Kijana jitunze, kuteremkia miaka 40+ kuna zimwi linaitwa Kisukari na Presha. Mkeo atakuvumilia?

Uwe sasa unamheshimu au kipindi upo juu unampiga tu matukio ya haja , mnyanyasaji [emoji47][emoji47] hapo sijui inakuwaje boss.
 
😂😂😂
Viberenge, Kona Hili, Cross goli au kapita kapenya, hao hawatakuelewa ng'oo.

Alafu wanawake hawanga Huruma hilo lifahamike mapema😀
Na wao wakipigwa na Kisukari na Presha hamu huwa inatoweka.

Unaweza kuwa wewe unashughulika yeye anachati na simu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Viberenge, Kona Hili, Cross goli au kapita kapenya, hao hawatakuelewa ng'oo.

Alafu wanawake hawanga Huruma hilo lifahamike mapema[emoji3]
Hiyo yakutokuwa na huruma umewasingizia kabisa, huruma anza kujionea mwenyewe kabla ya mkeo. Usilete ujanja ujanja sasa
 
Kuna wanaume unaweza mkuta ana hata 35-45 lakini vitu afanyavyo unajiuliza sana huyu alitoka familia ya aina gani maana akili zake kama mwenye 20-25 tulio wazazi tulee watoto wakiume ili waje kuwa waume bora si bora mme
 
[emoji3][emoji3]
Ni kweli kabisa, yete atatega ili mwanaume utegue,
Sasa akutegee alafu uwezo wa kutegua huna. Jogoo hana nguvu, mbona utalia.
Jogoo anajificha kwenye mabawa badala yakukimbiza mtetea ha ha ha ,e ee Mungu tusaidie kwakweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…