Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Kiingilio ni bure, hakuna malipo. Ada ni bure. Ada ya kujiunga ni bure. Walio vyuoni magari yatakuwepo ya kuwachukua na kuwarudisha.viingilio
ada ya ushiriki
ada ya kujiunga na vikundi
WEKA WAZI wanakuja kwa nauli zao au mnawawezesha?
#SISITANZANIA #WETANZANIA - KIJANA CHANGAMKIA FURSA KATIKA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA.
Kama Vijana wa Tanzania tumekuwa na taarifa juu ya Miradi Mingi sana ambayo serikali yetu imekua ikiendelea kuitekeleza kwa maendeleo ya Taifa letu, Je! Sisi Kama Vijana ni Fursa zipi za kiuchumi tunaweza kunufaika nazo moja kwa moja kupitia miradi hii?
#SisiTanzania kwa kushirikiana na taasisi nyingine za Vijana imeandaa Kongamano la kuzimulika fursa zitokanazo na mradi wa Bomba la Mafuta.
Tukutane UDSM - Nkurumah Hall 20 November, 2021.
#KijanaOngeaNaMwenzio
#VijanaNaMiradi
#Sisitanzania
#TYP
#HakiMwananchi
#TYEGD
View attachment 1994408
[emoji1756][emoji1756][emoji1756]Kiingilio ni bure, hakuna malipo. Ada ni bure. Ada ya kujiunga ni bure. Walio vyuoni magari yatakuwepo ya kuwachukua na kuwarudisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayo yalikuwa maswali korofi sio ya nia ya kujifunzaidara sijui gani zilikuja hapa kahama .tuliwapiga maswali mpaka wakakimbilia kwa mkuu wa wilaya wajibiwe