Wewe nimekutukana Wapi na lini? Au umenifananisha nimekwambia Mimi sifanani na MTU humuKwani unavyonitukanaga inakuaga vipi😎
Subiri nitafute uliponitukanaWewe nimekutukana Wapi na lini? Au umenifananisha nimekwambia Mimi sifanani na MTU humu
Nasubiri fanya chapu chapu SIO unanipakazia kesi ya mtu mwingine tuSubiri nitafute uliponitukana
Nimeangalia kweli hujawahi kunitukana ila unatukanaga wengineNasubiri fanya chapu chapu
Duuuuh umemaanisha kwamba?Nimeangalia kweli hujawahi kunitukana ila unatukanaga wengine
Mchumba wetu nakutukana kwanini tena? Kosa lako nini hadi nikutukane?Hujawahi kunitukana
Sawa sasa unajua Nini Mchumba?Hayo yameisha, sitoongelea tena hayo usijali
SIPO humu kutukana km unavyofikiriaEee sijui
Ila..?SIPO humu kutukana km unavyofikiria
Ila HAPO malizia sentenceIla..?
MIMI NIPO humu kuchanganyia Mada km hivi hapa nimechangia MadaMalizia wewe mwenye id yako ya stow away🤸
Kwa HIO na Leo unakuja km Jana?Nimekuelewa usijali
Leo siji nitakuja kesho jioniKwa HIO na Leo unakuja km Jana?
Wanaume wa hivi ni wengi siku hizi
Kesho Jioni Muda ule ule basi usichelewe sanaLeo siji nitakuja kesho jioni
Sawa usijaliKesho Jioni Muda ule ule basi usichelewe sana