Kijana jitunze, kuteremkia miaka 40+ kuna zimwi linaitwa Kisukari na Presha. Mkeo atakuvumilia?

Kijana jitunze, kuteremkia miaka 40+ kuna zimwi linaitwa Kisukari na Presha. Mkeo atakuvumilia?

dah hapo kwenye nguvu za kiume hapo ni hatari sana kwa kidume ukiwa na kuanzia 40yrs hata kimoko kinagoma, dah tumuombe sana Mungu atunusuru.

Ila kiukweli ukiwa na mke ambaye umeanza naye toka ukiwa na 30's huko na mambo yakagoma ukiwa na 50's kama anabusara anaweza kukustahi tu maana wote wazee sasa na tayari mna mitoto ya kutosha.

Shida ni hivi viberenge, kona goli, cross goli na kugongwa ndio maisha yao. Lakini kama umeoa gari la mkaa akili iko kwenye majukumu, malezi na future ya watoto mnazeeka vizuri tu na ni mwendo wa kazi kazi tu.
 
Kwema Wakuu!

Hatufuatiliani wala hatupangiani maisha. Ila tunakumbushana huku nami nikijikumbusha pia Kwa Nia nzuri tuu. Ili baadaye tusijekujikuta katika Huzuni kuu.

Vijana tunapoambiwa tule na tunywe Kwa nidhamu sio Kwa sababu tunaonewa wivu au kuna mtu anataka kuwa juu yetu Kwa kutupa amri. HASHA! Bali ni Kwa faida yetu.

Kisukari na Presha sio magonjwa mazuri Kwa ustawi wa Ndoa zetu. Ukisikia pigo Baya basi ni kukosa nguvu za kiume. Tena Kwa miaka 40 Kwa mwanaume bado ni kijana. Na Kwa bahati nzuri miaka hiyo wengi neema ndio zinazidi kufunguka na wamesha-settle.
Sasa ume-settle alafu unajikuta huna nguvu za kiume. Asikuambie mtu inahuzunisha Sana..

Ukiona Taikon anaelezea Jambo Fulani basi kaa nalo macho, lizingatie Sana. Kwa sababu Taikon nipo kwaajili ya kujenga na wala sio kubomoa.

1. Kula na kunywa vizuri,
i. Kula Mbomboga Kwa wingi, Kula Protein Kama nyama nyeupe, maziwa, mayai, Kwa wingi,
Kula wanga kidogo Sana. Mfano unapoka maharage mengi alafu unakula na wali kidunchu, au ugali kidogo na Samaki au nyama au maharage mengi.

ii. Matunda, pendelea Kula matunda,
Kama umeoa, pendelea Ndizi zilizoiva angalau kila siku moja hasa usiku, hii itafanya uume wako kuwa na nguvu kutokana na madini ya Potassium,
Mkeo aweke Kachumburi yenye Nyanya, vitunguu, limao na pilipili hizi zinaongeza Libido.
Safisha figo Kwa Matikiti, matango, usisahau mapapai na maembe, pia machungwa huku utapata vitamini

Kula Milo miwili ukiwa age ya 25-50 iwe balanced.

iii. Kunywa maji mengi, angalau Lita mbili na nusu mpaka tatu na nusu Kwa siku.
Pombe kunywa kiasi Kwa STAREHE sio kujiumiza. Angalau kwa wiki mara moja na hakikisha usinywe mpaka ukazima.
Maji mengi ni dawa kwani yanafanya seli za mwili wako kufanya kazi Kwa ufanisi zaidi. Maji hupunguza pia sumu mwilini na kuufanya mwili wako kuwa na Nuru,
Yaani mtu anayezingatia kunywa maji ngozi yake hung'aa

Pia maji mengi husababisha mtu kutokuzeeka Kwa haraka. Na hii ni kutokana na Uzalishwaji wa seli za mwili kufanyika Kwa ufanisi


2. Fanya mazoezi,
Mazoezi hujenga mwili na kuufanya kuwa na Afya, kwani hufanya mzunguko WA damu kufanya kazi vizuri. Kumbuka Damu ndio hubeba virutubisho na kuvisafitisha mwilini. Kumbuka pia ndani ya damu ndio kuna Seli nyeupe zinazolinda mwili dhidi ya magonjwa, Seli nyekundu ambazo husafirisha hewa ya Oksijeni kuzipa Seli, tishu na ogani Uhai. Hasahasa Ubongo.

