Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kama ndiyo mnunuzi wa mali za wizi,huyu ndiyo mbaya zaidi,maana ndiye sponsor......hapa kama ni B wameng'oa mziziSwali alikamatwa kwenye mazingira gani?
A. Je alikamatwa red handed?
B. Au vilikamatwa vifaa vikiwa kwake?
Kama jibu ni A sawa ila kama jibu ni B huenda na yeye ameuziwa ni bora angeulizwa aliuziwa na na ni, but its late already.
Ila wao kukuua ni vizuri!!!???Waliniibia mziki wangu na flash zangu Hawa watu. Hawafai ila kuwaua siyo vizuri.
Walikua watatu wana visu ungeweza?Ungeniita mwamba nikuokoe ningechakaza mabwege wote hao.
Kama wewe ni muoga wa kuina damu unatumia Cyanide yaani ni chap chapMkuu sio rahisi kiasi hicho. Kujikata na kisu ni zoezi zito sana.
Kwani wizi una chagua mkaka mzuri na mbaya? Mbona viongozi wetu wazuri tu na weziKwa hiyo huyu mkaka mzuri alikuwa mwizi?
Adhabu ipi inafaa?Wananchi punguzeni hasira.Pamoja na kuwa ameiba lakini hiyo adhabu haifai kabisa .
Umewah kukutana na wazee wa kazi lakini? Wao kukuua ni dk 0 na hawajakuibia bado. Hawa watu hizi adhabu ni haki yao tu.Watanzania tujalibu kuwa na misahama isiyokuw na ukomo. Ebu fikiria thamani ya vifaa inalingana na thamani ya UHAI wa mtu, na kingine ukiona kazidi sana busi mkamate then umuajili nahc inawez ikaw suluhixho[emoji848]
Sijui hawa watoto ...wanajiskiaje sasa na sijui wanaionaje jamii..Mara ya mwisho kuna mtu aliniibia laki mbili na akagoma kurudisha nilipata hasira sana lakini hii video imenifanya nipate huruma.
Hapa Dar es Salaam, kijana amechomwa moto huku raia wakimrekodi kwasababu amekuwa akiiba vifaa vya magari.
Picha na video zinatisha sana
View attachment 2388782
View attachment 2388786
nyie watu huyu kijana mtanashati hivi, God forbid.Mara ya mwisho kuna mtu aliniibia laki mbili na akagoma kurudisha nilipata hasira sana lakini hii video imenifanya nipate huruma.
Hapa Dar es Salaam, kijana amechomwa moto huku raia wakimrekodi kwasababu amekuwa akiiba vifaa vya magari.
Picha na video zinatisha sana
View attachment 2388782
View attachment 2388786
Sauz ndo wanaongea kiswahili clear kabisa kile mfano kuna mwana anaerekod Anasema kuhusu memory alioibiwa???Hii video ilisambaa kama sio miaka mitatu basi ni zaidi ya hiyo imepita. Ilikuwa south Africa wakati wahamiaji wakiuawa. Naona imebadilishwa kuwa ya kaka jambazi
Hiyo hydrochloric acid ndiyo kama ile aliyomwagiwa boss wa G-eS-eM miaka ile?kuna hydrochloric acid kuanzia 80% to 100% hii ukipataa we mwagie mwizi kichwani tu. au hydrogen peroxide mwagie machoni huyo hatokaa aibe tena kwenye maisha yake
Na zote zinauzwa kwenye maduka ya vifaa vya maabara tena bei chee tu
We ni raia wa nchi za kiarabu au basi tu shobo na jamii isiyokuhusu kwa lolote ?!Najaribu kufikiri tukio hili lingefanyika moja ya nchi za Kiarabu. Tena ingetokea akakatwa mkono tu. Pasingetosha humu.
Kweli nyani haoni kundule.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti anacheua moto kama ibilisi.Bado wale wanaodandia Malori pale Kwamakunganya, Kihonda, Morogoro.
Tena siku hizi wanalifukuza Lori la Mizigo kwa kutumia Pikipiki hadi Wami Dakawa.
Wale dawa yao ni kuwanywesha Petroli hadi avimbewe halafu ndio unapiga kiberiti ili kila akicheua anacheua moto kama Ibilisi.
Mmmmmmhmn hebu hii habari mtafute ukweli wake wa kina. Maana hili jambo linatisha aisee.Sijui hawa watoto ...wanajiskiaje sasa na sijui wanaionaje jamii.. View attachment 2389803