Kijana, Kulelewa na mwanamke uwe mvumilivu

Nipe connection mkuu,life tight
 
Mkuu unachekesha sana, yaani kijana wa Dar aache kukaa kijiweni na kuongelea story za ubaharia eti akatafute kazi, achekwe? Mtu anaona bora ashikishwe ukuta ili apate hela kuliko kufanya kazi, vijana wengi wa Dar wanatafuta unafuu wa maisha tu, majuto baadaye.
 
Kulelewa Ni utumwa
 
Sio Dar tu yani mambo ni hayohayo hata mikoani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…