elishaezekiel
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 563
- 1,464
Ni kweli mkuu. Tatizo ukiwa nae mmoja chances za yeye kuzingua au wewe kuwa fala zinaongezeka mara dufu maana akili yako inakua ipo kwake tu, tofauti na ukiwa na options.
Sio lazima uwe unatembea nao kingono, ila at any time T hakikisha una wanawake angalau watatu warembo "standby", ambao una mawasiliano nao ya karibu. Ukiweza kuwa unawatafuna ni added advantage.
Hii itakusaidia sana kudumisha mahusiano yako ya SASA kwa njia zifuatazo:
1. Itakujengea komfidens ya kuishi na mpenzi wako. Unapokua na wanawake wengine, hata kama huwatafuni lakini inakupa moyo fulani kwamba hata huyu nilie nae akizingua au akiniacha poa tu, kuna wengine wengi. Hii itabadilisha kabisa maamuzi unayofanya na jinsi unavyom handle mpenzi wako na itakuepusha kufanya mambo mengi ya kiboya. Mathalan, itakuondolea kabisa tabia ya kumlilia lilia mpenzi wako na kumnyenyekea kifala na hata akikupiga chini ni nadra wewe kuumia sana na kuja kulia lia JF nk achilia mbali kujinyonga.
2. Mpenzi wako atakupenda zaidi akijua/akihisi una wanawake wengine unawasiliana nao! Akili za wanawake wanazijua wenyewe. Wanawake wanaamini kwamba mwanaume anaependwa na wanawake wengine huyo ndio mwanaume hasa![emoji23] Thamani yako kwake inashuka sana akigundua huna mwanamke mwingine yeyote yule zaidi yake!
3. Itapunguza sana migogoro kati yako na mpenzi wako. Mara nyingi unapokua na mpenzi mmoja tu kama roho, hata kosa dogo sana linaweza kukuzwa na kuwa kubwa na kwavile huna pa kupumulia mnajikuta mnagombana sana mara kwa mara. Ukiwa nao wengi, utashangaa vitu vidogo vidogo unapuuzia tu na maisha yanaendelea. Mfano ukinyimwa gemu wala hauta mind, tena ndio unashukuru maana kwanza unakua umechoka. Ukituma msg asipojibu wala sio ishu maana hapo una watu wengine watatu unawasiliana nao.
4. Inasaidia ku balance attention yako kwa mpenzi wako. Twende mbele turudi nyuma, japokua wanawake hua wanadai wanapenda attention, ila kiukweli ukiwapa sana attention wanakuona boya tu! Mwanamke akishakuona mda wote wewe unamuwaza yeye tu, unachat nayeye tu, mda wowote akikuhitaji upo tu, anakuona lofa tu na anaanza kukuchoka.
5. Inaimarisha tendo la ndoa! Amini usiamini hakuna kitu kinaua "vaibu" kama kua na mwanamke mmoja tu. Kuna kitu wazungu wanaita "sexual monotony" yaani ile hali ya kukinai ku sex na mtu huyohuyo kila siku. Ukiwa na kitu ya pembeni, utashangaa unaimarika hata kwa huyu wa sasa maana ukienda nje ukija kurudi ndani inakua mpya na gemu linakolea hatar.
6. Inakupunguzia gharama! Ukiwa na ka mwanamke kamoja tu, hukawii kujikuta unaanza kuwaza kukafanyia mambo (ya kifala) makubwa kama kukajengea nyumba, kukanunulia gari, kulipa kodi, ada nk! Kiasi kwamba siku huyo mwanamke akikupiga chini lazima udate ukiwaza uwekezaji uliofanya. Ukiwa nao watatu - wanne, utajikuta unawaza kijanja "hivi kila mmoja akitaka nimjengee nyumba/gari/ada itakuaje?" Utajikuta unafutilia mbali hayo mawazo ya kifala.
