Kijana jitunze, kuteremkia miaka 40+ kuna zimwi linaitwa Kisukari na Presha. Mkeo atakuvumilia?

Kijana jitunze, kuteremkia miaka 40+ kuna zimwi linaitwa Kisukari na Presha. Mkeo atakuvumilia?

Uzi ungetakiwa uwe pale juu, ili tuwe tunakumbushiana jinsi ya kula healthy foods, ukiangalia vijana wa Dar es salaam na wa mikoani wako tofauti sana miili yao, vijana wa Dar miili yao imejaa jaa ovyo,
Pia hawana ukakamavu kabisa

Unatusema Sana Mkuu 😀😀.
Ila Fresh
 
Umeleta huu uzi wa Mwaka aisee 40+! muda muafaka sanaa, sa'bu namm nimesha stuka kuhusu daily gamble,sigara wakati wa kunywa, Asali na matunda ndio rifiki kwasasa bado TIZI tu.....zaidi Pombe weekend tena staki company ya washkaji ni mimi na wife tu, hata budget ya pesa inakaa vizuri zaidi Mungu awenami🙏 ....hayo magonjwa ni noma, sa'bu pia nawaona wale walio kua wakitamba sana awamu ya Nne ya Jakaya sasahv wapole kichiz ktk maswala ya kukamata pisi kali...na vitambi vyao🤔😂😂😂😂

Wakati umri huo 40+ ndio umri wa kufurahia maisha, alafu unakukuta katika hali ngumu ya Afya. Noma Sana. Asikuambie mtu
 
Kwa wanawake wa kizazi hiki,kupigiwa ni nje nje,hata kama una nguvu kama Simba,maisha yetu haya,unaishi nae siku zote,lakini unapigiwa,sasa maisha yetu haya,wewe upo Mtwara mgodini,au msoma,mke yupo Dodoma,hautapigiwa kweli!!!?
Wapige nawe piga,hakuna njia

Ndio utapigiwa lakini Usiombe upigiwe alafu huna nguvu ya kiume, jaribu kuelewa Logic ya andiko.

Ukipigiwa ungali unanguvu unauwezo wa kuleta pisikali nyingi Kali zaidi ya huyo Mkeo ukaendelea na mambo mengine. Lakini ukiwa hauna nguvu za kiume alafu ukapigiwa huna ambalo utaweza kufanya zaidi ya kumnyenyekea Mwanamke asikutolee aibu zako za ndani.
Yaani utakuwa Mpole huku unatia huruma
 
Umeongea ukweli,kama wapo watakao kuelewa watafaidika na ushauri wako,
Nina 48 na nimepata kisukari kipndi cha mafanikio yangu,ninachotaka napata ila ninamisi maisha halisi niliyojioangia iwapo ntafanikiwa,nilitamani niowe wake watatu ila sasa siweiz
Kuna vyakula natamani sana kula hivi sasa ni sumu kwangu nawanunulia watu tu na watoto wangu
Kuwa makini na kisukari ndugu
Kuna watu wengi watakufata kuwa wana dawa na watakula pesa zako na unabaki na kisukari chako hivho hivyo
Nayoandika hapa spambi habari ninapambana na hii hali wakati wote nikilazimisha furaha
KUWENI MAKINI KUJIRINDA DHIDI YA KISUKALI

Pole Sana Mkuu!
Mungu akusimamie na akupe nguvu ya kufuata sheria na kanuni za Afya ulizopewa.

Maana kisukari Kwa kubagua chakula sio mchezo, alafu Kwa umri huo bado unanguvu na hamu ya Kula na kuufurahisha mdomo.

Alafu madawa ya sukari wanayoyauza wanayauza bei kweli.
Hapo unachopaswa kujilinda ni kuhakikisha sukari na presha havipandi Sana ili kujiepusha na Stroke
 
Hili ni somo la Afya Mkuu, ili Mtu uwe na nguvu.
Mafunzo ya kugegeda yatakuja yenyewe ukiwa na nguvu na Afya njema
Sasa wenye kibamia kama mie hapa ambo tunaishi kumwaga wadhungu kwenye mapaja mnatusaidiaje...mjjue tunateseka sana
 
Ukipungukiwa na madini chuma mwilini unashauriwa ule nini ili kurudisha hali yako ya awali? Na dalili zake huwa ni nini unapoishiwa madini hayo?
 
Back
Top Bottom