Ndio maana vijana wa siku hizi wanababuka midomo maana wanavyodekishwa bahari yenye chumvi kali kuliko ya india kutwa mara saba yote kupenda vya bure mxiuuuuuu
Ha ha ha
SureMasharobaro tafuteni pesa. Mapenzi waachieni mbwa
Sure
Anko anakula pesa huku babu analenga viatuWacha vijana wa-enjoy Kama Ankali Shante
aisee!Mimi mwenyew natafuta kijana wa kumlea,
-Awe na sixpark
-Awe na kibamia
-Awe mweusi
-Awe mrefu
So mtu achague kimoja sio?Siwezi,
Nikupe mashine yangu, na kukulea juu,
acha nikae hivi hivi, siwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Translation?Le Prix a payer
price to payTranslation?
Asante. Kijana Kulelewa usiwe na kinyaa.price to pay