NB: Hata kama huna mwanamke nje, tengeneza mazingira ya kumfanya mpenzi wako AHISI kwamba unae. Mfano, potea ghafla hewani kwa muda mrefu, weka simu yako ma passwedi, ma fingerprint nk. Ukipigiwa simu hata na mshkaji, kaongelee nje. Ukiwa ofisini sema uko home and vice versa ili akija asikukute ahisi upo na mwanamke. Yaani kifupi kuwa mtu usieeleweka eleweka! Utapendwa balaa !! [emoji16][emoji16]
Mtu akikuletea faida za kutoa rushwa utaona ni sahihi kabsa rushwa kuwepo kwenye jamii.Kama kuna ukweli flani ivi kwa asilimia flani ivi
Wengine hata kama unapesa hata salaam hataki, labda malaya tu inayojilengesha kwa yeyote yule[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu ushawahi kutana na msimu wa gundu kila demu unaevizia na kutupa dini anakutolea nje, hiki kipindi kama huna pesa lazima uwe na stress sana mkuu
Wengine hata kama unapesa hata salaam hataki, labda malaya tu inayojilengesha kwa yeyote yule
OPTIONS IS THE WAY OF WOMEN
HATA KAMA ANAKUELEWA KIASI GANI LAZIMA KUNA NJEMBAA ANAIINTATEINI KIANA YANI HATAKI KUSEMA YES AU NO SIKU MKIZINGUANA ANAIPA YES[emoji23][emoji23]
Ukitabirika atakuchoka, usipotabirika atakuona ni mtu mpya na nature na mwanadamu haswa mwanamke anapenda vitu vipya.Hii mbinu toka nianze kuitumia baaada ya kumaliza chuo naweza ipa A plus,kwa kuniondolea stress na kuniongezea strategies za kupata mwanamke mwengine yeyote yule duniani,popote pale kwenye hewa ya oxygen .........
Mwanamke anapenda mwanaume asiyemuelewa,mwanaume flani hivi anaweza kaaa hata miezi hajamtafuta.
Kikubwa tu uwe na akili,mtanashati na vijisenti vya hapa na pale.
Uwe mtu fulani hivi,unaweka appointment na demu mwenye nyege kisha hutokei,siku demu hata hujamtongoza akija gheto kwako unamgonga,akikataa unampotezea,yaani mtu fulani hivi hauna formula na maisha ya mapenzi ,ndio mwanamke anampenda.
Akikwambia umtumie hela haumtumii,siku akija hana hili wala like unampa hela,daily unatongoza wanawake wengine classic,yaani hueleweki mipango yako ya mapenzi,utawagonga Hadi uchoke na watakua wanakuganda maisha yako yote.
Yaani hata demu ugombane nae akiwa na shida za kibinadamu,unakua gentleman unamsaidia,kisha unapotea kama jini,.......ukiwa na nyege unamcheki,......yaani hueleweki malengo yako nini ya mapenzi hapa duniani.......Hivo vitu ndio wanawake wanapenda kwenye hii dunia......wanawake hawapendi hela ndio mana mabilionea wanawake ni kuwatatafuta na tochi na wengi wamerithi hizo pesa kwa wanaume wao au wazazi wao
Natoa maelekezo yafuatayo:Sio lazima uwe unatembea nao kingono, ila at any time T hakikisha una wanawake angalau watatu warembo "standby", ambao una mawasiliano nao ya karibu. Ukiweza kuwa unawatafuna ni added advantage.
Hii itakusaidia sana kudumisha mahusiano yako ya SASA kwa njia zifuatazo:
1. Itakujengea komfidens ya kuishi na mpenzi wako. Unapokua na wanawake wengine, hata kama huwatafuni lakini inakupa moyo fulani kwamba hata huyu nilie nae akizingua au akiniacha poa tu, kuna wengine wengi. Hii itabadilisha kabisa maamuzi unayofanya na jinsi unavyom handle mpenzi wako na itakuepusha kufanya mambo mengi ya kiboya. Mathalan, itakuondolea kabisa tabia ya kumlilia lilia mpenzi wako na kumnyenyekea kifala na hata akikupiga chini ni nadra wewe kuumia sana na kuja kulia lia JF nk achilia mbali kujinyonga.
2. Mpenzi wako atakupenda zaidi akijua/akihisi una wanawake wengine unawasiliana nao! Akili za wanawake wanazijua wenyewe. Wanawake wanaamini kwamba mwanaume anaependwa na wanawake wengine huyo ndio mwanaume hasa![emoji23] Thamani yako kwake inashuka sana akigundua huna mwanamke mwingine yeyote yule zaidi yake!
