DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 921
- 1,720
Huu uzi umebebaukweli asilimia 100
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifupi huu ni utafiti uchwara,hauna factsWavulana wengi wamekuwa wakiathirika sana na tatizo hili la kujichua, hasa wanapokuwa katika shule na vyuo, mchezo huu wa kujichua wamekuwa wakiutumia sana.
Sababu kuu inayopelekea kujichua ni kutamani, wengi huangalia picha za utupu(xx) katika mitandao ya kijamii na baadaye fikra huathiriwa na video hizo jambo linalopelekea kujichua huku wakivuta kumbukumbu kupitia video walizozitazama.
Tukio hili la kujichua huendelea katika fikra za vijana huku wakiwa na wapenzi wengi wa kufikrika(sawa na kuota ndoto unamiliki ghorofa kubwa,unapoamka unagundua ilikuwa ni ndoto) , jambo linalopelekea kuathirika kisaikolojia na kushindwa kabisa kuhimili tendo la ndoa pindi wakutanapo na wanawake halisi, maana uume husinyaa kabisa na kushindwa kufanya tendo la ndoa maana fikra zimegawanyika.
MADHARA YA PUNYETO
Madhara ya punyeto ni mengi sana, kumbuka mtu aliyezoea kujichua maana yake anamiliki wanawake wengi wa kufikirika, hivyo unapofikia wakati wa kuwa na mke halisi fikra hutatanika kwa kukumbuka wapenzi wale wa kufikrika aliofanya nao ngono kwa njia ya kujichua. Na kwa kuwa mke halisi ni mmoja na wale wa kufikrika ni wengi, akili hushindwa kutambua upande upi ni bora kwake, hivyo uume kushindwa kusimama vyema kwa sababu ya mwathiriko wa kisaikolojia.
Kumbuka tendo la ndoa hufanyika tu pale akili inapokuwa na utulivu. Madhara mengine ya mtu aliyejichua kwa muda mrefu ni;
1.Kuathirika(kusinyaa) kwa mishipa ya uume, hivyo kushindwa kujaa damu inayopelekea kusimama kwa uume wakati wa tendo la ndoa.
2.Kuathirika kwa mfumo wa mkojo, jambo linaloweza kusababisha tezi dume.
3.Kupungua kwa hisia za kufanya tendo la ndoa.
4.Kuathirika kwa mfumo wa uzalishaji wa mbegu za kiume.
5.Maumivu ya kichwa, mgongo, kiuno na uchovu mwingi kila wakati.
Madhara makuu zaidi ya mtu aliyeathirika na punyeto ni kupungukiwa nguvu za kiume na hivyo kupelekea kufika kileleni mapema zaidi wakati wa tendo la ndoa, Kwani mishipa ilishasinyaa na hivyo haiwezi kustahimili kubeba damu inayopelekea maumbile kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa.
Kumbuka tiba ya Malaria siyo kulala kwenye chandarua wakati tayari una malaria, tiba ni kutumia dawa ili malaria ipone, na ushauri ni kulala kwenye chandarua ili usiumwe na mbu ukaugua malaria tena.
Hivyo kama ulifanya punyeto na imepelekea upungufu wa nguvu za kiume, suluhisho ni kutafuta tiba, na ushauri usirudie tena kufanya punyeto.
Ikiwa umeshindwa kabisa kuachana na zoezi Hilo au umekwishakupata madhara yatokanayo na zoezi Hilo,usisite kuandika hapa ili upate msaada zaidi.
Umejuaje kuwa punyeto ndio imekuathiri kama sio uwongoNimeanza kupiga nyeto 2013 na mara ya mwisho ni jana saa 3 usiku na nimeshindwa kuacha pia imeshaniathiri siwezi kufanya tendo halisi.
Msaada tafadhali nina miaka 25
Duuu unabishana mpka na mhusika mwenyewe! Hii Sasa hatari.Umejuaje kuwa punyeto ndio imekuathiri kama sio uwongo
Hisia zake tu za kutokujiamini anasingizia punyetoDuuu unabishana mpka na mhusika mwenyewe! Hii Sasa hatari.
Please give us a break. It is very early morning.KUUNDA PEPO KUPITIA PUNYETO NA UASHERATI
Wakati mtu anatoa mbegu bila sababu matone hayo ya mbegu hutoka na kupaa hewani.
Matone hayo hayaingii kikoa takatifu, na hazipati mahali pazuri.
Badala yake, zinatangatanga bila kusudi, na kuunda viumbe vya uharibifu ambavyo vinazurura ulimwengu.
Roho hizi zipo katika hali isiyokamilika, sio katika ulimwengu huu wala ijayo.
Wakati mtu aliyewaumba anaondoka kutoka kwenye ulimwengu huu, wanakuja mbele yake na kumshtaki, akisema:👇👇
Hautupi mwili, hakuna mahali, hakuna kusudi. Sasa tutashuhudia dhidi yako.
Kila tone la mbegu ambalo mtu hutoka vibaya hutengeneza roho za uharibifu ulimwenguni.
Roho hizi huzunguka na kuonekana mbele ya Mtakatifu, abarikiwe yeye.
Wanamwambia: Hatuna mwili na hakuna mahali pa kwenda.
Wanatangatanga ulimwengu na kuleta uchafu juu yake.
Na mtu anapoondoka kutoka kwa ulimwengu huu, roho hizi zinakuja kwake na kutoa ushahidi dhidi yake, na kumletea adhabu katika ulimwengu ujao.
Roho hizi zinajishughulisha na uchafu, KUUNDA nguvu kutoka kwenye vikosi vya upande mwingine .
Wanashikamana na maeneo ya uchafu na kupata riziki katika dhambi za wanadamu, na kusababisha watu kupotea zaidi.
Hii ndio sababu mwanaume lazima awe mwangalifu na mbegu yake, asije akaunda vikosi ambavyo vinamdhuru katika ulimwengu huu na mwingine.View attachment 3236738
Kikubwa ngono na mkono kwenda kinywani baas. Mengine hayana tijaEndeleeni kukaririshana mambo yasiyo na tija mkiamka mseme Trump hasaidiii Africa
Kama katika ulivyovitaja Kuna kinachokupa shida kukipata mpaka unaona ni big deal bas jipige kifua mara tatu huku ukijiambia 'mimi ni zwazwaa'
Tena vile ming'oko😂😂😂😂😂😂😂😂Mnatuona vilaza sio?
View attachment 3236740
Kikosi Kaz unacho cha kutosha ww 😅😅TUMEISHAA🥹🥹🥹