Kijana: Kama upo kwenye mahusiano, hakikisha una "marafiki" wengine angalau watatu nje

Kijana: Kama upo kwenye mahusiano, hakikisha una "marafiki" wengine angalau watatu nje

Ni kweli mkuu. Tatizo ukiwa nae mmoja chances za yeye kuzingua au wewe kuwa fala zinaongezeka mara dufu maana akili yako inakua ipo kwake tu, tofauti na ukiwa na options.

OPTIONS IS THE WAY OF WOMEN
HATA KAMA ANAKUELEWA KIASI GANI LAZIMA KUNA NJEMBAA ANAIINTATEINI KIANA YANI HATAKI KUSEMA YES AU NO SIKU MKIZINGUANA ANAIPA YES[emoji23][emoji23]
 
Sio lazima uwe unatembea nao kingono, ila at any time T hakikisha una wanawake angalau watatu warembo "standby", ambao una mawasiliano nao ya karibu. Ukiweza kuwa unawatafuna ni added advantage.

Hii itakusaidia sana kudumisha mahusiano yako ya SASA kwa njia zifuatazo:

1. Itakujengea komfidens ya kuishi na mpenzi wako. Unapokua na wanawake wengine, hata kama huwatafuni lakini inakupa moyo fulani kwamba hata huyu nilie nae akizingua au akiniacha poa tu, kuna wengine wengi. Hii itabadilisha kabisa maamuzi unayofanya na jinsi unavyom handle mpenzi wako na itakuepusha kufanya mambo mengi ya kiboya. Mathalan, itakuondolea kabisa tabia ya kumlilia lilia mpenzi wako na kumnyenyekea kifala na hata akikupiga chini ni nadra wewe kuumia sana na kuja kulia lia JF nk achilia mbali kujinyonga.

2. Mpenzi wako atakupenda zaidi akijua/akihisi una wanawake wengine unawasiliana nao! Akili za wanawake wanazijua wenyewe. Wanawake wanaamini kwamba mwanaume anaependwa na wanawake wengine huyo ndio mwanaume hasa![emoji23] Thamani yako kwake inashuka sana akigundua huna mwanamke mwingine yeyote yule zaidi yake!

3. Itapunguza sana migogoro kati yako na mpenzi wako. Mara nyingi unapokua na mpenzi mmoja tu kama roho, hata kosa dogo sana linaweza kukuzwa na kuwa kubwa na kwavile huna pa kupumulia mnajikuta mnagombana sana mara kwa mara. Ukiwa nao wengi, utashangaa vitu vidogo vidogo unapuuzia tu na maisha yanaendelea. Mfano ukinyimwa gemu wala hauta mind, tena ndio unashukuru maana kwanza unakua umechoka. Ukituma msg asipojibu wala sio ishu maana hapo una watu wengine watatu unawasiliana nao.

4. Inasaidia ku balance attention yako kwa mpenzi wako. Twende mbele turudi nyuma, japokua wanawake hua wanadai wanapenda attention, ila kiukweli ukiwapa sana attention wanakuona boya tu! Mwanamke akishakuona mda wote wewe unamuwaza yeye tu, unachat nayeye tu, mda wowote akikuhitaji upo tu, anakuona lofa tu na anaanza kukuchoka.

5. Inaimarisha tendo la ndoa! Amini usiamini hakuna kitu kinaua "vaibu" kama kua na mwanamke mmoja tu. Kuna kitu wazungu wanaita "sexual monotony" yaani ile hali ya kukinai ku sex na mtu huyohuyo kila siku. Ukiwa na kitu ya pembeni, utashangaa unaimarika hata kwa huyu wa sasa maana ukienda nje ukija kurudi ndani inakua mpya na gemu linakolea hatar.

6. Inakupunguzia gharama! Ukiwa na ka mwanamke kamoja tu, hukawii kujikuta unaanza kuwaza kukafanyia mambo (ya kifala) makubwa kama kukajengea nyumba, kukanunulia gari, kulipa kodi, ada nk! Kiasi kwamba siku huyo mwanamke akikupiga chini lazima udate ukiwaza uwekezaji uliofanya. Ukiwa nao watatu - wanne, utajikuta unawaza kijanja "hivi kila mmoja akitaka nimjengee nyumba/gari/ada itakuaje?" Utajikuta unafutilia mbali hayo mawazo ya kifala.

