Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Familia itakuwepo tuu haina shida kabisa mkuu.....Kuna muda utawachoka. Kumbuka umri pia haukusubiri, unatakiwa kuoa uwe na familia.
Ila kwa sasa bado sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Familia itakuwepo tuu haina shida kabisa mkuu.....Kuna muda utawachoka. Kumbuka umri pia haukusubiri, unatakiwa kuoa uwe na familia.
Akiamua kuondoka si unampiga chini tu.Kuna kitu kinaitwa the illusion of control.
Unaona una uwezo mkubwa wa kudhibiti mambo kuliko uhalisia.
Kinasumbua sana kwenye mahusiano, haswa kwa watu wajima....
Kukaguana simu, kufuatiliana sehemu mnazoenda, bikra, hofu ya mungu, kukwepa single mothers....
Hivi vitu vyote vinakufanya uone kama kuna njia fulani/vigezo flani vya kufanya mwenzi wako asichepuke lakini hapana, hilo jambo lipo juu yake 100%
Akiamua ataweza tu, haijalishi ni mtakatifu kiasi gani machoni pako.
Na pia mtu anaweza akakosa kabisa vigezo(sio bikra, single parent, mlevi, mcheza vikoba) na akawa muaminifu.
Tumia akili kijana, waza mbali. Kuna mambo hayaamuliki kirahisi.
View attachment 2994562
Naam, hao ni kipozeo tu usiweke kambi abadani utaumiaSingle moms ni wa kupiga na kusepa
Nna ujumbe wako kwenye comment yangu page 4! Laana umeiacha huko unakuja kusalandia wa mtandaoni. Anza na wa kwenu kwanzaVijana wasioe laana(single mother)
😂😂Nmetulia zangu na chuma ipo kwenye peak yake.View attachment 2994474
Nmetulia zangu na chuma ipo kwenye peak yake.View attachment 2994474
Kupiga mipira iliyokufa ina faida mbili:Haijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa .
Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake
Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose.
Usiogope competition (kushindanda) wewe shindana na hao wenye pesa
Ukisema unasubiria kupiga mpira uliyokufa ndo hawa singo mama na n.k so take care.
Mipira iliyokufa Ina-gharama zake so usijaribu.
tiGo je?Haijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa .
Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake
Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose.
Usiogope competition (kushindanda) wewe shindana na hao wenye pesa
Ukisema unasubiria kupiga mpira uliyokufa ndo hawa singo mama na n.k so take care.
Mipira iliyokufa Ina-gharama zake so usijaribu.
Mipira ya Kutenga!Mipira iliyokufa ndo nini?
Hizi busara, nitajiepusha Mkuu.Haijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa .
Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake
Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose.
Usiogope competition (kushindanda) wewe shindana na hao wenye pesa
Ukisema unasubiria kupiga mpira uliyokufa ndo hawa singo mama na n.k so take care.
Mipira iliyokufa Ina-gharama zake so usijaribu.
Kwa mwanamme hakuna mpira uliokufa.mipira iliyokufa ya kiume yenyewe haipo?
Mbn naona mtot kalowa au macho yangu yanazingua 🤓Nmetulia zangu na chuma ipo kwenye peak yake.View attachment 2994474