3. Itapunguza sana migogoro kati yako na mpenzi wako. Mara nyingi unapokua na mpenzi mmoja tu kama roho, hata kosa dogo sana linaweza kukuzwa na kuwa kubwa na kwavile huna pa kupumulia mnajikuta mnagombana sana mara kwa mara. Ukiwa nao wengi, utashangaa vitu vidogo vidogo unapuuzia tu na maisha yanaendelea. Mfano ukinyimwa gemu wala hauta mind, tena ndio unashukuru maana kwanza unakua umechoka. Ukituma msg asipojibu wala sio ishu maana hapo una watu wengine watatu unawasiliana nao.
4. Inasaidia ku balance attention yako kwa mpenzi wako. Twende mbele turudi nyuma, japokua wanawake hua wanadai wanapenda attention, ila kiukweli ukiwapa sana attention wanakuona boya tu! Mwanamke akishakuona mda wote wewe unamuwaza yeye tu, unachat nayeye tu, mda wowote akikuhitaji upo tu, anakuona lofa tu na anaanza kukuchoka.
5. Inaimarisha tendo la ndoa! Amini usiamini hakuna kitu kinaua "vaibu" kama kua na mwanamke mmoja tu. Kuna kitu wazungu wanaita "sexual monotony" yaani ile hali ya kukinai ku sex na mtu huyohuyo kila siku. Ukiwa na kitu ya pembeni, utashangaa unaimarika hata kwa huyu wa sasa maana ukienda nje ukija kurudi ndani inakua mpya na gemu linakolea hatar.
6. Inakupunguzia gharama! Ukiwa na ka mwanamke kamoja tu, hukawii kujikuta unaanza kuwaza kukafanyia mambo (ya kifala) makubwa kama kukajengea nyumba, kukanunulia gari, kulipa kodi, ada nk! Kiasi kwamba siku huyo mwanamke akikupiga chini lazima udate ukiwaza uwekezaji uliofanya. Ukiwa nao watatu - wanne, utajikuta unawaza kijanja "hivi kila mmoja akitaka nimjengee nyumba/gari/ada itakuaje?" Utajikuta unafutilia mbali hayo mawazo ya kifala.
NB: Hata kama huna mwanamke nje, tengeneza mazingira ya kumfanya mpenzi wako AHISI kwamba unae. Mfano, potea ghafla hewani kwa muda mrefu, weka simu yako ma passwedi, ma fingerprint nk. Ukipigiwa simu hata na mshkaji, kaongelee nje. Ukiwa ofisini sema uko home and vice versa ili akija asikukute ahisi upo na mwanamke. Yaani kifupi kuwa mtu usieeleweka eleweka! Utapendwa balaa !! [emoji16][emoji16]
Jamaa akionesha dalili za kupunguza huko kujali kwa mwanamke wake basi lazima mwanamke ashtuke na akili imkae sawa.You are very right. Infact, watu wengi hawajui kwamba wanawake hua ndio wakwanza kuanza kukinai wapenzi wao.
Mimi nimekutana na wadada ambao wako kwenye very stable rships, mdada anakuambia "kwakweli jamaa ananipenda, ananipa kila kitu, kitandani ananiridhisha, hajawahi kunikosea chochote, ila i dont feel anything anymore yani nimemkinai tu.."
Haswa ukiwa na chachambi.Kwanza umeenda mbali sana kusema uwe na marafiki wengine watatu binafsi mim naona hata usipokuwa naoo akizingua haina haja ya kumbembeleza we achana naeee tu kama sio domo zege sio mda utapata mwingne.
Sasa hivi wanawake wanatafuta wanaume kuliko wanaume wanavyotafuta wanawake so chill ma nigga[emoji16][emoji16]
Siku hizii madem ni kama chai tu[emoji16][emoji16]
Moto mtapiga wazembeWanawake tumemaliza kikao chetu msimamo wetu ni ule ule piga moto, petrol bei Chee delivery hadi mikoani[emoji3]
Hahaha utaua bendi kakaNgoja tuongeze tozo kwenye betting
Lakin Mkuu kuhisi kuhisi huko kutamjengea kaimani fulani kwamba unachepuka mwisho wa siku nae ataanza kuchepuka, watu wataanza kumega mkeo/demu wako.Umeambiwa haitakiwi ajue awe ana hisi tu ana ning'inia ning'inia hewani hana uhakika unae au huna lazima akose msimamo
Point kubwa sana hii. Backup muhimuSio lazima uwe unatembea nao kingono, ila at any time T hakikisha una wanawake angalau watatu warembo "standby", ambao una mawasiliano nao ya karibu. Ukiweza kuwa unawatafuna ni added advantage.
