Kijana jiepushe na kupiga mipira iliyokufa

Kijana jiepushe na kupiga mipira iliyokufa

Duu tusioe above 25 tena hawa si ndio wana akili ya maisha
Usidanganyike.
Mwanaume ni kiongozi , we ndo unapaswa kuwa na akili za maisha, na wewe ndo unapaswa umuelekeze mkeo kuhusu hilo. Mwanamke afuate your masculine frame. Kama mwanamke akikukataa kama kiongozi, na wewe umkatae kuwa mke wako. Achana na mawazo ya kifeminism.

Mwanamke above 25 katembea na wanaume zaidi ya moja, itakuwa vigumu kupair emotionally na wewe, na kama wewe ni mwema ndo kabisa atakuchukia , atakuona boring kwasababu tayari Alipair na wanaume waovu na anaona "uongo" kama amshaamsha.

Mwanamke wa miaka zaidi ya 25 hawana mapenzi ya kweli, wanawaza zaidi mahitaji yao yatimizwe, unaoa Mwanamke mwenye matatizo ambayo wewe hukusababisha, ana maumivu makali kiasi kwamba ata ufanyaje hawezi kupona, single moms ndo damaged women kuliko wote.

Oa mwanamke chini ya miaka 25 wakiwa katika kilele chao, ila hakikisha anakupenda kwanza, amevutiwa na wewe jinsi ulivyo, usimuache.
 
Usidanganyike.
Mwanaume ni kiongozi , we ndo unapaswa kuwa na akili za maisha, na wewe ndo unapaswa umuelekeze mkeo kuhusu hilo. Mwanamke afuate your masculine frame. Kama mwanamke akikukataa kama kiongozi, na wewe umkatae kuwa mke wako. Achana na mawazo ya kifeminism.

Mwanamke above 25 katembea na wanaume zaidi ya moja, itakuwa vigumu kupair emotionally na wewe, na kama wewe ni mwema ndo kabisa atakuchukia , atakuona boring kwasababu tayari Alipair na wanaume waovu na anaona "uongo" kama amshaamsha.

Mwanamke wa miaka zaidi ya 25 hawana mapenzi ya kweli, wanawaza zaidi mahitaji yao yatimizwe, unaoa Mwanamke mwenye matatizo ambayo wewe hukusababisha, ana maumivu makali kiasi kwamba ata ufanyaje hawezi kupona, single moms ndo damaged women kuliko wote.

Oa mwanamke chini ya miaka 25 wakiwa katika kilele chao, ila hakikisha anakupenda kwanza, amevutiwa na wewe jinsi ulivyo, usimuache.
Kuna ukweli I see
 
Hamna la maana uliloongea hapa zaidi ya kutoa hasira zako tu. Ukweli utabakia kuwa single mothers ni kansa na laana kwa taifa na tunatakiwa kuikemea sambamba na laana zinginezo kama ufisadi, rushwa, etc

Sasa wewe ukija hapa kunyamazisha watu wanaokemea kitu kama hicho kwasababu unaumia hisia tukuelewe vipi?

Kama unaona ujumbe unakuumiza pita kimya kimya ukienda usisome wala kujibia mtu why unakuja jifanya wakili wa single mothers, who asked you for your opinion?

JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala off take an L and go crawl back to whatever cave you came from.
Laana kushinda hao wa kwenu?
 
Zitakuja had Penalty za nje ya box, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie subirini muonee.
 
Mwanaume akija na watoto wake atalea familia kwa gharama zake sababu yeye ndie mlipa bili so atasomesha watoto wake atawalisha, atamlisha mke na kumvalisha na kulipa bills kwa mfuko wake yeye hatokuwa anapiga wala kuwasiliana na mama wa watoto ili wampe matumizi mwishowe wajikute wanarudiana tena huko vitandani.

Na hapo bado huyu mwanamke atakuwa katika win-win situation sababu na yeye ataweza tengeneza watoto wake na mwanaume tena hata 6 kama ataweza beba ujauzito. Akiwatunza hawa watoto vema na kuwalea kama wakwake baadae hawa watoto wanaweza kuja kuwa msaada mkubwa sana kwasababu alikuwa ni mama yao mlezi na kumtupa mama mlezi huwa ni ngumu na laana kubwa sana.


