beberu la mtaa
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 276
- 467
Swali ni je, kwanini za upande mwingine tumeshuhudia hadi bendera kushushwa ila sheria haichukui mkondo wake?Kwamujibu wa sheria zauchaguzi hairuhusiwi kuchana mabango ya wagombea kama wahusika wakiona na kutoa taarifa na ukajulikana na kukawa na ushahidi unaingia matatani.
Tuwaache mbuzi wachane ila sisi wanadamu tuache huo upuuzi. Siasa nikuvumiliana
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
We kilaza hebu tuliaHivi Lissu yupo wapi Leo kwa kampeni? Eti makamanda
Upuuzi mtupu Polisi kushupalia hili.POLISI mkoani Morogoro wamemkamata mtu aliyetambuliwa kwa jina la Isihaka Exavery (20) mkazi wa Mkundi, manispaa ya Morogoro kwa tuhuma za kuchana picha za mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli.
Kijana huyo pia anatuhumiwa kuchana picha za mgombea udiwani kata ya Mkundi kupitia CCM .
Kamanda wa Polisi wa mkoa huo Wilbroad Mutafungwa, alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea Oktoba 15 mwaka huu saa tano asubuhi katika mtaa wa Mlimani, kata ya Mkundi, Manispaa ya Morogoro.
Kamanda Mutafungwa alisema kijana huyo alichana picha za Magufuli na za ombea Seif Zahoro Chomoka, akakimbia.
Alisema, Polisi baada ya kupata taarifa hizo walifika eneo la tukio na kuanza msako na kwa kushirikiana na wananchi walioshuhudia tukio hilo walimkamata mtuhumiwa huyo na picha alizochana.
Kamanda Mutafungwa alisema Polisi wanaendelea kumhoji kijana huyo na kwamba upepelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani.
Tanga lipo gari la mkaa leo. Linamwaga moshi huko nyuma balaa!!Tanga na Pemba
POLISI mkoani Morogoro wamemkamata mtu aliyetambuliwa kwa jina la Isihaka Exavery (20) mkazi wa Mkundi, manispaa ya Morogoro kwa tuhuma za kuchana picha za mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli.
Kijana huyo pia anatuhumiwa kuchana picha za mgombea udiwani kata ya Mkundi kupitia CCM .
Kamanda wa Polisi wa mkoa huo Wilbroad Mutafungwa, alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea Oktoba 15 mwaka huu saa tano asubuhi katika mtaa wa Mlimani, kata ya Mkundi, Manispaa ya Morogoro.
Kamanda Mutafungwa alisema kijana huyo alichana picha za Magufuli na za ombea Seif Zahoro Chomoka, akakimbia.
Alisema, Polisi baada ya kupata taarifa hizo walifika eneo la tukio na kuanza msako na kwa kushirikiana na wananchi walioshuhudia tukio hilo walimkamata mtuhumiwa huyo na picha alizochana.
Kamanda Mutafungwa alisema Polisi wanaendelea kumhoji kijana huyo na kwamba upepelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani.
Usipoelewa siasa,bora usijihusishe na siasa ila fanya kutekeleza yale sheria inasema juu ya maamuzi yanayotokokana na siasaHuyo RPC amekosa kazi ya kufanya, kule Songwe vijana wahuni wa ccm walishusha bendera ya Chadema mbona hatukusikia polisi wamesema lolote, huu Utawala double standards.
Kule Daresalama tuliona youtube clip ikimuonesha mbuzi akiwa anachana bango la Gwajima, hapo Mambosasa atamshtaki nani ??.Usipoelewa siasa,bora usijihusishe na siasa ila fanya kutekeleza yale sheria inasema juu ya maamuzi yanayotokokana na siasa
La sivyo mihemko yenye asila kali itakugharimu wewe pamoja na familia yako,
Hapo atasomewa vifungu mpaka basi
Kule Daresalama tuliona youtube clip ikimuonesha mbuzi akiwa anachana bango la Gwajima, hapo Mambosasa atamshtaki nani ??.
Mbuzi kuchana mabango si kwamba wanaelewa nini wanafanya ila ni ile halufu iliyopo kwenye karatasi huwavutia nakuhisi ni kitu cha kutafunikaMbuzi wa Dar utadhani hawana mwenyewe, wana akili kuliko wakazi wengi tu.
Hiyo kazi angeyaachia mabeberu ya Kawe tu yaliyohamia Moro hivi karibuni.... Pole yake!POLISI mkoani Morogoro wamemkamata mtu aliyetambuliwa kwa jina la Isihaka Exavery (20) mkazi wa Mkundi, manispaa ya Morogoro kwa tuhuma za kuchana picha za mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli.
Kijana huyo pia anatuhumiwa kuchana picha za mgombea udiwani kata ya Mkundi kupitia CCM .
Kamanda wa Polisi wa mkoa huo Wilbroad Mutafungwa, alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea Oktoba 15 mwaka huu saa tano asubuhi katika mtaa wa Mlimani, kata ya Mkundi, Manispaa ya Morogoro.
Kamanda Mutafungwa alisema kijana huyo alichana picha za Magufuli na za ombea Seif Zahoro Chomoka, akakimbia.
Alisema, Polisi baada ya kupata taarifa hizo walifika eneo la tukio na kuanza msako na kwa kushirikiana na wananchi walioshuhudia tukio hilo walimkamata mtuhumiwa huyo na picha alizochana.
Kamanda Mutafungwa alisema Polisi wanaendelea kumhoji kijana huyo na kwamba upepelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani.
Wewe uko wapi hapo Mkuu ??.Mbuzi kuchana mabango si kwamba wanaelewa nini wanafanya ila ni ile halufu iliyopo kwenye karatasi huwavutia nakuhisi ni kitu cha kutafunika
Kwa nini ccm?
Ukiangalia kiasi cha mabango yanayopatikana kwa wingi na kwa wepesi zaidi ni ccm kuliko chama kingine chochote kile,mfano huku niliko hakuna bango la chama kingine tofauti na CCM