Kijana fanya haya kumnasa mwanamke yeyote classy!

Kijana fanya haya kumnasa mwanamke yeyote classy!

Nautaishi maskini daima izo ni dalili za kutokufanikiwa kwenye Misha yako
 
Waelekeze na namna ya kupata hizo pesa za kuishi hayo maisha.
 
Mwanamke yeyote hasa aliye classy huvutiwa na mambo haya kwa mwanaume.. achana na hadithi za baby baby all the time.

Kwanza kuwa smart! Nakumbuka first timenilikutana na mrembo machachari afrika mashariki anaeanza na herufi ”Z” pale 5th Avenue NY ktk mkahawa fulani aliniuliza bro umetumia cologne gani? Nikamwambia ni Creed Aventus alimalizia kwa kusema nzuri mno!! Perfume iliniunganisha na mrembo yule tukachat machache na kuachana but ndo ilifungua ukurasa wa kufahamiana. Vaa nguo nzuri na simple, kama ni miwani usivae ya machinga vaa ya majina na original kama Gucci... Prada etc

Pili kuwa Expensive!! Yote duniani yanawezekana ni juhudi zako tuu!! Vaa saa expensive, tumia perfume expensive za majina kama akina Paco Rabanne, YSL, Isey Miyake, Georgio Armani... Chanel etc.. alimia 70 za warembo nilio wahi kuwa nao niliwanasa kwa perfumes tu! Unakuta mrembo kila saa anapita pita mbele yako.

Vaa saa nzuri... simple looking but expensive one!! Vaa saa genuine!

Tumia Simu brand kali na toleo jipya sio unatumia older versions za iPhone au Samsung ukategemea mrembo classy atakupa attention!

Pendelea kutumia usafiri private hata kama huna Gari! Kwa wale wa mjini tumia Uber.. mtoto wa kike kumkimbiza na vibajaji atakushusha!!

Tatu na mwisho be a gentleman!! Ishi ktk jinsia yako ya kiume!! Tambua wajibu wa mwanaume mbele ya mwanamke!! Beba majukumu yote mbele yake kama kulipia bills, kutoa msaada n.k wanawake huvutiwa sana na mwanaume mlipa bills!! Hata mkiwa club wanawake wengi macho yao huwa kwa wanaume wanaosimamia show!!

Kijana ukiweza fanya hayo hakuna mwanamke atakukataa ktk dunia hii hata kama sio kwa mapenzi hata kwa urafiki tuu...

Hizo ndo nondo toka kwa kaka yenu ninayesubiria uhenga!!
Mkuu....nimemchukua mtoto k/koo nikampeleka beach sun rise wahindi na wazungu kibao. Sikuwa na usafiri wangu leo kuna mwana kauazima.

Nikarudi naye, nikampiga dinner ya maana. Nikamsindikiza kwao.
Mimi kwenye usafiri private kama sina wa kwangu ndio kimbilio.
 
Anxiety, is a mental health disorder characterised by feelings of worry, anxiety or fear that are strong enough to interfere with one's daily activities.
 
Haaahaaahaaaa....hivi unafikiri ni kweli kinachosemwa hapa na huyoo? Hakuna kitu hapo ptuu

Njoo pm nikupe series yake...utatapika kichefu chefu kitupu!

Mi nashangaa anatuwekea maisha ya akina pdiddy hapa wakati watu wako Tanzania.
 
Mwanamke yeyote hasa aliye classy huvutiwa na mambo haya kwa mwanaume.. achana na hadithi za baby baby all the time.

Hizo ndo nondo toka kwa kaka yenu ninayesubiria uhenga!!
mwanamke class ana k ngapi ambazo wengine wa kawaida hawana? Halafu kuwa kama unavyosema uone kama kati yako na sisi wanaume tusio smart ni akina nani wanachukua vitu vikali mpaka whites kiulaini. cha ajabu ni wanawake classy lkn nao wana njaa na hela yako, kwann usiseme ukitaka mwanamke classy ni dau lako which is a fact!
 
Kwa mshahara gani mzee.
Stay on your fuckin' lane.
Yule messenger pale kwa ofisi posta analipwa laki 4.5 akafanye hayo mambo kabisaa?!
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake,Dont generalize things.
 
Katika vyote hapo hujasema utafute hela ili upate hivyo expensive so kwangu ni useless[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Back
Top Bottom