelee kubaki ili atuibie na sisi?Waliniibia mziki wangu na flash zangu Hawa watu. Hawafai ila kuwaua siyo vizuri.
Nowadays kwenye gari funga secret kill switch mathalani ambayo ni wireless.Waliondoka na gari, kama gari, hawana huruma hawa.
Uzuri makatibu tupo wengi. Imeisha hio!!!Niliona video yake akiungua aisee ni majuto kwa mkewe maana marehemu mwizi ana miliki pisi moja ya hatari imenyooka na mtoto mmoja mdogo.
Wezi wa siku hizi ni vijana smart kabisa ila ni tamaa tu za maisha mazuri pasipo kufanya kazi.
Huenda lengo lako siyo baya ila unachoenda kukinunua hapo ni Sulphuric acid....Nitajie jina la hayo maji nikanunue
Ukimwagia maji mengine yakarudi kwako hata kidogo, na wewe shughuli imeisha.,😁Mwizi akijichanganya nikimmwagia shughuli imeisha?