Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #261
Uzi ungetakiwa uwe pale juu, ili tuwe tunakumbushiana jinsi ya kula healthy foods, ukiangalia vijana wa Dar es salaam na wa mikoani wako tofauti sana miili yao, vijana wa Dar miili yao imejaa jaa ovyo,
Pia hawana ukakamavu kabisa
Sasa jamani mnasema wanaume tujue kugeggeda lah sivyo mwanamke hatatuvumilia mbona mafunzo ya kugegegda yenyewe hayatolewi. Na je sie vibamia inakuwaje?
Uzi mzuri sana huu
Umeleta huu uzi wa Mwaka aisee 40+! muda muafaka sanaa, sa'bu namm nimesha stuka kuhusu daily gamble,sigara wakati wa kunywa, Asali na matunda ndio rifiki kwasasa bado TIZI tu.....zaidi Pombe weekend tena staki company ya washkaji ni mimi na wife tu, hata budget ya pesa inakaa vizuri zaidi Mungu awenamiπ ....hayo magonjwa ni noma, sa'bu pia nawaona wale walio kua wakitamba sana awamu ya Nne ya Jakaya sasahv wapole kichiz ktk maswala ya kukamata pisi kali...na vitambi vyaoπ€ππππ
Kwa wanawake wa kizazi hiki,kupigiwa ni nje nje,hata kama una nguvu kama Simba,maisha yetu haya,unaishi nae siku zote,lakini unapigiwa,sasa maisha yetu haya,wewe upo Mtwara mgodini,au msoma,mke yupo Dodoma,hautapigiwa kweli!!!?
Wapige nawe piga,hakuna njia
Unajizuia vipi na ugonjwa kama kisukari ambapo mwili ghafla unaanza ku resist insulin ???
Shida ipo kabla ya kuzikwa; unateseka na kuwatesa wengine.Lakini wote tutazikwa chini
Umeongea ukweli,kama wapo watakao kuelewa watafaidika na ushauri wako,
Nina 48 na nimepata kisukari kipndi cha mafanikio yangu,ninachotaka napata ila ninamisi maisha halisi niliyojioangia iwapo ntafanikiwa,nilitamani niowe wake watatu ila sasa siweiz
Kuna vyakula natamani sana kula hivi sasa ni sumu kwangu nawanunulia watu tu na watoto wangu
Kuwa makini na kisukari ndugu
Kuna watu wengi watakufata kuwa wana dawa na watakula pesa zako na unabaki na kisukari chako hivho hivyo
Nayoandika hapa spambi habari ninapambana na hii hali wakati wote nikilazimisha furaha
KUWENI MAKINI KUJIRINDA DHIDI YA KISUKALI
Shukran sanaa..
Wakati wa amani ndio wa kujifunza kipambana.
Fanya yote, ila linda Afya ni muhimu.
Thanks mkuu.
Sasa wenye kibamia kama mie hapa ambo tunaishi kumwaga wadhungu kwenye mapaja mnatusaidiaje...mjjue tunateseka sanaHili ni somo la Afya Mkuu, ili Mtu uwe na nguvu.
Mafunzo ya kugegeda yatakuja yenyewe ukiwa na nguvu na Afya njema
Sasa wenye kibamia kama mie hapa ambo tunaishi kumwaga wadhungu kwenye mapaja mnatusaidiaje...mjjue tunateseka sana
Thick thighs ndio ugonjwa wangu sasaπππ
Chukua Size yako. Sio upende wenye mapaja manene ambao hutoboi ozone.
Thick thighs ndio ugonjwa wangu sasa
Ahsante mkuuPole sana
Unafirwa wewe@Bujibuji Simba Nyamaume njoo muone gILeSi huko[emoji3][emoji3][emoji3]