Kijana jitunze, kuteremkia miaka 40+ kuna zimwi linaitwa Kisukari na Presha. Mkeo atakuvumilia?

Taikuni umetisha sana ila pombe siachi
 
Siku hizi Vijana wadogo wanapigwa na Stroke mpaka unashangaa hawapimi presha zao halafu wanaenda kubugia K Vant wanagonga na Erecto matokeo yake anakuwa mtu wa kukaa ndani Mademu wanamkimbia.
 
Hili zimwi siijui kama nitapona..

Niko addicted na alcohol saa 12 jioni nimepiga tizi jasho kibao.

Chakushangaza saa 3 usiku nipo kwenye bia.

Ila nikaamua kulamba konyagi na ndimu za kutosha. Mtaalamu hapo vipi. Leo nimepiga konyagi nikichanganya na juis ya limao. Japo nahisi kilevi ila limao likikuwa Kwa wingi na sijalewa kivileeee. Najielewa vema
 
@Bujibuji Simba Nyamaume njoo muone gILeSi huko[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huu uzi umepata nguvu kwa sababu ndani yake kuna mambo na ngono na maudhui kama hayo, ambao kwa sasa sisi wabongo ndio mwelekeo wetu.

Yote ya yote ni uzi mzuri sana ambao kila mtu anapaswa auprint kwenye hard paper na pengine kubandika ukutani sebuleni na chumbani ili kila siku ukukumbushe kikupasacho kutenda kama kijana.
 
Kikubwa afya,unaweza kuwa hai na maisha yakakuchapa,magonjwa yanakuandama,ukatamani bora usingezaliwaga.
Kuimantain afya ndo inahitika hela na kuna wengine uwezo hauruhusu, mtu ambae hata kupata milo miwili kwa siku utata alafu umawambie ale matunda, afanye mazoezi, anunue vitabu kujisomea atakuelewa kweli? ndio maana nikasema kikubwa uhai yaani fanya mpaka pale uwezo wako unapoishia uko kwengine kunapobaki we shukuru tu upo hai.. anyway kama upo vzr kiuchumi uenda unaweza usinielewe ninachomaanisha
 
Umeongea ukweli,kama wapo watakao kuelewa watafaidika na ushauri wako,
Nina 48 na nimepata kisukari kipndi cha mafanikio yangu,ninachotaka napata ila ninamisi maisha halisi niliyojioangia iwapo ntafanikiwa,nilitamani niowe wake watatu ila sasa siweiz
Kuna vyakula natamani sana kula hivi sasa ni sumu kwangu nawanunulia watu tu na watoto wangu
Kuwa makini na kisukari ndugu
Kuna watu wengi watakufata kuwa wana dawa na watakula pesa zako na unabaki na kisukari chako hivho hivyo
Nayoandika hapa spambi habari ninapambana na hii hali wakati wote nikilazimisha furaha
KUWENI MAKINI KUJIRINDA DHIDI YA KISUKALI
 
Pole sana Mkuu, kwahiyo dogodogo hupigi tena? Unaishia kula kwa macho tu..
 
Dunia yetu kila siku inatuonyesha watu wanavyokula bata viwanja mbalimbali lakini hatuoni foleni za clinic watu wanavyowahi foleni alfajili za matibabu muhimbili etc.Rate ya pressure na sukari ni kubwa Sana na now vijana above 35 ndio wanashika Kasi .. zamani ilikuwa 40 and above lakini saiv ni 30 and above ..life style ..unakuta kijana wa 30s anakitambi halafu anachukilia poa kabisa na anajiona maisha yamemkubali
 
Spirit sio nzuri, kunywa light beer kama Windhoek, Heineken na frying fish au ukitaka kunywa hizi dry kama savanna na desperados
 
Vyote hivi nimekua navizingatia, nakiri ni raha sana yaani hata kitandani mke hupenda shughuli yenyewe na hata mchepuko sijawai kumuacha salama....sinywi pombe, sivuti sigara, nakula lishe bora, mazoezi kwa kwenda mbele fulu kujiachia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…