Kijana jitunze, kuteremkia miaka 40+ kuna zimwi linaitwa Kisukari na Presha. Mkeo atakuvumilia?

Kijana jitunze, kuteremkia miaka 40+ kuna zimwi linaitwa Kisukari na Presha. Mkeo atakuvumilia?

Angalizo jingine kwa wanaume:
Mwanamke mwenye umri kuanzia 45 hadi 55 au 60 wenye afya na nguvu wanakuwa na ashiki kubwa sana ya kuingiliwa kimwili.

Sasa ambao wameoa na wake zao hawana stress kwenye umri huo watatoa ushahidi.

Ambao mko njiani kuelekea umri huo, get ready.
Na mwanamke akikoswa kukazwa vizuri, (labda awe mcha Mungu sana).

Atatafuta tuu wa kumkaza, Watch Out...[emoji102].
@Kasie Toto la kinyamwezi [emoji7]
 
Kama ishu ni kugongewa mke kwa sababu ya mume kuwa na changamoto ya maradhi agongwe tu kwa uhuru, maana anaona ana kisingizio cha ugonjwa wa mume wake. Kwenye suala la kula hutokana na bajeti ya mtu pamoja na upatikanaji wa vyakula hivyo
 
Kaka ubarikiwe sana kwa andiko hili. Watakaobahatika kusoma mpaka mwisho wakazingatia, hakika watafadika. Mimi ni shuhuda wa hili. Niko 55, nilipokuwa 40 niliyumba kidogo performance yangu ya ndoa haikuwa nzuri kiviiile kwa sababu ya pombe nyingi na kubugia misisi bila utaratibu. Ilipogonga 50 nikapunguza na 53 nikaacha kabisa pombe na kula bila mpangilio na nikawekeza sana pia katika shughuli za kiroho. Kwa kweli niko supa mpaka mwenza wangu ananishangaa.

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa mkuu usipokua na nidhamu ya kula na kunywa mbunye yako itapigwa tu hakuna namna
 
Angalizo jingine kwa wanaume:
Mwanamke mwenye umri kuanzia 45 hadi 55 au 60 wenye afya na nguvu wanakuwa na ashiki kubwa sana ya kuingiliwa kimwili.

Sasa ambao wameoa na wake zao hawana stress kwenye umri huo watatoa ushahidi.

Ambao mko njiani kuelekea umri huo, get ready.
Na mwanamke akikoswa kukazwa vizuri, (labda awe mcha Mungu sana).

Atatafuta tuu wa kumkaza, Watch Out...[emoji102].
Una umri gani
 
Yote hayo hayawezi kuGuarantee chochote. Alipangalo Mungu litakuwa tu. Cha maana ni kuomba msaada na maongozi ya Mungu katika maisha yetu!

Mungu alikuwekea sahani mbili, Sahani ya uzima na sahani ya Mauti.
Wewe ndio utachagua sahani ipi itakufaa, uamuzi wako usije msingizia MUNGU.

Kumbukumbu la Torati 30:15
Angalia, nimekuwekea leo mbele yako uzima na mema, na mauti na mabaya;

Kumbukumbu la Torati 30:16
kwa hivi nikuagizavyo leo kumpenda BWANA, Mungu wako, kuenenda katika njia zake, na kushika maagizo yake, na amri zake, na hukumu zake, upate kuwa hai na kuongezeka; BWANA, Mungu wako, apate kukubarikia katika nchi uingiayo kuimiliki.

Kum 30:19​

Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako
 
Kama ishu ni kugongewa mke kwa sababu ya mume kuwa na changamoto ya maradhi agongwe tu kwa uhuru, maana anaona ana kisingizio cha ugonjwa wa mume wake. Kwenye suala la kula hutokana na bajeti ya mtu pamoja na upatikanaji wa vyakula hivyo

Sio kisingizio,
Wewe humtoshelezi Mkeo alafu akichepuka unaita kisingizio?😂😂 Labda Kama hujui majukumu ya Mume ndani ya familia.
Hiyo ni Haki yake ya msingi katika Ndoa.
Kushindwa kumtosheleza Mkeo kwenye 6*6 ni kosa kisheria, na hukumu yake ni Ndoa Kuvunjwa Kama Mke akitaka.

So usichukulie mambo haya kirahisi, ni magumu kuliko unavyofikiri
 
Una umri gani

56

0F3A1CF4-C61E-4D28-A0E8-3F7E761FA856.jpeg


When I grow up, I’ll be like her...😊😊.
 
Hakuna anaeugua kisukari mwenye maisha magumu,huo ni ugonjwa kama una nafasi huna njaa njaa

Ndio unavyojidanganya😀😀

Wapo madaktari humu watakuona hamnazo ujue!
Wao ndio wanajua ninachokisema, na watu wenye umri Kati ya 40-100 ndio wanaelewa Kwa urahisi ninachokisema,

Na watu wenye wazazi wenye miaka 60-100 ndio wanajua kuwa kisukari ni ugonjwa wa masikini au wamatajiri au wawote.

Na wachache wenye upeo mkubwa wa kufikiri ndio wanaelewa niliyoandika
 
Kwema Wakuu!

Hatufuatiliani wala hatupangiani maisha. Ila tunakumbushana huku nami nikijikumbusha pia Kwa Nia nzuri tuu. Ili baadaye tusijekujikuta katika Huzuni kuu.

Vijana tunapoambiwa tule na tunywe Kwa nidhamu sio Kwa sababu tunaonewa wivu au kuna mtu anataka kuwa juu yetu Kwa kutupa amri. HASHA! Bali ni Kwa faida yetu.

