Kikao fulani kaka. Bed to Bed midfielder si anahama kutoka kitanda cha mwanaume mmoja anaenda kitanda cha mwanaume mwingine.Duh mlikubaliana kikao kipi haya majinašmbona nimepitwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikao fulani kaka. Bed to Bed midfielder si anahama kutoka kitanda cha mwanaume mmoja anaenda kitanda cha mwanaume mwingine.Duh mlikubaliana kikao kipi haya majinašmbona nimepitwa sana
Nilikuwa najiita B2B uwanjani itabid nibadili jinašKikao fulani kaka. Bed to Bed midfielder si anahama kutoka kitanda cha mwanaume mmoja anaenda kitanda cha mwanaume mwingine.
Ukifulfill hypergamy hachepuki, ukiwa the best man as possible to her feelings.Nope kigezo kimoja tu kinachohakikisha 100% mwenzi hatochepuka.
Kila mmoja ashinde mechi zake kwa wakati sahihiPeak ya mwanaume inaanza miaka 30- na kuendelea .
Peak ya mwanamke mwisho miaka 25.
Wanawake wako kwenye loss kuliko wanaume. Mungu mkubwa.
Badilisha sio jina zuri kabisa.Nilikuwa najiita B2B uwanjani itabid nibadili jinaš
Ok.Kila mmoja ashinde mechi zake kwa wakati sahihi
Ngoja niwe kiungo punda tuuBadilisha sio jina zuri kabisa.
šššššš¤ø
Hao ni B2B midfielders, uzi wa #34 umewaelezea.Dr je mashangazi tunawaweka wapi...?
Maana naona compitation ipo huu upande aiseee
Ahahahahahaaki nyie š š š š tumepew jina jipya
šššš
Bado natafuta na mimi la kuwapaaki nyie [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] tumepew jina jipya
Dem wako kaloana mkuu unamtesa hapo.Nmetulia zangu na chuma ipo kwenye peak yake.View attachment 2994474
Japo mimi sioi ila nakua nao tuu...Hao ni B2B midfielders, uzi wa #34 umewaelezea.
Hao wanatakiwa wabaki hivyohivyo mpaka wanaondoka duniani, ni mwanaume mpumbavu tu atakayewaoa mashangazi.
Kuna muda utawachoka. Kumbuka umri pia haukusubiri, unatakiwa kuoa uwe na familia.Japo mimi sioi ila nakua nao tuu...
Na nabadilisha kila day
Kuna kitu kinaitwa the illusion of control.Ukifulfill hypergamy hachepuki, ukiwa the best man as possible to her feelings.
Ila kwa hawa single moms, hypergamy tayari imesatisfy na ndo maana akazaa na mtoto.
Hey I know who you are just by your typing.Kuna kitu kinaitwa the illusion of control.
Unaona una uwezo mkubwa wa kudhibiti mambo kuliko uhalisia.
Kinasumbua sana kwenye mahusiano, haswa kwa watu wajima....
Kukaguana simu, kufuatiliana sehemu mnazoenda, bikra, hofu ya mungu, kukwepa single mothers....
Hivi vitu vyote vinakufanya uone kama kuna njia fulani/vigezo flani vya kufanya mwenzi wako asichepuke lakini hapana, hilo jambo lipo juu yake 100%
Akiamua ataweza tu, haijalishi ni mtakatifu kiasi gani machoni pako.
Na pia mtu anaweza akakosa kabisa vigezo(sio bikra, single parent, mlevi, mcheza vikoba) na akawa muaminifu.
Tumia akili kijana, waza mbali. Kuna mambo hayaamuliki kirahisi.
View attachment 2994562