Kijana jitunze, kuteremkia miaka 40+ kuna zimwi linaitwa Kisukari na Presha. Mkeo atakuvumilia?

Sijakuelewa kwa sababu mwanzo ulisema utapangiwa kula hivi au vile. Mwisho ukajumuisha watu wale vyakula vile vile ulivokataa mwanzo. Kifupi mimi naona umefeli kwenye uwasilishaji wa hoja yako.
 
Sijakuelewa kwa sababu mwanzo ulisema utapangiwa kula hivi au vile. Mwisho ukajumuisha watu wale vyakula vile vile ulivokataa mwanzo. Kifupi mimi naona umefeli kwenye uwasilishaji wa hoja yako.

Upo sahihi kuwa umefeli kuelewa uwasilishaji wangu.
Hilo kwangu sio tatizo mtu asiponielewa.
Kwani najua watu wanatofautiana Uelewa, na siku zote ili unielewe itakupasa uwe na uelewa kuanzia wa Kati kwenda Uelewa wa juu.
 
Upo sahihi kuwa umefeli kuelewa uwasilishaji wangu.
Hilo kwangu sio tatizo mtu asiponielewa.
Kwani najua watu wanatofautiana Uelewa, na siku zote ili unielewe itakupasa uwe na uelewa kuanzia wa Kati kwenda Uelewa wa juu.
Rudia tena kusoma alafu uje na hiyo conclusion tena, fasihi siku zote huwa haikubaliwi kwa asilimia 100 na hadhara kama unavyotaka kuaminisha jukwaa. Na hiyo haikupi wewe kuwa na uelewa wa juu kama unavyojitanabaisha. Uelewa wa mtu haujengwi katika angle moja. Naamini kwamba hakuna tajiri asiyekuwa na cha kupokea na wala maskini asiyekuwa na chakutoa. Hivyo nakushangaa mtu unayejiita mwanafasihi ulazimishe andiko kukubaliwa na kila msomaji. Umeongea mwanzo kuhusu mpangilio wa kula, lakini kati ukasema "utapangiwa vitu vya kula mpaka ukome'' mwisho ukarudia tena kupanga vitu gani watu wale, wewe una uelewa wa juu kweli? Acha wanaomudu kula wanavyotaka wale, wewe unayekula unachopata nawe pambana kimpango wako. Mwisho siku kufa kupo na kwa mjibu wa biblia maisha yetu ya kuishi hapa duniani ni miaka 60 tu.
Sipingani na wewe ktk mpangilio wa vyakula na kufanya mazoezi, lah hasha. Pia tambua siyo wote wanaougua inatokana na chakula. Na mbona kila mara tunawaza sana nguvu za kiume?
 

Elewa kadiri ya Uelewa wako.
Sitaki uelewe vile ninavyoelewa Mimi au walivyoelewa wengine waliochangia,

KAZI yangu ni kuandika Kwa Uelewa wangu, kazi yako msomaji ni kuelewa nilichoandika Kwa Uelewa wako.
Umeelewa au haujaelewa Hilo halipo juu yangu.

Fasihi ndio ipo hivyo,
Hayo mengine hayana maana ikiwa kuna kitu umekipata au haujakipata katika andiko hili.

😀😀
 
Mada nzuri sana.Allah akubariki
 
Ni kweli,Allah akubariki sana.
 
Mtihani.
 
Heri ya sukari unaweza epuka kwa kua selective kwenye vyakula, Ila presha inaweza kukuandama tu kutokana na hasling zako, mfano unafanya kazi za pressure sanaa hasa kwa ndugu zetu makanjubai amini nakwambia ukifikia fote wewe jiandae tu na magonjwa ya pressure. (nasema kutokana na experience).
 

Noma sana
 
Zamani kwenye mabandiko yako ulikuwa unaandika na location uliyopo bwana fasihi kulikoni
 
Sasa mwanaume anakuwa zaidi lakini Hana nguvu[emoji23][emoji23]
Hapo ndio tofauti ilipo,
Ndio maana mada hii inalenga kujitunza
Hata mwanamke naye libido inapungua bhana, tena sana[emoji23] hii ni kwa wote. Me anapungua nguvu ila ke libido inakuwa ndogo mno, ngoma draw
 
Ushauri bora sana mkuu,asante!
 
Kwa kiasi kikubwa Sukari na presha ni matokeo ya mitindo mibaya ya maisha, Kula na kunywa.
Wachache huwa nayo ya kurithi.
Ukiwa na "mitindo mibaya ya maisha, kula na kunywa," mwili unasusa kuzalisha insulin ?????

Answer that.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…