Kijana wa kitanzania mzalendo aliyekataa mshahara wa million 425 Marekani kutoka kwenye kampuni ya Bill Gates na kuludi nchini Tanzania. Ameleta wanafunzi wa chuo number moja duniani cha Harvard na Stanford kupanda mlima Kilimanjaro. Huu uwe mfano wakuigwa kati ya vijana wakitanzania na Kenya.