Hii ni kusema mazoezi yanaimarisha ufanyaji kazi WA viungo vya Mwili Kama vile Ubongo. Hii inafanya akili kuwa active.

Aina ya mazoezi
i. . Mazoezi ya Mwili
Haya yanalenga zaidi viungo na organ za mwili. Kukimbia, Push-up n.k.

ii. Mazoezi ya Akili/Ufahamu.
Haya yanalenga zaidi tafakuri, uchanganuzi, uchambuzi, n.k. haya ni Kwa kusoma Nyaraka na vitabu, michezo na Bangua bongo, Game zinazoshughulisha akili n.k.
Pia mazoezi ya ubongo hufanyika Kwa kujaribu kufanya vitu vipya ili kutafuta changamoto mpya. Kama ni biashara, au kazi au miradi unaanzisha ili akili ipate changamoto mpya.

iii. Mazoezi ya Kiroho na Nafsi.
Haya hulenga zaidi roho na Nafsi yako.
Kudhibiti Nafsi yako na matamanio yake, mfano Kufunga Kula na kunywa,
Kama unapenda kunywa pombe kujizuia kutokunywa Kwa muda wa siku kadhaa.
Kama unapenda Kulala na wanawake, kujizuia hata Kwa miezi sita bila kuchepuka, hayo ni mazoezi ya kiroho na nafsi.
Pia kutoa Zaka au Sadaka Ile inayouma. Ni zoezi la Nafsi au kiroho.

Hii itakusaidia kujidhibiti, pia kuzuia Nyege mshindo au ukosefu wa maamuzi.

3. Mapumziko na Burudani/STAREHE.
Angalau Kwa siku ulale masaa yasiyopungua Nane.
Starehe au burudani angalau Kwa wiki au Kwa mwezi mara moja. Hii itakufanya usiyachoke maisha na kuyaona hayana maana.

Usingizi utakusaidia kutunza Ubongo wako na hii itakusaidia nyakati za uzeeni kwani utakuwa haupotezi kumbukumbu kijinga jinga.
Kabla watu hawajaona uzee wako wewe mwenyewe utaanza kuuona Kwanza Kwa kujikuta unasahau sahau mambo, na hiyo huanza kutokea miaka 30+ kama hutokuwa mtu wa kuzingatia mapumziko.

Kijana wa sasa unapaswa ujidhibiti mwenyewe ili isijekula kwako ufikishapo miaka 40.
Hakuna kitu kibaya Kama kufikisha umri huo yaani 40+ alafu ujikute hauna pesa, alafu magonjwa Kama kisukari na Presha vikupige. Ni hatari Sana.
Kupigiwa nje nje! Yaani mwanamke wako wala hatakuwa na Woga, nawe utakuwa unajua na chakumfanya hauna.

Wale mnaolalamika andiko refu nimewasikia. Nipumzike sasa!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Umesahau kuwakumbusha kwenda kwa mwamposa jumapili
 
dah hapo kwenye nguvu za kiume hapo ni hatari sana kwa kidume ukiwa na kuanzia 40yrs hata kimoko kinagoma, dah tumuombe sana Mungu atunusuru.

Ila kiukweli ukiwa na mke ambaye umeanza naye toka ukiwa na 30's huko na mambo yakagoma ukiwa na 50's kama anabusara anaweza kukustahi tu maana wote wazee sasa na tayari mna mitoto ya kutosha.

Shida ni hivi viberenge, kona goli, cross goli na kugongwa ndio maisha yao. Lakini kama umeoa gari la mkaa akili iko kwenye majukumu, malezi na future ya watoto mnazeeka vizuri tu na ni mwendo wa kazi kazi tu.

😂😂😂
Viberenge, Kona Hili, Cross goli au kapita kapenya, hao hawatakuelewa ng'oo.

Alafu wanawake hawanga Huruma hilo lifahamike mapema😀
 
Inafikirisha sana,ukose nguvu,halafu wadada wazuri hivi na ukute una mke Mzuri,unasaidiwa,hakika utakua na msongo wa mawazo sana,tuepuke hayo magonjwa kadri tutakavyoweza,kama yakitokea,iwe bahati mbaya tu.
Niliwahi kusikia bosi mmoja,hapa Mbulu,alikua na kisukari,mkewe alikua na kashfa ya kuleta vijana toka Arusha,analala nao,na mume hakuweza kumfukuza,bilashaka kwasababu alijua ana kisukari hivyo,akawa anavunga.R.I.P mzee.
 
Huwezi elewa mpaka yakukute.

