Kijana jiepushe na kupiga mipira iliyokufa

Kijana jiepushe na kupiga mipira iliyokufa

Kuna kitu kinaitwa the illusion of control.

Unaona una uwezo mkubwa wa kudhibiti mambo kuliko uhalisia.

Kinasumbua sana kwenye mahusiano, haswa kwa watu wajima....
Kukaguana simu, kufuatiliana sehemu mnazoenda, bikra, hofu ya mungu, kukwepa single mothers....

Hivi vitu vyote vinakufanya uone kama kuna njia fulani/vigezo flani vya kufanya mwenzi wako asichepuke lakini hapana, hilo jambo lipo juu yake 100%

Akiamua ataweza tu, haijalishi ni mtakatifu kiasi gani machoni pako.

Na pia mtu anaweza akakosa kabisa vigezo(sio bikra, single parent, mlevi, mcheza vikoba) na akawa muaminifu.

Tumia akili kijana, waza mbali. Kuna mambo hayaamuliki kirahisi.
View attachment 2994562
Akiamua kuondoka si unampiga chini tu.

Yaani wanawake walivyokuwa wengi tena kipindi cha dating phase ndo amani yangu ya kichwa kisumbuliwe?

Although I am faithful kwa mtu mmoja ila nikizinguliwa mi nawalk away kimya kimya.
 
Mkuu hujui kuwa mipira iliyokufa huzaa magoli ya ushindi zaidi?
 
Humu Kuna wapuuzi wengi sana huku nilipo wanaoa hata kama unanyonyesha, na wengine wameoa wanawake wenye watoto wanne kila mmoja na babake hizo habari za single mothers, naona ni humu tu kwenye kundi ambalo watu hawafiki hata milioni Moja, so wanawake puuzeni ujinga wao
 
Wanawake, na nyie msikubali mwanaume kirundu, yani mwanaume anakuja anataka kukuoa anawatoto wanne kila mtoto na mama yake, alafu anataka akioa ahamie nao kwako muanze maisha ila yeye hataki wewe uwe na mtoto ebooo? Kila mtu afe na chake. Janaume limezaa utasema anamiliki viungo vya manispaa khaa!
 
Haijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa .

Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake

Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose.

Usiogope competition (kushindanda) wewe shindana na hao wenye pesa

Ukisema unasubiria kupiga mpira uliyokufa ndo hawa singo mama na n.k so take care.

Mipira iliyokufa Ina-gharama zake so usijaribu.
Kupiga mipira iliyokufa ina faida mbili:
1. Unapiga mzigo kiulaini 2. una uhakika wa kufunga kwa kuwa shamba lina rutuba
 
Haijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa .

Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake

Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose.

Usiogope competition (kushindanda) wewe shindana na hao wenye pesa

Ukisema unasubiria kupiga mpira uliyokufa ndo hawa singo mama na n.k so take care.

Mipira iliyokufa Ina-gharama zake so usijaribu.
tiGo je?
 
Haijalishi Una hela au hauna ila achana na tabia ya kupiga mipira iliyokufa .

Tafuta Mwanamke anyejielewa ambaye yupo katika peak yake

Usisubirie ameshazalishwa kachoka then wewe ndo ujitose.

Usiogope competition (kushindanda) wewe shindana na hao wenye pesa

Ukisema unasubiria kupiga mpira uliyokufa ndo hawa singo mama na n.k so take care.

Mipira iliyokufa Ina-gharama zake so usijaribu.
Hizi busara, nitajiepusha Mkuu.
 
Back
Top Bottom