Kijana jiepushe na kupiga mipira iliyokufa

Kijana jiepushe na kupiga mipira iliyokufa

Vipi mtoto akiishi na baba tu?
Upendo wa mama pia ni muhimu sana,Mungu hakukosea kutengeneza Unit kati ya mwanaume na mwanamke kisha watoto wapatikane.
Ushawahi kusikia mtoto anasema nitamwambia mama,alafu mwimgine hajui mama yake yuko wapi au baba yuko wapi.

Watoto wanajua baba au mama ndio kila kitu, mind you wakienda familia nyingine utasikia mama kanipa hiki au kile au baba did this and that alafu akivuta picha home mama au baba mmoja hayupo.Hapo mtoto anaumia sana,kuna siku akipata muda atauliza maswali mpaka utashangaa.
 
Haijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa .

Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake

Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose.

Usiogope competition (kushindanda) wewe shindana na hao wenye pesa

Ukisema unasubiria kupiga mpira uliyokufa ndo hawa singo mama na n.k so take care.

Mipira iliyokufa Ina-gharama zake so usijaribu.
rahisi ni ghali sio 🐒
 
Ahahaa....mipira ilikufa msife moyo tupo wanaume wenye mioyo migumu tunajua kufanya repair kitu kinakuwa new model afu tunawarudishia vijana wa 2000s mtaani...

Sema nini.....mchawi pesaa tu,wanaume wanawake tunachukulia kama chombo ya starehe tu
 
Haijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa .

Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake

Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose.

Usiogope competition (kushindanda) wewe shindana na hao wenye pesa

Ukisema unasubiria kupiga mpira uliyokufa ndo hawa singo mama na n.k so take care.

Mipira iliyokufa Ina-gharama zake so usijaribu.
Wa Dada pia chukueni hii, kubali mwanaume ambae yupo kwenye peak yake
 
B2B MIDFIELDER (BED TO BED MIDFIELDER):

Hawa ni wanawake ambao waliwahi kuwa na mahusiano na wanaume zaidi ya mmoja, wamebadilisha vitanda vingi na sifa zao ni hizi:

1) Wanachukia ukiwa mwema sana. Ukiwa mwema wanakuona dhaifu kutokana na historia ya wao kuumizwa kwenye mahusiano .

2) Wanapenda attention za wanaume.

3) Wanapenda kuumizwa kihisia, ndo wanaona wanapendwa.

4) Wanapenda mwanaume akiwa indifferent kuonyesha wana options.

5) Ukiwacheat , wanabaki kwenye mahusiano licht ya kwamba baada ya cheating uliwadhalilisha , wao wanaona una thamani kubwa mpaka mwanamke mwingine kakubali kulala nawe.

6) Asilimia kubwa wanazaa watoto na badboys. Alafu wanataka wanaume wema walee watoto wao.

7) Wanachukia mwanaume kuwa romantic.

8) Ni wasaliti wa kukubuhu.

Kama ni mwanaume mwema kaa mbali nao.
Duh! Aisee 🤔
 
Uko sahihi.
Mwanaume mwema usioe mwanamke juu ya umri wa miaka 25.

Maana wanawake wa aina hiyo huwa wanataka kuokolewa, watakubali kuolewa nawe kwasababu ya unachoprovide. Wasingekuchagua kama wangekuwa na umri chini ya hapo.

Mwanamke anayekupenda kuanzia miaka 18-24 kwa jinsi ulivyo muoe.

Pia kaa mbali na B2B midfielders.
Mchunguze, jua maisha yake ya nyuma, usimuoe bila kujua past yake. Past matters.
Hawa akina kante unamaanisha nini mkuu(B2B)
 
B2B MIDFIELDER (BED TO BED MIDFIELDER):

Hawa ni wanawake ambao waliwahi kuwa na mahusiano na wanaume zaidi ya mmoja, wamebadilisha vitanda vingi na sifa zao ni hizi:

1) Wanachukia ukiwa mwema sana. Ukiwa mwema wanakuona dhaifu kutokana na historia ya wao kuumizwa kwenye mahusiano .

2) Wanapenda attention za wanaume.

3) Wanapenda kuumizwa kihisia, ndo wanaona wanapendwa.

4) Wanapenda mwanaume akiwa indifferent kuonyesha wana options.

5) Ukiwacheat , wanabaki kwenye mahusiano licht ya kwamba baada ya cheating uliwadhalilisha , wao wanaona una thamani kubwa mpaka mwanamke mwingine kakubali kulala nawe.

6) Asilimia kubwa wanazaa watoto na badboys. Alafu wanataka wanaume wema walee watoto wao.

7) Wanachukia mwanaume kuwa romantic.

8) Ni wasaliti wa kukubuhu.

Kama ni mwanaume mwema kaa mbali nao.
Duh mlikubaliana kikao kipi haya majina😃mbona nimepitwa sana
 
Back
Top Bottom