Sauti ya Mamlaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,601
- 2,354
Kudos tycoon
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhanga wa kitu gani?Mkuu Mbona umeumia sana wewe ni mhanga?🤔
Kupenda kufakamia kila kitu ndo chanzo cha matatizo,, tujifunze kuwa na kiasi,, unaenda mnadani unawakuta wadada na wababa, wenye vitambi, wanafakamia mamishikaki, kuku choma, chipsi mayai, michemsho kama hayana akili nzuri,, unabaki kusikitika tu, hivi hawa, hayA ni mashikolo mageni au ulafi😂😂
Sidhani kama kuna Bata bila Pisi kali.Miaka 40 ni ya kula bata sio kufanya mapenzi
Sidhani kama kuna Bata bila Pisi kali.
Duuuuu fikirishiiiiLakini wote tutazikwa chini
mimi nilipokuwa mdogo nilikuwa nikifikiri wa2 wenye vitambi wameshiba!!Kupenda kufakamia kila kitu ndo chanzo cha matatizo,, tujifunze kuwa na kiasi,, unaenda mnadani unawakuta wadada na wababa, wenye vitambi, wanafakamia mamishikaki, kuku choma, chipsi mayai, michemsho kama hayana akili nzuri,, unabaki kusikitika tu, hivi hawa, hayA ni mashikolo mageni au ulafi😂😂