Kijana fanya haya kumnasa mwanamke yeyote classy!

Me too....namsubiria jeshi la mtu mmoja liamke likinukishe kudadadeki

Ikifikaga ishu ya umri tu lazima povu la omo kama loote hivii[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukweli wauma jamani asikuambie mtuu!!!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Leo ataona rangi zetu bibi yetu
 
Ukweli wauma jamani asikuambie mtuu!!!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Leo ataona rangi zetu bibi yetu
Kama li X halijaletwa sijui[emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126] [emoji126]

Komando kipensi yuko chimbo anafyatua [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] akiibuka huko sijui kama kesho watu watafanya kazi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umetisha, umesema vitu nilivokutana navo kiuwasilia kazini na hata nje ya Tanzania na ni kweli vinafanya kazi. Mimi nina swali Kaka mkubwa "GENTLEMAN" tunaweza mpa jina gani zuri la kiswahili Au mwanaume mtanashati litapendeza?
 
Kama li X halijaletwa sijui[emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126] [emoji126]

Komando kipensi yuko chimbo anafyatua [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] akiibuka huko sijui kama kesho watu watafanya kazi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji4] [emoji23] [emoji23] ngoja tu amnyooshe kwanza

Siku hizi simuoneagi hurumaa
 
Umetisha, umesema vitu nilivokutana navo kiuwasilia kazini na hata nje ya Tanzania na ni kweli vinafanya kazi. Mimi nina swali Kaka mkubwa "GENTLEMAN" tunaweza mpa jina gani zuri la kiswahili Au mwanaume mtanashati litapendeza?

Kwakweli nami hutafuta direct meaning ya gentlemen in kiswahili sijapata. But hii formula ina apply sana!! Umepaka Perfume bleu de Chanel... mkononi umevaa Oris watch hata Rihana atakutazama!!
 
Everyrhing has got a value... example ; Ignorance. Classy Girl. Cheap Girl.

Free Lesson. Go for classy girl if u have a chance. By luck (Life has to offer) u may go for a cheap girl.

Haha pata picha umepiga original Prada eyewear ya 300 usd... mkononi una saa ya maana umetupia perfume maridadi then unaingia McDonald’s au burgeking ukutane na mrembo asikutazame?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…