Kijana fanya haya kumnasa mwanamke yeyote classy!

Kijana fanya haya kumnasa mwanamke yeyote classy!

Transcend wewe hupendi watoto classy? kwa lugha rahisi mtoto mkali/pini...

kuanzia minyuko hadi utembeaji.
Nina mmoja mkali ananitosha kaka..

Wala sikumpata kwa staili hii ya kufaa saa nzuri na perfume kali..

Nilikuwa mimi tuu! Saa na perfume nilikuwa navyo vile ambavyo nina uwezo navyo tuu.
 
Mkuu umepotea sana yan Women are the one who knows what to look for in Men....sasa saa itasaidia nini au perfume mkali wangu....be real be you try to show the best side of you sio mara eti usafiri private....be genuine man and improve how you face things they will be attracted to you.....

Few years back niligundua masharobaro weng huwa hawanauwezo wa kumiliki beautiful girls simply because wanacomplicate mambo....be simple tu kuwa na lugha nzuri umfuate kistaarabu asihisi unamuintimidate hata kama yupo na rafiki zake atakupa time to talk to her
 
Mwanamke yeyote hasa aliye classy huvutiwa na mambo haya kwa mwanaume.. achana na hadithi za baby baby all the time.

Kwanza kuwa smart! Nakumbuka first timenilikutana na mrembo machachari afrika mashariki anaeanza na herufi ”Z” pale 5th Avenue NY ktk mkahawa fulani aliniuliza bro umetumia cologne gani? Nikamwambia ni Creed Aventus alimalizia kwa kusema nzuri mno!! Perfume iliniunganisha na mrembo yule tukachat machache na kuachana but ndo ilifungua ukurasa wa kufahamiana. Vaa nguo nzuri na simple, kama ni miwani usivae ya machinga vaa ya majina na original kama Gucci... Prada etc

Pili kuwa Expensive!! Yote duniani yanawezekana ni juhudi zako tuu!! Vaa saa expensive, tumia perfume expensive za majina kama akina Paco Rabanne, YSL, Isey Miyake, Georgio Armani... Chanel etc.. alimia 70 za warembo nilio wahi kuwa nao niliwanasa kwa perfumes tu! Unakuta mrembo kila saa anapita pita mbele yako.

Vaa saa nzuri... simple looking but expensive one!! Vaa saa genuine!

Tumia Simu brand kali na toleo jipya sio unatumia older versions za iPhone au Samsung ukategemea mrembo classy atakupa attention!

Pendelea kutumia usafiri private hata kama huna Gari! Kwa wale wa mjini tumia Uber.. mtoto wa kike kumkimbiza na vibajaji atakushusha!!

Tatu na mwisho be a gentleman!! Ishi ktk jinsia yako ya kiume!! Tambua wajibu wa mwanaume mbele ya mwanamke!! Beba majukumu yote mbele yake kama kulipia bills, kutoa msaada n.k wanawake huvutiwa sana na mwanaume mlipa bills!! Hata mkiwa club wanawake wengi macho yao huwa kwa wanaume wanaosimamia show!!

Kijana ukiweza fanya hayo hakuna mwanamke atakukataa ktk dunia hii hata kama sio kwa mapenzi hata kwa urafiki tuu...

Hizo ndo nondo toka kwa kaka yenu ninayesubiria uhenga!!
Nakuja kupata mtt classy wa kuoa kumbe haya, jenga kwanza kijana then anzisha familia, starehe hazina mwisho, ujana maji ya moto [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kuna Umri unajisikia sana kufanya haya, na Kama pesa inaruhusu , basi fanya, ila nadhan wafanye sana ambao umri upo 21 -26 yrs, tuliozid hapo tunakuwa na Mawazo tofaut kidogo na hayo Mambo.
Sasahiv hatuko kuvutia wanawake kwa purfume, au kwa kulipa Bill , ila tupo kwa kuwavutia na Nyumba/viwanja, Potential Job, unavyodhaminika Kwenye jamii nk..
 
Kuna watu hawana elimu juu ya mahusiano kabisa kama unadhani uwanaume wako upo kwenye kuvaa vitu vikali na perfume za bei ghari inaonesha dhahili kua umechemsha , maana kuna watoto wazuri wamezaliwa maisha ya kitajiri ambao hata ufanye nini kapuku kama mimi hauwezi kuwa impress hata kidogo , lakini still unakutana naye unamtia sumu na mtoto anakuelewa wakati ukilinganisha maisha yake na yako ni vitu viwili tofauti , kuna wanawake wanakazi za maana wafanya biashara wanapesa ndefu lakini unakuta jamaa wa kawaida anaomba date na anapewa kwa ile confidence anayokua nayo tu , tabia za kutaka kujifanya matawi class hii inaonesha kuna something ume miss kama mwanaume tena bora demu ajue wew unamaisha ya chini kawaida tu kuliko kujidai tajiri alafu akagundua bonge la pretender , kwenye maisha siku zote kutakua na wenye pesa kuliko wew kutakua na wenye vitu vya maana kuliko wewe kama uwanaume wako unategemea vitu hivyo kila siku utajisikia inferior na wanawake wanajua sana type hii ya wanaume
 
