Haaahaaa....tunataka tuone jasho na damu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Lakini kutongoza sio mchezo,kazi moja ngumu sana,halafu saa nyengine mwanamke anakua anajua nini mwanamme anataka lakini dah!! wanawake Mungu anawaona lakini
Mhh pole yao na hakuna namna kutongoza wameumbiwa waoNasikia ni kazi kwelikweli....wenyewe huwa wanasemaga!
Nadhani ni nature
hahha...sio wasukuma tu(japo wao ni too much).
Kuna kaka yangu Mtu mkubwa kabisa na vidato vikubwa kukuzidi...Ana ile accent halisi ya kiarusha na meno yetu yale.
Ukikutana naye sehemu mkaanza kuongea unasema huyu mvuta bangi tu....hizi za asili haziishi kiurahisi.
Meona eeh?....maana mara naona vichambo kama vyote while hatujui[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ungetolea mifano baadhi ya sehemu kwa Hapa Tz ambako wadada Classy wanapatikana. ..tujifunze japo kwa macho.
Akikujibu nitag.Ungetolea mifano baadhi ya sehemu kwa Hapa Tz ambako wadada Classy wanapatikana. ..tujifunze japo kwa macho.
Aiseee...wee njoo na Mwili mzuri tu...tutafundishana hayo mengine ya kuwa Classy...Haha...
Nasubiri mchango wako kwanza nione upo mrengo upi..kisha nije.
Akiwa na maongezi mazuri na hana hayo material things?
Chief ungepeleka huu uzi Pm basi uwaonyeshe hao classy!Haha halafu naona watu wanatiririka bila kuangalia aina ya wanawake wanaozungumziwa hapa!! Naona wavaa madera wameanza vidole juu!!
Wewe minyuko yako ndio hizo Ralph Lauren?Ukishindwa Ralph Lauren kuna minyuko mingine pia ya kiwango chako... Ila pia utakuwa simple but expensive pia
Tunaelewa tofauti.
Sasa mwili utakuwaje mzuri bila ku attend classy gym?Aiseee...wee njoo na Mwili mzuri tu...tutafundishana hayo me nine ya kuwa Classy...
Ndiyo.Wewe minyuko yako ndio hizo Ralph Lauren?
Safi sana.Ndiyo.
Sindio tuanzishe Classy yetu. .nasio kufuata Universal Classy...Sasa mwili utakuwaje mzuri bila ku attend classy gym?
haha..Kuna West Africans pia. Imagine accent zao zilivyo nzito kuliko hata zetu. Lakini wenzetu wanachanja mbuga tu..
Mimi wanawake wangu nawaopoa Yombo,Tandika,Mbagala hawajui yanayozungumziwa humu.Nikajua na wewe wakujua?
Mi nimependea hapo kwenye majukumu ya mwanaume!
Mwanaume ni lazima ujue majukumu yako ukifeli hapo ( kwenye kipengele cha ugentleman) storee zako zote zinakuwa hazina mvuto.....yaan ni mvutoless
Haha ongeeni ukweli...Chief ungepeleka huu uzi Pm basi uwaonyeshe hao classy!
Umeuleta hapa ili kila mmoja atiririke anavyojua huh?