Kijana jiepushe na kupiga mipira iliyokufa

Kijana jiepushe na kupiga mipira iliyokufa

kwanini

unamuitaje mwanamke alieta uhai ‘mpira uliokufa’
mtoa mada ana personal grudges zake nadbani
Mbona nyie huwa mnawaita wanaume majina ya ajabu na hakuna kitu mnaambiwa mkaelewa hebu tulia dawa ikuingie.
 
B2B MIDFIELDER (BED TO BED MIDFIELDER):

Hawa ni wanawake ambao waliwahi kuwa na mahusiano na wanaume zaidi ya mmoja, wamebadilisha vitanda vingi na sifa zao ni hizi:

1) Wanachukia ukiwa mwema sana. Ukiwa mwema wanakuona dhaifu kutokana na historia ya wao kuumizwa kwenye mahusiano .

2) Wanapenda attention za wanaume.

3) Wanapenda kuumizwa kihisia, ndo wanaona wanapendwa.

4) Wanapenda mwanaume akiwa indifferent kuonyesha wana options.

5) Ukiwacheat , wanabaki kwenye mahusiano licht ya kwamba baada ya cheating uliwadhalilisha , wao wanaona una thamani kubwa mpaka mwanamke mwingine kakubali kulala nawe.

6) Asilimia kubwa wanazaa watoto na badboys. Alafu wanataka wanaume wema walee watoto wao.

7) Wanachukia mwanaume kuwa romantic.

8) Ni wasaliti wa kukubuhu.

Kama ni mwanaume mwema kaa mbali nao.

Well said hujakosea hata nukta
 
Haijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa .

Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake

Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose.

Usiogope competition (kushindanda) wewe shindana na hao wenye pesa

Ukisema unasubiria kupiga mpira uliyokufa ndo hawa singo mama na n.k so take care.

Mipira iliyokufa Ina-gharama zake so usijaribu.
Dead balls zina advantage ya kuscore kwa urahisi to me nitadeal na mipira iliyokufa mpaka siku nitayokufa
 
Kuna wanaume humu isingekua baba zenu kuokota mipira iliyokufa msingezaliwa ila bado mnanyanyua midomo[emoji1787]

Yani kijana ana mama ake ambae kakulia kimboka hakuna fimbo haijui wakamzalisha wakamwacha. Bahati nzuri katokea mbaba wa watu akasema ngoja nibahatishe niweke ndani huyu huyu labda atatulia ukazaliwa wewe ambae humu ndani unaita single mothers takataka[emoji23] bila mzee wa watu kumuonea huruma mama yako ungezaliwa na bata?

Wengine hapa ni product ya mchepuko na home wreckers mama zenu walikua ma secretary sijui ma housegal etc mmekuja kukutanishwa na baba zenu uzeeni nanyie bado mnatukana single moms.

Wengine baba zenu waliombwa utumie jina la ubini la watoto wake ambalo ni jina wanalotumia kaka au dada yako ili usijiskie vibaya ila kiuhalisia hapo sio kwenu wala hao sio ndugu zako wa damu . Saizi mnajifanya mna uchungu sana na single moms. Anza kutukana aliekuzaa tujue una maumivu kweli na hao single mothers mnaowaita mipira.

Wengine mlifichwa vijijini, mama zenu wakaja kudanga mjini ili wapate afadhali ya maisha na wengi wenu mmelelewa na mabibi ila tunawastahi. Tukisema turudishe matusi mnayotukana hapatakalika humu wengine tuna midomo itawaumiza balaa. Respect women atleast for once.

Wengine mnajigamba mko familia bora kumbe hapo sio kwenu! Baba yako alikutelekeza na alikukataa kata kata mama ako amegharamia na mwili wake apate mwanaume wa kukuita mwanangu na saizi mnatukana single moms?

Wengine dada zenu wamezalia nyumbani hamna hata pa kukanyaga na wanaume wote wamewakimbia ila mna uchungu na wanawake wa jamii forum tu?

Wengine mna mababa zaidi ya watatu hatuwataji. Ila mmekazana kutukana single mothers wa huku.

Wengine ni product ya mama yako na baba yake mzazi. Hao wa kwenu nao huwa mnawatukana hivi hivi au kwasababu sio mama zenu? Laana tupu ndo maana hamheshimu wanawake mna watukana kutwa. Sasa hii msg waonesheni mama zenu, nyie wanaume mnaotukana wanawake humu, wazisome au muwasomee kuna historia watawapa. Shameless men

Wengine hamuwajui baba zenu maana mama zenu walizidiwa na pombe vilabuni hawajui hata nani alimwingilia ukazaliwa wewe.

