Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
We mbwa una jua kuvimba🤣😂Yeah nataka niongee na mods ili waconnect huu uzi na akaunti yangu moja ya bank ili mtu ukiandika chochote uwe unatumiwa 2k itawasaidia sana masikini humu jf, itakuwa mtu akiwa na shida ya hela ya mboga tu nakuja kukoment hata .... hela inaingia kwake.
Eee mkuu hela si ni yangu nani wa kunipigia kelele katika kuitumia!We mbwa una jua kuvimba🤣😂
Huyu nae kala bani sijuwi hichi aliandika ni nini!Hatumwelewi
KWA SABABU SISI SIO WAUAJI ILA WEWE NDIO MUUAJI - MUUE😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎😎KWA SABABU SISI SIO WAUAJI ILA WEWE NDIO MUUAJI - MUUE
Siyo maokoto ni HELA maokoto ni kauli ya watu wenye njaa.
Ni lilni sasa!
Sasa chama Cha ma jobless pro max ume kisahau ehh?Eee mkuu hela si ni yangu nani wa kunipigia kelele katika kuitumia!
Ndiyo ki nini hiki! Sikijuwi kabisa kabisaSasa chama Cha ma jobless pro max ume kisahau ehh?
Una katwa na mizimuNdiyo ki nini hiki! Sikijuwi kabisa kabisa
makutupora nini hii! Ninasitisha vile viroba saba vyenye mchele ambavyo nilitaka kuwapaUna katwa na mizimu
Mimi ni raisi wa Chama Cha ma jobless pro max, sitishiwi na tajiri uchwaramakutupora nini hii! Ninasitisha vile viroba saba vyenye mche ambavyo nilitaka kuwapa
Usicheze na mwenye HELA ohoo mwisho nitawafunga wewe na chama chako na wanachama pia, kasoro Makutupora tu, yeye atabaki ili kufurahisha humu jfMimi ni raisi wa Chama Cha ma jobless pro max, sitishiwi na tajiri uchwara
Wakili wa ma jobless pro max Selikavu ata kushughulikia boya weeUsicheze na mwenye HELA ohoo mwisho nitawafunga wewe na chama chako na wanachama pia, kasoro Makutupora tu, yeye atabaki ili kufurahisha humu jf
Mkuu JF ya zamani ilikuwa inadili na mambo ya siasa na IntelligenceHii ndio JF ya Sasa...mental Ill people
Huna uwezo tajiri... Chama kikubwa hichi usituone tumekaa bila kazi ukajua wazembeUsicheze na mwenye HELA ohoo mwisho nitawafunga wewe na chama chako na wanachama pia, kasoro Makutupora tu, yeye atabaki ili kufurahisha humu jf
sahau kuni funga, sema tu kuni gusa niku pasue uka hadithie labourUsicheze na mwenye HELA ohoo mwisho nitawafunga wewe na chama chako na wanachama pia, kasoro Makutupora tu, yeye atabaki ili kufurahisha humu jf
Shida ni kwamba hamtashindana na mimi mtashindana na PESA yangu.Huna uwezo tajiri... Chama kikubwa hichi usituone tumekaa bila kazi ukajua wazembe
Niko serious mkuu wewe huoni hata huku mtandaoni naingia mara chache mno, hii ni dalili kwamba muda mwingi niko bize na biashara zangu.kijana umeanza bangi siyo?