NB: Hata kama huna mwanamke nje, tengeneza mazingira ya kumfanya mpenzi wako AHISI kwamba unae. Mfano, potea ghafla hewani kwa muda mrefu, weka simu yako ma passwedi, ma fingerprint nk. Ukipigiwa simu hata na mshkaji, kaongelee nje. Ukiwa ofisini sema uko home and vice versa ili akija asikukute ahisi upo na mwanamke. Yaani kifupi kuwa mtu usieeleweka eleweka! Utapendwa balaa !! [emoji16][emoji16]

Haya yote uliyoyasema ndivyo wanawake walivyo
Ni Life strategy Yao [emoji23]
Mwanamme ukiishi hivi kama wao wanawake wanavyoishi basi ushawini maishani mwako.
Kuwa na Beta orbiters wengi unawaintateini na main chick mmoja
Hivyo tu unaweza kumuweza mwanamke

Nb: Pia uweze kujitunza na kufokasi kwenye jambo la msingi ambali ni Kazi na kipato.
Wanawake Siyo jambo la msingi maishani, ni sehemu tu ndogo ya maisha yako.
Maisha yako ni wewe mwanamme kujipenda na kujitunza na kujitafutia au kujiongezea kipato chako . Wanawake wapo sana. At 50 yrs unaweza date mtoto wa college ambae ni 19yrs old ukijiweka fresh [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu ushawahi kutana na msimu wa gundu kila demu unaevizia na kutupa dini anakutolea nje, hiki kipindi kama huna pesa lazima uwe na stress sana mkuu
Wengine hata kama unapesa hata salaam hataki, labda malaya tu inayojilengesha kwa yeyote yule
 
Wengine hata kama unapesa hata salaam hataki, labda malaya tu inayojilengesha kwa yeyote yule

Pesa peke yake sio kigezo cha kumpata mwanamke, especially wale wadada decent wanaojitambua. Pamoja na hela, lazima uwe na mbinu anuai za jinsi ya kuwaingia, kuwavuta na mwisho kuwatafuna kiulaini. Ndio maana kuna watu wana pesa lakini wanapata tabu kidogo kuwapata baadhi ya wanawake. Na unakuta mwanamke huyo huyo kuna mtu hana pesa kivile ila anajimegea kiulaini kabisa. Hii ni mada ya siku nyingine.
 
OPTIONS IS THE WAY OF WOMEN
HATA KAMA ANAKUELEWA KIASI GANI LAZIMA KUNA NJEMBAA ANAIINTATEINI KIANA YANI HATAKI KUSEMA YES AU NO SIKU MKIZINGUANA ANAIPA YES[emoji23][emoji23]

U are very right kaka. Ndio maana ni nadra sana kusikia mwanamke kajinyonga kisa mapenzi. Mwanamke yoyote mzuri ana listi ya watu kwenye simu wanamsumbua kila siku, hata ukimuacha atalia lia siku mbili-tatu anaanza kuangalia kwenye ile list yake nani yupo juu anajiweka.
 