Ukiwa katika Hali hiyo unanyimwa kabisa na huna lakufanya.
Na hakuna mwanamke atakayekutaka!

Sasa ni Bora uwe na Afya njema ili hata mkeo akifanya hayo uwe na jeuri ya kutafuta mwingine, sio kulialia na kujinyenyekeza ili akufichie Siri yako kuu
Tena anakuwa na wivu wakati hana uwezo wakumfanyia chochote zaidi ya kumtizama kama anatizama kideo maana hawezi kumshika aliye ndani, ila sahizi ujanja ujanja mwingiiii
 
Sisi Wanaume tuna kazi kubwa wenzetu Wanawake wao ni kuitega tu.

Na trust me huwezi kumkomoa Mwanamke wewe ndio unajimaliza hilo tundu anatoka mtoto wewe utaliweza wapi.

Ndio maana Wanaume tunakufa kabla ya Wake zetu.
 
Tena anakuwa na wivu wakati hana uwezo wakumfanyia chochote zaidi ya kumtizama kama anatizama kideo maana hawezi kumshika aliye ndani, ila sahizi ujanja ujanja mwingiiii

Tatizo Vijana wa siku hizi hawataki kukaa na Wazee au watu wazima ili wajue mambo ya kikubwa.
Wajue wanapoelekea

Hapo anafikiri akikosa nguvu za kiume Kwa umri huo anadhani mkewe atamchekea na kumuonea huruma😀.

Yaani Mkeo akuonee huruma tangu miaka 40-60, labda awe Malaika huyo😂
 
Ila mkuu unaongea kwa hisia sana! Kuna jamaa yangu ana mke bomba kweli kweli, sasa ana hiyo changamoto kweli mke amekuja kumfumania yuko na msela ameinamishwa! Mke huku nje analalamika mme ana kisukari shughuli hawezi tena sasa mimi ningefanyaje? Kazi kweli kweli!
Sasa anamfumania nini ona aibu aliyopata angemsubilia aje kumuonyea nyumbani tatizo wanaume wengi wanakuwa wabishi sana hapo ukute anavyomfokea mkewe wakati shida ipp kwake
 
Sisi Wanaume tuna kazi kubwa wenzetu Wanawake wao ni kuitega tu.

Na trust me huwezi kumkomoa Mwanamke wewe ndio unajimaliza hilo tundu anatoka mtoto wewe utaliweza wapi.

Ndio maana Wanaume tunakufa kabla ya Wake zetu.

😀😀
Ni kweli kabisa, yete atatega ili mwanaume utegue,
Sasa akutegee alafu uwezo wa kutegua huna. Jogoo hana nguvu, mbona utalia.
 
Tatizo Vijana wa siku hizi hawataki kukaa na Wazee au watu wazima ili wajue mambo ya kikubwa.
Wajue wanapoelekea

Hapo anafikiri akikosa nguvu za kiume Kwa umri huo anadhani mkewe atamchekea na kumuonea huruma😀.

Yaani Mkeo akuonee huruma tangu miaka 40-60, labda awe Malaika huyo😂
Unafanya tu kama ndugu zetu Wahindi kama Mwanamke bado ana umri wa kuzaa anamuita ndugu yake wa damu ili aendelee kuzalisha.
 
Ila

Mkuu bilakupiga miti Bora kufa tu
Kufa haufi ila cha moto tu lazima ukisikie , sasa ukute ulikuwa hujatulia kwa mkeo na vijembe nitaoa mke wa pili hapo sasa unafanyaje![emoji33][emoji33][emoji33]
 
Mkuu hii ni article nzuri sana je wanawake wanapata athari gani kama wanakunywa sana pombe hasa safari na k vant wataalamu wa mambo Watusaidie

Mwanamke hata kama Hana hisia za kufanya bado kazi yake ni ndogo Sana kwenye shughuli Ile, kazi yake ni kukutegea, kazi unayowewe ambaye mpaka isimame,

Kwa mwanamke atakachoambulia labda ni maumivu kutokana na kukosekana majimaji ya kulainisha njia.

Lakini pombe Kwa mwanamke haina shida sana hasa kwenye ishu ya Ngono, zaidi Sana ndio inafanya mwanamke awe na nyege zaidi ya kutaka kuingiliwa.

Mwanaume athari kubwa inatokana na uume kushindwa kusimama kabisa au kuwa legelege,
Mwanamke yeye Hana Jambo Hilo.
 
Back
Top Bottom