Wengine mnalelewa na mababa ambao sio wenu kwasababu baba yako mzazi ni mzoa taka mtaani mama yako akaenda kulengesha kwa mwalimu

Mtaendelea kutukana wanawake mitandaoni au tuendelee kufichua siri za mama zenu?
MUWE NA ADABU NA WANAWAKE. MAMA ZENU WAPO KWENYE KUNDI HILO HILO SO PUT SOME RESPECT

Single mother hata kama ni shangazi yako,dada yako,mama yako!,haibadilishi ukweli
 
Vile napenda single moms ( mipira mibovu) siwezi nikafuata huo ushauri wako!
 
Wa Dada pia chukueni hii, kubali mwanaume ambae yupo kwenye peak yake
Sasa wewe ndie bure kabisa, wanaume kwa 90% huwa kwenye peak kuanzia miaka 30+.

Wewe unawashauri wenzako waende kule kule ambapo wanakomoka? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kiazi kabisa.

Mwanaume wa miaka 30+ mwenye mafanikio wewe utakuwa pekee yako?

Kwan kila siku tunavyowalaumu masingle mothers hapa unadhani ni kwasababu wanatoka na vijana ambao hawapo katika peak level si ni wanaume hao waliopo katika peak?

Ngoja nikusaidie elimu kidogo. Mwanaume akiwa katika peak anakuwa na sifa zifuatazo;

1 anakuwa mume wa mtu. [emoji23][emoji23][emoji23] Hapa tu tayari ushaingia chaka maana anae mwanamke wake.

2. Hawezi kukosa kuanzia watoto 3. Katika hatua za kwanza tu za mafanikio lazima kuna wanawake atazaa nao, so hadi wewe unakuja kumuona watoto anakuwa nao zaidi ya watatu na mademu kibao we unakwenda kujiongeza tu. [emoji23]

3. Akitulia basi atatulia na mkewe, akiwa hajatulia basi atakuwa anapita nao kwa mafungu. Wewe utachagua fungu lako ili ukalichezee na akishakuchoka utatemwa tu taka usitake kila mwaka kuna kontena la pisi mpya linafunguliwa wewe ni nani adumu na wewe.

4. Anakuwa ameshaumizwa sana na hisia so mapenzi ya kweli kwake ni hadithi ya uongo, ukienda tegemea kutumika tu hakuna la maana utapata.

5. Jiandae na magonjwa ya zinaa.

6. Unakwenda kupoteza muda wako bora ukawe mwalimu wa daycare utakuwa na faida kwa jamii kuliko kuwa gold digger.

Ukitaka mifano ipo mingi, mtazame alikiba, diamond, na wengine wengi je unawaonaje?

So kama unahisi kuna mtu unamkomoa hapa then nenda kapambane na hali yako usije tu kutupigia mikelele ukishakichezea huko baadae.
 
Peak ya mwanaume inaanza miaka 30- na kuendelea .
Peak ya mwanamke mwisho miaka 25.
Wanawake wako kwenye loss kuliko wanaume. Mungu mkubwa.
Watoto wa kike wa kizazi hiki wana bahati mbaya sana aiseee. Unajua sisi miaka yetu wanawake walikuwa wanatetewa sana na wanaume walikuwa wanajitoa sana kuwalinda.

Ila hawa kizazi cha 1990 kuja mbele wameachiwa gari bovu halina dereva linaelekea korongoni.

Wao wanaishi kama wanawake walio watangulia wakidhania bado wapo na kile kizazi cha wanaume cha mabwege ambao wakisukumwa na kupigwa ngumi hawajibu. Ila muda ni mwalimu mzuri, washukuru hata sisi tupo kuwapa elimu tukikaa kimya sisi ndio basi imeisha hiyo.

Sasa imagine mtu anahisi ili kumkomoa mwanaume ambaye ni rika lake ni kuruka na waliomzidi kwa kila kitu sasa si ndio shimo lenyewe hilo wanaingia? [emoji23][emoji23][emoji23]

Huwa nawaonea huruma sana.
 
Hizi ndio cyber bullying tunazoongea kila siku, it's not fair japo naamini single moms wameshaona ni kawaida sasa..

Let those without sin cast stones to single mothers.
And let those who are not professional judges or referees shut up.
 
Kuna kitu kinaitwa the illusion of control.

Unaona una uwezo mkubwa wa kudhibiti mambo kuliko uhalisia.