Hii mbinu toka nianze kuitumia baaada ya kumaliza chuo naweza ipa A plus,kwa kuniondolea stress na kuniongezea strategies za kupata mwanamke mwengine yeyote yule duniani,popote pale kwenye hewa ya oxygen .........
Mwanamke anapenda mwanaume asiyemuelewa,mwanaume flani hivi anaweza kaaa hata miezi hajamtafuta.
Kikubwa tu uwe na akili,mtanashati na vijisenti vya hapa na pale.
Uwe mtu fulani hivi,unaweka appointment na demu mwenye nyege kisha hutokei,siku demu hata hujamtongoza akija gheto kwako unamgonga,akikataa unampotezea,yaani mtu fulani hivi hauna formula na maisha ya mapenzi ,ndio mwanamke anampenda.
Akikwambia umtumie hela haumtumii,siku akija hana hili wala like unampa hela,daily unatongoza wanawake wengine classic,yaani hueleweki mipango yako ya mapenzi,utawagonga Hadi uchoke na watakua wanakuganda maisha yako yote.
Yaani hata demu ugombane nae akiwa na shida za kibinadamu,unakua gentleman unamsaidia,kisha unapotea kama jini,.......ukiwa na nyege unamcheki,......yaani hueleweki malengo yako nini ya mapenzi hapa duniani.......Hivo vitu ndio wanawake wanapenda kwenye hii dunia......wanawake hawapendi hela ndio mana mabilionea wanawake ni kuwatatafuta na tochi na wengi wamerithi hizo pesa kwa wanaume wao au wazazi wao
Ukitabirika atakuchoka, usipotabirika atakuona ni mtu mpya na nature na mwanadamu haswa mwanamke anapenda vitu vipya.
 
Sio lazima uwe unatembea nao kingono, ila at any time T hakikisha una wanawake angalau watatu warembo "standby", ambao una mawasiliano nao ya karibu. Ukiweza kuwa unawatafuna ni added advantage.

Hii itakusaidia sana kudumisha mahusiano yako ya SASA kwa njia zifuatazo:

1. Itakujengea komfidens ya kuishi na mpenzi wako. Unapokua na wanawake wengine, hata kama huwatafuni lakini inakupa moyo fulani kwamba hata huyu nilie nae akizingua au akiniacha poa tu, kuna wengine wengi. Hii itabadilisha kabisa maamuzi unayofanya na jinsi unavyom handle mpenzi wako na itakuepusha kufanya mambo mengi ya kiboya. Mathalan, itakuondolea kabisa tabia ya kumlilia lilia mpenzi wako na kumnyenyekea kifala na hata akikupiga chini ni nadra wewe kuumia sana na kuja kulia lia JF nk achilia mbali kujinyonga.

2. Mpenzi wako atakupenda zaidi akijua/akihisi una wanawake wengine unawasiliana nao! Akili za wanawake wanazijua wenyewe. Wanawake wanaamini kwamba mwanaume anaependwa na wanawake wengine huyo ndio mwanaume hasa![emoji23] Thamani yako kwake inashuka sana akigundua huna mwanamke mwingine yeyote yule zaidi yake!

3. Itapunguza sana migogoro kati yako na mpenzi wako. Mara nyingi unapokua na mpenzi mmoja tu kama roho, hata kosa dogo sana linaweza kukuzwa na kuwa kubwa na kwavile huna pa kupumulia mnajikuta mnagombana sana mara kwa mara. Ukiwa nao wengi, utashangaa vitu vidogo vidogo unapuuzia tu na maisha yanaendelea. Mfano ukinyimwa gemu wala hauta mind, tena ndio unashukuru maana kwanza unakua umechoka. Ukituma msg asipojibu wala sio ishu maana hapo una watu wengine watatu unawasiliana nao.

4. Inasaidia ku balance attention yako kwa mpenzi wako. Twende mbele turudi nyuma, japokua wanawake hua wanadai wanapenda attention, ila kiukweli ukiwapa sana attention wanakuona boya tu! Mwanamke akishakuona mda wote wewe unamuwaza yeye tu, unachat nayeye tu, mda wowote akikuhitaji upo tu, anakuona lofa tu na anaanza kukuchoka.

5. Inaimarisha tendo la ndoa! Amini usiamini hakuna kitu kinaua "vaibu" kama kua na mwanamke mmoja tu. Kuna kitu wazungu wanaita "sexual monotony" yaani ile hali ya kukinai ku sex na mtu huyohuyo kila siku. Ukiwa na kitu ya pembeni, utashangaa unaimarika hata kwa huyu wa sasa maana ukienda nje ukija kurudi ndani inakua mpya na gemu linakolea hatar.

