Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
Bila Shaka utakua wewe ni mzinzi saaana au unatetea uzinzi, saivi wazinzi mmekua wengi ndomaana ndoa sio kipaumbele chenuKuna mmoja nipo naye Kwa group fulan katuambia yeye alioa akiwa chuo mwaka wa kwanza akiwa na miaka 22 aliishi Kwa tabu na mke wake had kula ilikua ni ya tabuππππ halaf et baadaye baada ya kumaliza chuo akapata kibarua ndo maisha kidogo afadhal et alikua anatusii wakuoa waoe na kuolewa maisha ndo hayahayaπππππ nilitaman nimtusi
Kwaiyo mtu kukataa ndoa ni mzinzi?? Shame on u?Bila Shaka utakua wewe ni mzinzi saaana au unatetea uzinzi, saivi wazinzi mmekua wengi ndomaana ndoa sio kipaumbele chenu