Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

Kijana anayetuhumiwa kuiba vifaa vya magari achomwa moto live huku akirekodiwa

Kwann ufanye hivyo, huyo akawekwe ndani. Apige kazi nzito miaka mitatu akitoka huko atakuwa na adabu.
wangapi tunawafikisha polisi wanatoka na kuendelea kama kawa....tunatumia SHARIA tuu....polisi wanawafahamu vema.......sio sawa kumuadhibu.....sheria ndio inapaswa kumuadhibu......ila KAMA UMESHAIBIWA..... achana na simu sijui....wamekuvamia ukawekwa TANCHI.........kisasi must mkuu.......usiombee yakukute.....wapigwe wavunjwe vunjwe.....wasiuwawe...wateseke na familia zao.....
 
Back
Top Bottom