Hii itakusaidia sana kudumisha mahusiano yako ya SASA kwa njia zifuatazo:
1. Itakujengea komfidens ya kuishi na mpenzi wako. Unapokua na wanawake wengine, hata kama huwatafuni lakini inakupa moyo fulani kwamba hata huyu nilie nae akizingua au akiniacha poa tu, kuna wengine wengi. Hii itabadilisha kabisa maamuzi unayofanya na jinsi unavyom handle mpenzi wako na itakuepusha kufanya mambo mengi ya kiboya. Mathalan, itakuondolea kabisa tabia ya kumlilia lilia mpenzi wako na kumnyenyekea kifala na hata akikupiga chini ni nadra wewe kuumia sana na kuja kulia lia JF nk achilia mbali kujinyonga.
2. Mpenzi wako atakupenda zaidi akijua/akihisi una wanawake wengine unawasiliana nao! Akili za wanawake wanazijua wenyewe. Wanawake wanaamini kwamba mwanaume anaependwa na wanawake wengine huyo ndio mwanaume hasa!π Thamani yako kwake inashuka sana akigundua huna mwanamke mwingine yeyote yule zaidi yake!
3. Itapunguza sana migogoro kati yako na mpenzi wako. Mara nyingi unapokua na mpenzi mmoja tu kama roho, hata kosa dogo sana linaweza kukuzwa na kuwa kubwa na kwavile huna pa kupumulia mnajikuta mnagombana sana mara kwa mara. Ukiwa nao wengi, utashangaa vitu vidogo vidogo unapuuzia tu na maisha yanaendelea. Mfano ukinyimwa gemu wala hauta mind, tena ndio unashukuru maana kwanza unakua umechoka. Ukituma msg asipojibu wala sio ishu maana hapo una watu wengine watatu unawasiliana nao.
4. Inasaidia ku balance attention yako kwa mpenzi wako. Twende mbele turudi nyuma, japokua wanawake hua wanadai wanapenda attention, ila kiukweli ukiwapa sana attention wanakuona boya tu! Mwanamke akishakuona mda wote wewe unamuwaza yeye tu, unachat nayeye tu, mda wowote akikuhitaji upo tu, anakuona lofa tu na anaanza kukuchoka.
5. Inaimarisha tendo la ndoa! Amini usiamini hakuna kitu kinaua "vaibu" kama kua na mwanamke mmoja tu. Kuna kitu wazungu wanaita "sexual monotony" yaani ile hali ya kukinai ku sex na mtu huyohuyo kila siku. Ukiwa na kitu ya pembeni, utashangaa unaimarika hata kwa huyu wa sasa maana ukienda nje ukija kurudi ndani inakua mpya na gemu linakolea hatar.
6. Inakupunguzia gharama! Ukiwa na ka mwanamke kamoja tu, hukawii kujikuta unaanza kuwaza kukafanyia mambo (ya kifala) makubwa kama kukajengea nyumba, kukanunulia gari, kulipa kodi, ada nk! Kiasi kwamba siku huyo mwanamke akikupiga chini lazima udate ukiwaza uwekezaji uliofanya. Ukiwa nao watatu - wanne, utajikuta unawaza kijanja "hivi kila mmoja akitaka nimjengee nyumba/gari/ada itakuaje?" Utajikuta unafutilia mbali hayo mawazo ya kifala.
NB: Hata kama huna mwanamke nje, tengeneza mazingira ya kumfanya mpenzi wako AHISI kwamba unae. Mfano, potea ghafla hewani kwa muda mrefu, weka simu yako ma passwedi, ma fingerprint nk. Ukipigiwa simu hata na mshkaji, kaongelee nje. Ukiwa ofisini sema uko home and vice versa ili akija asikukute ahisi upo na mwanamke. Yaani kifupi kuwa mtu usieeleweka eleweka! Utapendwa balaa !! ππ
[emoji3516]Sio asilimia flani, ukiweza kuwa na matawi pembeni wakati una manage HQ basi utapendwa wewe na kuachwa utakusikia bombani! Mie mpenzi wangu anahisi nina demu mwengine mahali and I enjoy that [emoji23][emoji23][emoji23] sababu inamchangamsha akili!
Yaan mwanamke akishakuchukulia poa, akauvua ile roho ya huruma alonayoWanawake tumemaliza kikao chetu msimamo wetu ni ule ule piga moto, petrol bei Chee delivery hadi mikoani[emoji3]