Kinasumbua sana kwenye mahusiano, haswa kwa watu wajima....
Kukaguana simu, kufuatiliana sehemu mnazoenda, bikra, hofu ya mungu, kukwepa single mothers....

Hivi vitu vyote vinakufanya uone kama kuna njia fulani/vigezo flani vya kufanya mwenzi wako asichepuke lakini hapana, hilo jambo lipo juu yake 100%

Akiamua ataweza tu, haijalishi ni mtakatifu kiasi gani machoni pako.

Na pia mtu anaweza akakosa kabisa vigezo(sio bikra, single parent, mlevi, mcheza vikoba) na akawa muaminifu.

Tumia akili kijana, waza mbali. Kuna mambo hayaamuliki kirahisi.
View attachment 2994562
Nadhani umeongelea kitu ambacho hakihusiani kabisa na mada au maelezo yako.

Unachokiongelea ni mtu kutaka kumcontrol mtu mwingine na tabia yake of which maelezo ya ulipotoa hii post havishikani hata kidogo.

Unachojaribu kukielezea kinacheza kwenye maeneo haya hapa, nenda kasome ujifunze vizuri.

1. Narcissism
2. Control freak
3. Perfectionist


Ntakuongezea na zinginezo utaweza pata jina la ulichozungumza hapo though ni valid point.
 
Kuna wanaume humu isingekua baba zenu kuokota mipira iliyokufa msingezaliwa ila bado mnanyanyua midomo[emoji1787]

Yani kijana ana mama ake ambae kakulia kimboka hakuna fimbo haijui wakamzalisha wakamwacha. Bahati nzuri katokea mbaba wa watu akasema ngoja nibahatishe niweke ndani huyu huyu labda atatulia ukazaliwa wewe ambae humu ndani unaita single mothers takataka[emoji23] bila mzee wa watu kumuonea huruma mama yako ungezaliwa na bata?

Wengine hapa ni product ya mchepuko na home wreckers mama zenu walikua ma secretary sijui ma housegal etc mmekuja kukutanishwa na baba zenu uzeeni nanyie bado mnatukana single moms.

Wengine baba zenu waliombwa utumie jina la ubini la watoto wake ambalo ni jina wanalotumia kaka au dada yako ili usijiskie vibaya ila kiuhalisia hapo sio kwenu wala hao sio ndugu zako wa damu . Saizi mnajifanya mna uchungu sana na single moms. Anza kutukana aliekuzaa tujue una maumivu kweli na hao single mothers mnaowaita mipira.

Wengine mlifichwa vijijini, mama zenu wakaja kudanga mjini ili wapate afadhali ya maisha na wengi wenu mmelelewa na mabibi ila tunawastahi. Tukisema turudishe matusi mnayotukana hapatakalika humu wengine tuna midomo itawaumiza balaa. Respect women atleast for once.

Wengine mnajigamba mko familia bora kumbe hapo sio kwenu! Baba yako alikutelekeza na alikukataa kata kata mama ako amegharamia na mwili wake apate mwanaume wa kukuita mwanangu na saizi mnatukana single moms?

Wengine dada zenu wamezalia nyumbani hamna hata pa kukanyaga na wanaume wote wamewakimbia ila mna uchungu na wanawake wa jamii forum tu?

Wengine mna mababa zaidi ya watatu hatuwataji. Ila mmekazana kutukana single mothers wa huku.

Wengine ni product ya mama yako na baba yake mzazi. Hao wa kwenu nao huwa mnawatukana hivi hivi au kwasababu sio mama zenu? Laana tupu ndo maana hamheshimu wanawake mna watukana kutwa. Sasa hii msg waonesheni mama zenu, nyie wanaume mnaotukana wanawake humu, wazisome au muwasomee kuna historia watawapa. Shameless men

Wengine hamuwajui baba zenu maana mama zenu walizidiwa na pombe vilabuni hawajui hata nani alimwingilia ukazaliwa wewe.

Wengine mnalelewa na mababa ambao sio wenu kwasababu baba yako mzazi ni mzoa taka mtaani mama yako akaenda kulengesha kwa mwalimu

Mtaendelea kutukana wanawake mitandaoni au tuendelee kufichua siri za mama zenu?
MUWE NA ADABU NA WANAWAKE. MAMA ZENU WAPO KWENYE KUNDI HILO HILO SO PUT SOME RESPECT
Hamna la maana uliloongea hapa zaidi ya kutoa hasira zako tu. Ukweli utabakia kuwa single mothers ni kansa na laana kwa taifa na tunatakiwa kuikemea sambamba na laana zinginezo kama ufisadi, rushwa, etc

Sasa wewe ukija hapa kunyamazisha watu wanaokemea kitu kama hicho kwasababu unaumia hisia tukuelewe vipi?

