Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 618
- 1,440
Chawaputa acha makarisiko ππππ basi πππEndeleeni kukaririshana mambo yasiyo na tija mkiamka mseme Trump hasaidiii Africa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawaputa acha makarisiko ππππ basi πππEndeleeni kukaririshana mambo yasiyo na tija mkiamka mseme Trump hasaidiii Africa
Kuwa makini kijana.Tena vile ming'okoππππππππ
Mnaambiwa ukweli Ili mjue mnavyo vifanya mnakua wakali na kujipa vyeo sio vyenu
Izo zipo ndan ata darasani unaonekana ulikua kilaza,ππππ€£π€£π€£
Sasa mbona ukimwagia ndani ni mbegu 1 tu hutunga mimba huku mamilioni zikibaki nje
Au nazo zitaenda kudai kwanini hazikufika kwenye yai
Bas mkuu ππKuwa makini kijana.
View attachment 3236747
Nlikuwa najikoki kipindi nipo shule uboyzn zamani sanaChawaputa acha makarisiko ππππ basi πππ
Duh..!KUUNDA PEPO KUPITIA PUNYETO NA UASHERATI
Wakati mtu anatoa mbegu bila sababu matone hayo ya mbegu hutoka na kupaa hewani.
Matone hayo hayaingii kikoa takatifu, na hazipati mahali pazuri.
Badala yake, zinatangatanga bila kusudi, na kuunda viumbe vya uharibifu ambavyo vinazurura ulimwengu.
Roho hizi zipo katika hali isiyokamilika, sio katika ulimwengu huu wala ijayo.
Wakati mtu aliyewaumba anaondoka kutoka kwenye ulimwengu huu, wanakuja mbele yake na kumshtaki, akisema:ππ
Hautupi mwili, hakuna mahali, hakuna kusudi. Sasa tutashuhudia dhidi yako.
Kila tone la mbegu ambalo mtu hutoka vibaya hutengeneza roho za uharibifu ulimwenguni.
Roho hizi huzunguka na kuonekana mbele ya Mtakatifu, abarikiwe yeye.
Wanamwambia: Hatuna mwili na hakuna mahali pa kwenda.
Wanatangatanga ulimwengu na kuleta uchafu juu yake.
Na mtu anapoondoka kutoka kwa ulimwengu huu, roho hizi zinakuja kwake na kutoa ushahidi dhidi yake, na kumletea adhabu katika ulimwengu ujao.
Roho hizi zinajishughulisha na uchafu, KUUNDA nguvu kutoka kwenye vikosi vya upande mwingine .
Wanashikamana na maeneo ya uchafu na kupata riziki katika dhambi za wanadamu, na kusababisha watu kupotea zaidi.
Hii ndio sababu mwanaume lazima awe mwangalifu na mbegu yake, asije akaunda vikosi ambavyo vinamdhuru katika ulimwengu huu na mwingine.View attachment 3236738
HahahaKama katika ulivyovitaja Kuna kinachokupa shida kukipata mpaka unaona ni big deal bas jipige kifua mara tatu huku ukijiambia 'mimi ni zwazwaa'
Naongeza kikosi cha kukuangamiza cha mwishoπππDuh..!
Nimeogopa sana acha tu nipige Nyeto mara ya mwisho leo ili niache jumla.
Weng hawana maalifa Aya na tunawapa Bado wanapingaHuu uzi umebebaukweli asilimia 100
Pole sanaNimeanza kupiga nyeto 2013 na mara ya mwisho ni jana saa 3 usiku na nimeshindwa kuacha pia imeshaniathiri siwezi kufanya tendo halisi.
Msaada tafadhali nina miaka 25