6. Inakupunguzia gharama! Ukiwa na ka mwanamke kamoja tu, hukawii kujikuta unaanza kuwaza kukafanyia mambo (ya kifala) makubwa kama kukajengea nyumba, kukanunulia gari, kulipa kodi, ada nk! Kiasi kwamba siku huyo mwanamke akikupiga chini lazima udate ukiwaza uwekezaji uliofanya. Ukiwa nao watatu - wanne, utajikuta unawaza kijanja "hivi kila mmoja akitaka nimjengee nyumba/gari/ada itakuaje?" Utajikuta unafutilia mbali hayo mawazo ya kifala.

NB: Hata kama huna mwanamke nje, tengeneza mazingira ya kumfanya mpenzi wako AHISI kwamba unae. Mfano, potea ghafla hewani kwa muda mrefu, weka simu yako ma passwedi, ma fingerprint nk. Ukipigiwa simu hata na mshkaji, kaongelee nje. Ukiwa ofisini sema uko home and vice versa ili akija asikukute ahisi upo na mwanamke. Yaani kifupi kuwa mtu usieeleweka eleweka! Utapendwa balaa !! [emoji16][emoji16]
Natoa maelekezo yafuatayo:
1. Hii post iwekwe lamination
2. Ajipii akupatie ulinzi wa askari wenye silaha
3. Ujengewe sanamu makao makuu ya Serikali pale Dodoma
 
You are very right. Infact, watu wengi hawajui kwamba wanawake hua ndio wakwanza kuanza kukinai wapenzi wao.

Mimi nimekutana na wadada ambao wako kwenye very stable rships, mdada anakuambia "kwakweli jamaa ananipenda, ananipa kila kitu, kitandani ananiridhisha, hajawahi kunikosea chochote, ila i dont feel anything anymore yani nimemkinai tu.."
Jamaa akionesha dalili za kupunguza huko kujali kwa mwanamke wake basi lazima mwanamke ashtuke na akili imkae sawa.
 
Kwanza umeenda mbali sana kusema uwe na marafiki wengine watatu binafsi mim naona hata usipokuwa naoo akizingua haina haja ya kumbembeleza we achana naeee tu kama sio domo zege sio mda utapata mwingne.

Sasa hivi wanawake wanatafuta wanaume kuliko wanaume wanavyotafuta wanawake so chill ma nigga[emoji16][emoji16]

Siku hizii madem ni kama chai tu[emoji16][emoji16]
Haswa ukiwa na chachambi.
 
Umeambiwa haitakiwi ajue awe ana hisi tu ana ning'inia ning'inia hewani hana uhakika unae au huna lazima akose msimamo
Lakin Mkuu kuhisi kuhisi huko kutamjengea kaimani fulani kwamba unachepuka mwisho wa siku nae ataanza kuchepuka, watu wataanza kumega mkeo/demu wako.

Hawa viumbe hawaeleweki, kuhisi jambo dogo tu kunaweza kumfanya akafanya maamuzi makubwa.
 
Nimechelewa mdahalo, kuna aliyeuliza kama hii ni kwa jinsia zote na akajibiwa nini?
 
Sio lazima uwe unatembea nao kingono, ila at any time T hakikisha una wanawake angalau watatu warembo "standby", ambao una mawasiliano nao ya karibu. Ukiweza kuwa unawatafuna ni added advantage.

Hii itakusaidia sana kudumisha mahusiano yako ya SASA kwa njia zifuatazo:

1. Itakujengea komfidens ya kuishi na mpenzi wako. Unapokua na wanawake wengine, hata kama huwatafuni lakini inakupa moyo fulani kwamba hata huyu nilie nae akizingua au akiniacha poa tu, kuna wengine wengi. Hii itabadilisha kabisa maamuzi unayofanya na jinsi unavyom handle mpenzi wako na itakuepusha kufanya mambo mengi ya kiboya. Mathalan, itakuondolea kabisa tabia ya kumlilia lilia mpenzi wako na kumnyenyekea kifala na hata akikupiga chini ni nadra wewe kuumia sana na kuja kulia lia JF nk achilia mbali kujinyonga.