Kama unaona ujumbe unakuumiza pita kimya kimya ukienda usisome wala kujibia mtu why unakuja jifanya wakili wa single mothers, who asked you for your opinion?

https://jamii.app/JFUserGuide off take an L and go crawl back to whatever cave you came from.
 
Wanawake, na nyie msikubali mwanaume kirundu, yani mwanaume anakuja anataka kukuoa anawatoto wanne kila mtoto na mama yake, alafu anataka akioa ahamie nao kwako muanze maisha ila yeye hataki wewe uwe na mtoto ebooo? Kila mtu afe na chake. Janaume limezaa utasema anamiliki viungo vya manispaa khaa!
Mwanaume akija na watoto wake atalea familia kwa gharama zake sababu yeye ndie mlipa bili so atasomesha watoto wake atawalisha, atamlisha mke na kumvalisha na kulipa bills kwa mfuko wake yeye hatokuwa anapiga wala kuwasiliana na mama wa watoto ili wampe matumizi mwishowe wajikute wanarudiana tena huko vitandani.

Na hapo bado huyu mwanamke atakuwa katika win-win situation sababu na yeye ataweza tengeneza watoto wake na mwanaume tena hata 6 kama ataweza beba ujauzito. Akiwatunza hawa watoto vema na kuwalea kama wakwake baadae hawa watoto wanaweza kuja kuwa msaada mkubwa sana kwasababu alikuwa ni mama yao mlezi na kumtupa mama mlezi huwa ni ngumu na laana kubwa sana.


Wewe mwanamke ukija na watoto wako wa4 kuna possiblity kwanza usiweze tena kuzaa kwasababu hao watoto ni wengi sana kwako na mfano kama uliwapata kwa operation then sidhani hata hospital watakuruhusu kurisk maisha yako. Sasa mwanaume arisk kubeba mzigo wa mwanaume mwenzake ile hali yeye hana nafasi ya kuzaa na wewe?

Mwanamke wa watoto wa nne unayajua maumbile yake anavyokuwa kimuonekano? [emoji23] So trust me mwanaume akikupenda na una watoto wanne nenda kanisani ukatoe sadaka na umtetemekee sababu ni bahati kubwa.

Watoto wanne plus mke it means mwanaume anawajibika kuwalea na kuwalipia gharama zote wewe Mwanamke utakuwa umerelax tu huku mwanaume anabeba hilo zigo asipofanya hivyo maana yake ni wewe kupata msaada sababu huwezi lea watoto pekee yako ni uende kuwatafuta wazazi au mzazi mwenzako wa hawa watoto ili akupe sapoti sasa huyu mwanaume uliyenae atapenda huo upuuzi?

Si ndio yale mambo ya single mothers kugongwa na wanaume waliozaa nao? Ndio maana vijana wakaja na msemo "ukitaka kuoa single mother mwambie akuonyeshe kaburi la baba mtoto wake kwanza". [emoji23][emoji23][emoji23]

Usitest hii vita. Mwanamke acheze kadi zake vema ndani ya 16 hadi 25 hapo. Akichemka tu hapo kuanzia 26 count down inaanza kuelekea uzeeni maisha yanaanza kutomake sense na kutokuwa fair nae.

Hutaki acha sikulazimishi unielewe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Chin chin [emoji482]
 
Uko sahihi.
Mwanaume mwema usioe mwanamke juu ya umri wa miaka 25.

Maana wanawake wa aina hiyo huwa wanataka kuokolewa, watakubali kuolewa nawe kwasababu ya unachoprovide. Wasingekuchagua kama wangekuwa na umri chini ya hapo.

Mwanamke anayekupenda kuanzia miaka 18-24 kwa jinsi ulivyo muoe.

Pia kaa mbali na B2B midfielders.
Mchunguze, jua maisha yake ya nyuma, usimuoe bila kujua past yake. Past matters.
Duu tusioe above 25 tena hawa si ndio wana akili ya maisha
 
Sasa wewe ndie bure kabisa, wanaume kwa 90% huwa kwenye peak kuanzia miaka 30+.

Wewe unawashauri wenzako waende kule kule ambapo wanakomoka? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kiazi kabisa.

Mwanaume wa miaka 30+ mwenye mafanikio wewe utakuwa pekee yako?

Kwan kila siku tunavyowalaumu masingle mothers hapa unadhani ni kwasababu wanatoka na vijana ambao hawapo katika peak level si ni wanaume hao waliopo katika peak?