Wewe ndio nonsense na jobless!! Ktk thread zote za maana umeona upoteze muda kwenye nonsense!! Kula dagaa kajambe mbele
Mkuu unajua nimetoka kula dagaa sasa hivi..😎😎
 
Haha Nani kakwambia Creed aventus $30? Hii inaonesha wazi upo ktk dunia ipi. Then kama thread huielewi achana nayo! Sipo kutafuta ligi hapa nimeiona tone ya ujumbe wako tangu mwanzo!

Hao unaosema level yako ni vizuri ukaenda jadiliana nao huko. All the best!!

Lmao! Clown of a month!
Haya na wewe kila la heri na perfumes zako za dola 500 na miwani ya dola 900 etc huku nyumba unalipa kodi kwa aliyetumia akili kujenga ili uishi na mwenye ofisi akakuajiri. Akina warren buffet wangekuwa wajinga hivi leo wasingekuwa matajiri wa dunia.
 
Nina mmoja mkali ananitosha kaka..

Wala sikumpata kwa staili hii ya kufaa saa nzuri na perfume kali..

Nilikuwa mimi tuu! Saa na perfume nilikuwa navyo vile ambavyo nina uwezo navyo tuu.

Alikupendea hivyo hivyo ulivyotupia.
 
Kuna Umri unajisikia sana kufanya haya, na Kama pesa inaruhusu , basi fanya, ila nadhan wafanye sana ambao umri upo 21 -26 yrs, tuliozid hapo tunakuwa na Mawazo tofaut kidogo na hayo Mambo.
Sasahiv hatuko kuvutia wanawake kwa purfume, au kwa kulipa Bill , ila tupo kwa kuwavutia na Nyumba/viwanja, Potential Job, unavyodhaminika Kwenye jamii nk..
Heri yenu. Wengi tupo kuishi maisha yetu vile tunavyopenda,hatuhitaji kumvutia mtu yeyote.
 
Mwanamke yeyote hasa aliye classy huvutiwa na mambo haya kwa mwanaume.. achana na hadithi za baby baby all the time.

Kwanza kuwa smart! Nakumbuka first timenilikutana na mrembo machachari afrika mashariki anaeanza na herufi ”Z” pale 5th Avenue NY ktk mkahawa fulani aliniuliza bro umetumia cologne gani? Nikamwambia ni Creed Aventus alimalizia kwa kusema nzuri mno!! Perfume iliniunganisha na mrembo yule tukachat machache na kuachana but ndo ilifungua ukurasa wa kufahamiana. Vaa nguo nzuri na simple, kama ni miwani usivae ya machinga vaa ya majina na original kama Gucci... Prada etc

Pili kuwa Expensive!! Yote duniani yanawezekana ni juhudi zako tuu!! Vaa saa expensive, tumia perfume expensive za majina kama akina Paco Rabanne, YSL, Isey Miyake, Georgio Armani... Chanel etc.. alimia 70 za warembo nilio wahi kuwa nao niliwanasa kwa perfumes tu! Unakuta mrembo kila saa anapita pita mbele yako.

Vaa saa nzuri... simple looking but expensive one!! Vaa saa genuine!

Tumia Simu brand kali na toleo jipya sio unatumia older versions za iPhone au Samsung ukategemea mrembo classy atakupa attention!

Pendelea kutumia usafiri private hata kama huna Gari! Kwa wale wa mjini tumia Uber.. mtoto wa kike kumkimbiza na vibajaji atakushusha!!

Tatu na mwisho be a gentleman!! Ishi ktk jinsia yako ya kiume!! Tambua wajibu wa mwanaume mbele ya mwanamke!! Beba majukumu yote mbele yake kama kulipia bills, kutoa msaada n.k wanawake huvutiwa sana na mwanaume mlipa bills!! Hata mkiwa club wanawake wengi macho yao huwa kwa wanaume wanaosimamia show!!

Kijana ukiweza fanya hayo hakuna mwanamke atakukataa ktk dunia hii hata kama sio kwa mapenzi hata kwa urafiki tuu...

Hizo ndo nondo toka kwa kaka yenu ninayesubiria uhenga!!
Sio USAWA WA MAGU labda Enzi za J.K.
 
Back
Top Bottom