2. Mpenzi wako atakupenda zaidi akijua/akihisi una wanawake wengine unawasiliana nao! Akili za wanawake wanazijua wenyewe. Wanawake wanaamini kwamba mwanaume anaependwa na wanawake wengine huyo ndio mwanaume hasa!😂 Thamani yako kwake inashuka sana akigundua huna mwanamke mwingine yeyote yule zaidi yake!

3. Itapunguza sana migogoro kati yako na mpenzi wako. Mara nyingi unapokua na mpenzi mmoja tu kama roho, hata kosa dogo sana linaweza kukuzwa na kuwa kubwa na kwavile huna pa kupumulia mnajikuta mnagombana sana mara kwa mara. Ukiwa nao wengi, utashangaa vitu vidogo vidogo unapuuzia tu na maisha yanaendelea. Mfano ukinyimwa gemu wala hauta mind, tena ndio unashukuru maana kwanza unakua umechoka. Ukituma msg asipojibu wala sio ishu maana hapo una watu wengine watatu unawasiliana nao.

4. Inasaidia ku balance attention yako kwa mpenzi wako. Twende mbele turudi nyuma, japokua wanawake hua wanadai wanapenda attention, ila kiukweli ukiwapa sana attention wanakuona boya tu! Mwanamke akishakuona mda wote wewe unamuwaza yeye tu, unachat nayeye tu, mda wowote akikuhitaji upo tu, anakuona lofa tu na anaanza kukuchoka.

5. Inaimarisha tendo la ndoa! Amini usiamini hakuna kitu kinaua "vaibu" kama kua na mwanamke mmoja tu. Kuna kitu wazungu wanaita "sexual monotony" yaani ile hali ya kukinai ku sex na mtu huyohuyo kila siku. Ukiwa na kitu ya pembeni, utashangaa unaimarika hata kwa huyu wa sasa maana ukienda nje ukija kurudi ndani inakua mpya na gemu linakolea hatar.

6. Inakupunguzia gharama! Ukiwa na ka mwanamke kamoja tu, hukawii kujikuta unaanza kuwaza kukafanyia mambo (ya kifala) makubwa kama kukajengea nyumba, kukanunulia gari, kulipa kodi, ada nk! Kiasi kwamba siku huyo mwanamke akikupiga chini lazima udate ukiwaza uwekezaji uliofanya. Ukiwa nao watatu - wanne, utajikuta unawaza kijanja "hivi kila mmoja akitaka nimjengee nyumba/gari/ada itakuaje?" Utajikuta unafutilia mbali hayo mawazo ya kifala.

NB: Hata kama huna mwanamke nje, tengeneza mazingira ya kumfanya mpenzi wako AHISI kwamba unae. Mfano, potea ghafla hewani kwa muda mrefu, weka simu yako ma passwedi, ma fingerprint nk. Ukipigiwa simu hata na mshkaji, kaongelee nje. Ukiwa ofisini sema uko home and vice versa ili akija asikukute ahisi upo na mwanamke. Yaani kifupi kuwa mtu usieeleweka eleweka! Utapendwa balaa !! 😁😁
Point kubwa sana hii. Backup muhimu
 
Sio asilimia flani, ukiweza kuwa na matawi pembeni wakati una manage HQ basi utapendwa wewe na kuachwa utakusikia bombani! Mie mpenzi wangu anahisi nina demu mwengine mahali and I enjoy that [emoji23][emoji23][emoji23] sababu inamchangamsha akili!
[emoji3516]
NA ANAPOCHANGAMKA AKILI,
INASAIDIA KUMFANYA ASIKAE KINYONGE!!!

AU NASEMA UONGO MKUU??
[emoji3516][emoji3516][emoji3516]
 
Wanawake tumemaliza kikao chetu msimamo wetu ni ule ule piga moto, petrol bei Chee delivery hadi mikoani[emoji3]
Yaan mwanamke akishakuchukulia poa, akauvua ile roho ya huruma alonayo


,anakua ni katili sanaaa asofaa, ataua mpaka watoto.



Wanaume wawapende wake zao kama vile wanavyopenda mama zao....nao wanawake watawajali wanaume zao kama wanavyojali nakulea watoto wao.
 
Back
Top Bottom