Wewe mwanamke ukija na watoto wako wa4 kuna possiblity kwanza usiweze tena kuzaa kwasababu hao watoto ni wengi sana kwako na mfano kama uliwapata kwa operation then sidhani hata hospital watakuruhusu kurisk maisha yako. Sasa mwanaume arisk kubeba mzigo wa mwanaume mwenzake ile hali yeye hana nafasi ya kuzaa na wewe?

Mwanamke wa watoto wa nne unayajua maumbile yake anavyokuwa kimuonekano? [emoji23] So trust me mwanaume akikupenda na una watoto wanne nenda kanisani ukatoe sadaka na umtetemekee sababu ni bahati kubwa.

Watoto wanne plus mke it means mwanaume anawajibika kuwalea na kuwalipia gharama zote wewe Mwanamke utakuwa umerelax tu huku mwanaume anabeba hilo zigo asipofanya hivyo maana yake ni wewe kupata msaada sababu huwezi lea watoto pekee yako ni uende kuwatafuta wazazi au mzazi mwenzako wa hawa watoto ili akupe sapoti sasa huyu mwanaume uliyenae atapenda huo upuuzi?

Si ndio yale mambo ya single mothers kugongwa na wanaume waliozaa nao? Ndio maana vijana wakaja na msemo "ukitaka kuoa single mother mwambie akuonyeshe kaburi la baba mtoto wake kwanza". [emoji23][emoji23][emoji23]

Usitest hii vita. Mwanamke acheze kadi zake vema ndani ya 16 hadi 25 hapo. Akichemka tu hapo kuanzia 26 count down inaanza kuelekea uzeeni maisha yanaanza kutomake sense na kutokuwa fair nae.

Hutaki acha sikulazimishi unielewe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Chin chin [emoji482]
Shuleni walikua wanafundisha nguchiro! Essay yote hii inasomeka kama 💩
 
Hamna la maana uliloongea hapa zaidi ya kutoa hasira zako tu. Ukweli utabakia kuwa single mothers ni kansa na laana kwa taifa na tunatakiwa kuikemea sambamba na laana zinginezo kama ufisadi, rushwa, etc

Sasa wewe ukija hapa kunyamazisha watu wanaokemea kitu kama hicho kwasababu unaumia hisia tukuelewe vipi?

Kama unaona ujumbe unakuumiza pita kimya kimya ukienda usisome wala kujibia mtu why unakuja jifanya wakili wa single mothers, who asked you for your opinion?

JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala off take an L and go crawl back to whatever cave you came from.
Ndo maana vijana wengi saizi hamna nguvu za kiume🤣 bao moja tu chali nalo umelipata kwa kustua🤣kutwa mnatukana wanawake utasema mna share nao vinena
 
sure mkuu wanaosababisha single maza ni hawa hawa wanaume wanaokuja hapa kukejeli

but as saying mtoto ni wa mwanamke basi sijui wanajionaje yaani 😅😅😅
Sio tabia nzuri kumzalisha mwanamke na kumkimbia lakini mwanamke kama muathilika mkuu akikisha wewe mwenyewe usiwe chanzo cha kuzalishwa na kukimbiwa, acheni kujifanya wahanga kutaka kurusha lawama zote kwa wanaume, as long as haukubakwa basi somewhere somehow na wewe haukuchanga vizuri karata zako
 
Hizi ndio cyber bullying tunazoongea kila siku, it's not fair japo naamini single moms wameshaona ni kawaida sasa..

Let those without sin cast stones to single mothers.
Mkuu acha wakubwa watupe somo, mahusiano ya vijana yanayumba kwa sababu vijana tumekataa kusikiliza nasaa za waliotutangulia kwa kufikiri zimepitwa na wakati.
Vigezo kama bikira vilipewa kipaumbele na wazee wetu wakati wa kuoa sasa hivi tumepuuzia matokeo yake ndio haya mnafanya mapenzi huku mwenzako analinganisha maumbule na perfomance yako na maex zake
 
Ushauri wako ni mzuri ila kila nikijaribu kutupa kamba inakatwa katwa vibaya mno na Lamomy bila huruma.
 
Back
Top Bottom