Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #261
Uzi ungetakiwa uwe pale juu, ili tuwe tunakumbushiana jinsi ya kula healthy foods, ukiangalia vijana wa Dar es salaam na wa mikoani wako tofauti sana miili yao, vijana wa Dar miili yao imejaa jaa ovyo,
Pia hawana ukakamavu kabisa
Unatusema Sana Mkuu 😀😀.
Ila Fresh