DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
kwaniniKwangu mimi huu ni uzi bora wa mwaka mzima.
Kitambo sijakuona mamaπaki nyie π π π π tumepew jina jipya
Mipira iliyokufa ni wanawake wa mitaan ambao hawana mbele wala nyuma yaan wapowapo tu ukimtongoza siku moja tu anakukubalia na ukimkaribisha kuja gheto anakuja na begi la nguo yeye anahisi anaenda kuolewa,Fafanua mpira uliokufa
Dooh imenichukua dk kadhaa hadi kuielewa hii pichaKweli kabisa ona sasa
View attachment 2994454
Uko sahihi.Haijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa .
Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake
Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose.
Usiogope competition (kushindanda) wewe shindana na hao wenye pesa
Ukisema unasubiria kupiga mpira uliyokufa ndo hawa singo mama na n.k so take care.
Mipira iliyokufa Ina-gharama zake so usijaribu.
Ninyi watu haha ππππ eti mipira ilivyokufa umekua azizi kiHaijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa .
Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake
Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose.
Usiogope competition (kushindanda) wewe shindana na hao wenye pesa
Ukisema unasubiria kupiga mpira uliyokufa ndo hawa singo mama na n.k so take care.
Mipira iliyokufa Ina-gharama zake so usijaribu.
kuna jamaa mmoja anaitwa Mshamba_HachekwiMipira iliyokufa ndo nini?
Bwana yesu asifiwe mtumishi.Dooh imenichukua dk kadhaa hadi kuielewa hii picha
Niseme tu mi5 tena kwa mama.
Duu!!! Nyie vijana B2B πππUko sahihi.
Mwanaume mwema usioe mwanamke juu ya umri wa miaka 25.
Maana wanawake wa aina hiyo huwa wanataka kuokolewa, watakubali kuolewa nawe kwasababu ya unachoprovide. Wasingekuchagua kama wangekuwa na umri chini ya hapo.
Mwanamke anayekupenda kuanzia miaka 18-24 kwa jinsi ulivyo muoe.
Pia kaa mbali na B2B midfielders.
Mchunguze, jua maisha yake ya nyuma, usimuoe bila kujua past yake. Past matters.
Amina mtumishi, ubarikiwe sanaBwana yesu asifiwe mtumishi.