Kijana fanya haya kumnasa mwanamke yeyote classy!

Tukija kwenye mavazi.
Lacoste, Ralph Lauren, Tommy..
Look simple on guys huwa wanaonekana a little bit next level.
Yeah kumbe unaelewa!! Shida akina ndala ndefu hivi vitu hawaelewi but ukienda dunia ya kwanza majority wanaelewa!!
 
Creed aventus kuagiza 1M+ ..hapa lazima ujipange
 
Tukija kwenye mavazi.
Lacoste, Ralph Lauren, Tommy..
Look simple on guys huwa wanaonekana a little bit next level.
Nyie wadada mambo yenu ya uzungu..labda mitumba au midosho ya kariakoo, kibongobongo tshirt ya $70 unafikiri mchezo.
 
Kijana ukiweza fanya hayo hakuna mwanamke atakukataa ktk dunia hii hata kama sio kwa mapenzi hata kwa urafiki tuu...
This thread is full of sh******t, pure nonsense! Mtu mzima na akili zako unawafundisha vijana kutumia gharama kubwa ili kupata ngono, zinaa na uasherati? Unawafundisha watu kutumia gharama kubwa kuitumikia dhambi???

Tokea umeanza kuwapata hao "wadada classy" umefaidika na nini??

Mkuu zinaa haina faida yoyote ile, zinaa ni hasara kwa mwili na roho pia. Vitabu vyote vya dini hapa duniani vinakemea sana zinaa... ikimbieni ZINAA...... fahamu kwamba kila jambo unalolitenda hapa duniani ipo siku utatoa hesabu yake yote.. amini nakuambia ipo siku utalipia kila uchafu unaoufanya hapa duniani.
 
Ukishindwa Ralph Lauren kuna minyuko mingine pia ya kiwango chako... Ila pia utakuwa simple but expensive pia

Tunaelewa tofauti.
 


Hahaha!, mbonaaa!
Thank God for the old say..

"Dont judge a book by its cover"
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wengine wanazimia, pressure daaah!
Lakini kutongoza sio mchezo,kazi moja ngumu sana,halafu saa nyengine mwanamke anakua anajua nini mwanamme anataka lakini dah!! wanawake Mungu anawaona lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…