Uchaguzi 2020 Kijana mbaroni kwa kuchana picha za Magufuli

Swali ni je, kwanini za upande mwingine tumeshuhudia hadi bendera kushushwa ila sheria haichukui mkondo wake?
 
Sisi picha huwa tunazichania mioyoni mwetu hizo za ukutani tumewaachia Mbuzi wapenda Mabadiliko
 
🤣🤣🤣 wajitokeze wenzake kutoka humu Jf wakamtoe maana ni kijana wa humuhumu. Nadhani akiwa huko ndo atajua Sasa kuwa ile support ya nyuma ya keyboard, haina uhalisia wowote uraiani.

Kama unamchukia Rais na hutaki aendelee kukaa madarakani, kwanini usihamasishe Vijana wenzio mkapige kura kwa wingi? Kwahiyo kuchana hizo picha kungebadilisha Nini Sasa🤔.
 
Upuuzi mtupu Polisi kushupalia hili.
 
Huku kwetu, mabango na picha za wagombea zimekuwa zikichanwa .
hii sio tabia nzuri ,bora huyo aliekamatwa atakuwa mfano kwa wengine.
 
 
Huyo RPC amekosa kazi ya kufanya, kule Songwe vijana wahuni wa ccm walishusha bendera ya Chadema mbona hatukusikia polisi wamesema lolote, huu Utawala double standards.
Usipoelewa siasa,bora usijihusishe na siasa ila fanya kutekeleza yale sheria inasema juu ya maamuzi yanayotokokana na siasa
La sivyo mihemko yenye asila kali itakugharimu wewe pamoja na familia yako,
Hapo atasomewa vifungu mpaka basi
 
Usipoelewa siasa,bora usijihusishe na siasa ila fanya kutekeleza yale sheria inasema juu ya maamuzi yanayotokokana na siasa
La sivyo mihemko yenye asila kali itakugharimu wewe pamoja na familia yako,
Hapo atasomewa vifungu mpaka basi
Kule Daresalama tuliona youtube clip ikimuonesha mbuzi akiwa anachana bango la Gwajima, hapo Mambosasa atamshtaki nani ??.
 
Mbuzi wa Dar utadhani hawana mwenyewe, wana akili kuliko wakazi wengi tu.
Mbuzi kuchana mabango si kwamba wanaelewa nini wanafanya ila ni ile halufu iliyopo kwenye karatasi huwavutia nakuhisi ni kitu cha kutafunika
Kwa nini ccm?
Ukiangalia kiasi cha mabango yanayopatikana kwa wingi na kwa wepesi zaidi ni ccm kuliko chama kingine chochote kile,mfano huku niliko hakuna bango la chama kingine tofauti na CCM
 
Hiyo kazi angeyaachia mabeberu ya Kawe tu yaliyohamia Moro hivi karibuni.... Pole yake!
 
Wewe uko wapi hapo Mkuu ??.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…