Kisukari na Presha sio magonjwa mazuri Kwa ustawi wa Ndoa zetu. Ukisikia pigo Baya basi ni kukosa nguvu za kiume. Tena Kwa miaka 40 Kwa mwanaume bado ni kijana. Na Kwa bahati nzuri miaka hiyo wengi neema ndio zinazidi kufunguka na wamesha-settle.
Sasa ume-settle alafu unajikuta huna nguvu za kiume. Asikuambie mtu inahuzunisha Sana..

Ukiona Taikon anaelezea Jambo Fulani basi kaa nalo macho, lizingatie Sana. Kwa sababu Taikon nipo kwaajili ya kujenga na wala sio kubomoa.

1. Kula na kunywa vizuri,
i. Kula Mbomboga Kwa wingi, Kula Protein Kama nyama nyeupe, maziwa, mayai, Kwa wingi,
Kula wanga kidogo Sana. Mfano unapoka maharage mengi alafu unakula na wali kidunchu, au ugali kidogo na Samaki au nyama au maharage mengi.

ii. Matunda, pendelea Kula matunda,
Kama umeoa, pendelea Ndizi zilizoiva angalau kila siku moja hasa usiku, hii itafanya uume wako kuwa na nguvu kutokana na madini ya Potassium,
Mkeo aweke Kachumburi yenye Nyanya, vitunguu, limao na pilipili hizi zinaongeza Libido.
Safisha figo Kwa Matikiti, matango, usisahau mapapai na maembe, pia machungwa huku utapata vitamini

Kula Milo miwili ukiwa age ya 25-50 iwe balanced.

iii. Kunywa maji mengi, angalau Lita mbili na nusu mpaka tatu na nusu Kwa siku.
Pombe kunywa kiasi Kwa STAREHE sio kujiumiza. Angalau kwa wiki mara moja na hakikisha usinywe mpaka ukazima.
Maji mengi ni dawa kwani yanafanya seli za mwili wako kufanya kazi Kwa ufanisi zaidi. Maji hupunguza pia sumu mwilini na kuufanya mwili wako kuwa na Nuru,
Yaani mtu anayezingatia kunywa maji ngozi yake hung'aa

Pia maji mengi husababisha mtu kutokuzeeka Kwa haraka. Na hii ni kutokana na Uzalishwaji wa seli za mwili kufanyika Kwa ufanisi


2. Fanya mazoezi,
Mazoezi hujenga mwili na kuufanya kuwa na Afya, kwani hufanya mzunguko WA damu kufanya kazi vizuri. Kumbuka Damu ndio hubeba virutubisho na kuvisafitisha mwilini. Kumbuka pia ndani ya damu ndio kuna Seli nyeupe zinazolinda mwili dhidi ya magonjwa, Seli nyekundu ambazo husafirisha hewa ya Oksijeni kuzipa Seli, tishu na ogani Uhai. Hasahasa Ubongo.

Hii ni kusema mazoezi yanaimarisha ufanyaji kazi WA viungo vya Mwili Kama vile Ubongo. Hii inafanya akili kuwa active.

Aina ya mazoezi
i. . Mazoezi ya Mwili
Haya yanalenga zaidi viungo na organ za mwili. Kukimbia, Push-up n.k.

ii. Mazoezi ya Akili/Ufahamu.
Haya yanalenga zaidi tafakuri, uchanganuzi, uchambuzi, n.k. haya ni Kwa kusoma Nyaraka na vitabu, michezo na Bangua bongo, Game zinazoshughulisha akili n.k.
Pia mazoezi ya ubongo hufanyika Kwa kujaribu kufanya vitu vipya ili kutafuta changamoto mpya. Kama ni biashara, au kazi au miradi unaanzisha ili akili ipate changamoto mpya.

iii. Mazoezi ya Kiroho na Nafsi.
Haya hulenga zaidi roho na Nafsi yako.
Kudhibiti Nafsi yako na matamanio yake, mfano Kufunga Kula na kunywa,
Kama unapenda kunywa pombe kujizuia kutokunywa Kwa muda wa siku kadhaa.
Kama unapenda Kulala na wanawake, kujizuia hata Kwa miezi sita bila kuchepuka, hayo ni mazoezi ya kiroho na nafsi.
Pia kutoa Zaka au Sadaka Ile inayouma. Ni zoezi la Nafsi au kiroho.

Hii itakusaidia kujidhibiti, pia kuzuia Nyege mshindo au ukosefu wa maamuzi.

3. Mapumziko na Burudani/STAREHE.
Angalau Kwa siku ulale masaa yasiyopungua Nane.
Starehe au burudani angalau Kwa wiki au Kwa mwezi mara moja. Hii itakufanya usiyachoke maisha na kuyaona hayana maana.

Usingizi utakusaidia kutunza Ubongo wako na hii itakusaidia nyakati za uzeeni kwani utakuwa haupotezi kumbukumbu kijinga jinga.
Kabla watu hawajaona uzee wako wewe mwenyewe utaanza kuuona Kwanza Kwa kujikuta unasahau sahau mambo, na hiyo huanza kutokea miaka 30+ kama hutokuwa mtu wa kuzingatia mapumziko.

Kijana wa sasa unapaswa ujidhibiti mwenyewe ili isijekula kwako ufikishapo miaka 40.
Hakuna kitu kibaya Kama kufikisha umri huo yaani 40+ alafu ujikute hauna pesa, alafu magonjwa Kama kisukari na Presha vikupige. Ni hatari Sana.
Kupigiwa nje nje! Yaani mwanamke wako wala hatakuwa na Woga, nawe utakuwa unajua na chakumfanya hauna.

Wale mnaolalamika andiko refu nimewasikia. Nipumzike sasa!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Huu ukurasa ni muhimu sana, kesho leta unaowahusu wale wa 50+ ni muhimu nao wastawi ili kuwa mentor vijana
 
Back
Top Bottom