Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Inasikitisha sana. Raia wamechoka kuibiwa.Mara ya mwisho kuna mtu aliniibia laki mbili na akagoma kurudisha nilipata hasira sana lakini hii video imenifanya nipate huruma.
Hapa Dar es Salaam, kijana amechomwa moto huku raia wakimrekodi kwasababu amekuwa akiiba vifaa vya magari.
Picha na video zinatisha sana
View attachment 2388782
View attachment 2388786
We unauza mkuuSio mchezo.. kijana smart kwa kumwangalia kumbe hana akili kichwani ameshindwa kufanya biashara hata za kuuza bidhaa mbalimbali mtandaoni?
mchezo mwepesi tuWalikua watatu wana visu ungeweza?
JidanganyeKwann ufanye hivyo, huyo akawekwe ndani. Apige kazi nzito miaka mitatu akitoka huko atakuwa na adabu.
Hawezi kurudi huyo.Aisee, kwa ajili ya manufaa gani mtu aweke sauti zote hizo. Naomba hiyo orijino ambayo sio ya kimara.
kama weweKuna kijana alikuwa mpole smart sana!!Msafi, hakosi ibadani, kumbe huko kwenye swala anaficha madhambi,
Aisee CV yake iliwekwa hadharani baada ya kukamatwa!!
Kumbe jambazi sugu bwana!! Msiangalie sura za upole hizi!
Safi kivipi sasaSafi sana
Ungeiona video ungejihakikishia kuwa alikufa au aliponaSijui alikufa mshikaji?