Kijana Masikini nimetoboa, kwa sasa ni Tajiri sinabaya

Kijana Masikini nimetoboa, kwa sasa ni Tajiri sinabaya

Tajiri Sinabay

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
1,333
Reaction score
3,619
Screenshot_20250224_221251.jpg


Kwa sasa sio kijana masikini tena, ninafahamika kama Tajiri sinabaya.
Japo hapo kwenye ID mwisho hakuna herufi 'a' ni changamoto tu ilitokea katika kubadilisha ID Moderator naomba unisaidie kwenye hili kiongozi wangu ili nisomeke 'Tajiri sinabaya'

Wale wazee wenzangu wa simulizi ya My Family musiwaze nitaimaliza kwa ajili yenu siyo kwa ajili ya Ephen tena (sina muda wa kubembeleza mwanamke sasa)

Wenye maswali mawili matatu karibuni nipo hapa kuwajibu huku nikishushia maswali yenu na juisi bariidi kabisa niliyoaguza kutoka USA
 
View attachment 3249466

Kwa sasa sio kijana masikini tena, ninafahamika kama Tajiri sinabaya.
Japo hapo kwenye ID mwisho hakuna herufi 'a' ni changamoto tu ilitokea katika kubadilisha ID Moderator naomba unisaidie kwenye hili kiongozi wangu ili nisomeke 'Tajiri sinabaya'

Wale wazee wenzangu wa simulizi ya My Family musiwaze nitaimaliza kwa ajili yenu siyo kwa ajili ya Ephen tena (sina muda wa kubembeleza mwanamke sasa)

Wenye maswali mawili matatu karibuni nipo hapa kuwajibu huku nikishushia maswali yenu na juisi bariidi kabisa niliyoaguza kutoka USA
Kwa nini huna muda wa kumbembeleza mwanamke kwa sasa
 
Mkuu kiutani utani umetoboa life! Au umetoa kafara!?
Hapana mkuu nilianza na punje ishirini za mchele nikawa natengeneza vitafunwa vya mchele nauza mashuleni, hadi sasa namiliki Super market 2, Bakery 3, kiwanda cha juisi, kiwanda cha maji, pia namiliki maduka 7 ya vifaa vya Electronic na matatu ya spare za magari.
 
Interesting

Mimi starehe yangu namba moja tangu nipate ufahamu ni kuingia JF

🤗🤗 Tajir hana baya 🥢
Yeah nataka niongee na mods ili waconnect huu uzi na akaunti yangu moja ya bank ili mtu ukiandika chochote uwe unatumiwa 2k itawasaidia sana masikini humu jf, itakuwa mtu akiwa na shida ya hela ya mboga tu nakuja kukoment hata .... hela inaingia kwake.
 
Back
Top Bottom