Ngoja nikusaidie elimu kidogo. Mwanaume akiwa katika peak anakuwa na sifa zifuatazo;

1 anakuwa mume wa mtu. [emoji23][emoji23][emoji23] Hapa tu tayari ushaingia chaka maana anae mwanamke wake.

2. Hawezi kukosa kuanzia watoto 3. Katika hatua za kwanza tu za mafanikio lazima kuna wanawake atazaa nao, so hadi wewe unakuja kumuona watoto anakuwa nao zaidi ya watatu na mademu kibao we unakwenda kujiongeza tu. [emoji23]

3. Akitulia basi atatulia na mkewe, akiwa hajatulia basi atakuwa anapita nao kwa mafungu. Wewe utachagua fungu lako ili ukalichezee na akishakuchoka utatemwa tu taka usitake kila mwaka kuna kontena la pisi mpya linafunguliwa wewe ni nani adumu na wewe.

4. Anakuwa ameshaumizwa sana na hisia so mapenzi ya kweli kwake ni hadithi ya uongo, ukienda tegemea kutumika tu hakuna la maana utapata.

5. Jiandae na magonjwa ya zinaa.

6. Unakwenda kupoteza muda wako bora ukawe mwalimu wa daycare utakuwa na faida kwa jamii kuliko kuwa gold digger.

Ukitaka mifano ipo mingi, mtazame alikiba, diamond, na wengine wengi je unawaonaje?

So kama unahisi kuna mtu unamkomoa hapa then nenda kapambane na hali yako usije tu kutupigia mikelele ukishakichezea huko baadae.
Mbona makasiriko kaka? Kwahiyo wanawake walio kwenye peak nao wameolewa wanafamilia? Si kila comment lazima u reply. Pole sana no afya ya akili inakusumbua
 
Mwanaume akija na watoto wake atalea familia kwa gharama zake sababu yeye ndie mlipa bili so atasomesha watoto wake atawalisha, atamlisha mke na kumvalisha na kulipa bills kwa mfuko wake yeye hatokuwa anapiga wala kuwasiliana na mama wa watoto ili wampe matumizi mwishowe wajikute wanarudiana tena huko vitandani.

Na hapo bado huyu mwanamke atakuwa katika win-win situation sababu na yeye ataweza tengeneza watoto wake na mwanaume tena hata 6 kama ataweza beba ujauzito. Akiwatunza hawa watoto vema na kuwalea kama wakwake baadae hawa watoto wanaweza kuja kuwa msaada mkubwa sana kwasababu alikuwa ni mama yao mlezi na kumtupa mama mlezi huwa ni ngumu na laana kubwa sana.


Wewe mwanamke ukija na watoto wako wa4 kuna possiblity kwanza usiweze tena kuzaa kwasababu hao watoto ni wengi sana kwako na mfano kama uliwapata kwa operation then sidhani hata hospital watakuruhusu kurisk maisha yako. Sasa mwanaume arisk kubeba mzigo wa mwanaume mwenzake ile hali yeye hana nafasi ya kuzaa na wewe?

Mwanamke wa watoto wa nne unayajua maumbile yake anavyokuwa kimuonekano? [emoji23] So trust me mwanaume akikupenda na una watoto wanne nenda kanisani ukatoe sadaka na umtetemekee sababu ni bahati kubwa.

Watoto wanne plus mke it means mwanaume anawajibika kuwalea na kuwalipia gharama zote wewe Mwanamke utakuwa umerelax tu huku mwanaume anabeba hilo zigo asipofanya hivyo maana yake ni wewe kupata msaada sababu huwezi lea watoto pekee yako ni uende kuwatafuta wazazi au mzazi mwenzako wa hawa watoto ili akupe sapoti sasa huyu mwanaume uliyenae atapenda huo upuuzi?

Si ndio yale mambo ya single mothers kugongwa na wanaume waliozaa nao? Ndio maana vijana wakaja na msemo "ukitaka kuoa single mother mwambie akuonyeshe kaburi la baba mtoto wake kwanza". [emoji23][emoji23][emoji23]

Usitest hii vita. Mwanamke acheze kadi zake vema ndani ya 16 hadi 25 hapo. Akichemka tu hapo kuanzia 26 count down inaanza kuelekea uzeeni maisha yanaanza kutomake sense na kutokuwa fair nae.

Hutaki acha sikulazimishi unielewe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Chin chin [emoji482]
Duu wadau mna maneno kwa hiyo 25 above tusioe
 
Back
Top Bottom